WOLPER: Sitakubali tena kuhongwa gari nitoe penzi

STORI; SHAKOOR JONGO

Msanii wa filamu, Jacqueline Wolper ‘Amber Rose wa Bongo’ amefunguka kwamba kwa kile alichokiona, hayuko tayari kukubali tena kuhongwa gari na mwanaume ili atoe penzi.

Akipiga stori na gazeti hili Wolper alidai kuwa, anafikia hatua ya kusema hivyo kwa kuwa madhara yake ameshayaona na kwamba sasa anapambana kuhakikisha anajimilikisha vya kwake.

“Unajua kwa nini nasema hivyo? Tayari nina ushahidi wa kutosha kuhusu magari ya kuhongwa,  ni kudhalilishwa tu hapa mjini, mbaya zaidi mwanaume mwenyewe akikuacha wewe anahamia kwa shoga yako kisha anampa ile gari uliyokuwa ukitembelea, sasa kama si kudhalilika ni nini?” alihoji Wolper.

Siku za nyuma muigizaji huyo alidaiwa kuhongwa gari na jamaa mmoja ambaye yeye alidai ni mjomba wake na pia juzikati msanii mwenzake, Wema Sepetu alidaiwa kupokonywa gari ya mwanaume na kuachwa akitembea kwa miguu.

Views: 4870

Tags: ijumaa11

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by mohamed saadan on March 29, 2012 at 2:47pm

we toa tuuuuuuuuu si unataka umaarufu hapa mjini na uonekane kwa wachaga wenzio kuwa wewe mjanja.hivi nyie wasanii wa BONGO sidhani hata kama maumbile yenu yako kama mwanamke atakiwavyo kuwa.MAANA KILA KIKICHA KILA SIZE so utakuwa na maumbile ya mazuri kweli?

Comment by Goko on March 29, 2012 at 9:09am

Ndugu yangu bure ulivyoamka kuliko kefedheheka.

 

Comment by S. Arthur on March 29, 2012 at 12:33am

Nyie tu niwa kupigwa ma gari bada ya kuliwa ngoma. 

Comment by pjoan audes on March 28, 2012 at 5:27pm

Hivi ni ulimbukeni au ni upumbavu?? kuhonga gari eti kwaajili ya penzi!! hivi wanaume wa namna hiyo wapo kweli? na kama wapo si wangehonga mayatima na walemavu walio kwenye uhitaji wa kweli? tena huko kuna warembo kuliko hawa waliokwishajua vipodozi!

Comment by issa m moshi on March 28, 2012 at 12:06pm

tamaa zenu hizo nani akahonga gari dunia hii ya sasa mnaazimwa si kuhongwa kama ni k vocha peke yake mnavuwa chupi

Comment by Sir.Njau on March 27, 2012 at 3:46pm

dada yangu jitahid kushinda starehe za kuazima jitahid kutafuta chako utakiheshimu na utaheshimika

Comment by DORAH FREDY on March 26, 2012 at 2:29pm

Unataka gari eeeeh vya bure vinauwa kwisha habari yenu

Comment by chalz on March 26, 2012 at 11:33am
NA MKOME. VYA BURE AGHALI.
Comment by Mohamed on March 25, 2012 at 10:16pm

we wolper unatoa tu. gari kubwa ivyo

Comment by meggie impostra on March 25, 2012 at 1:38pm

kbsaaaa wamwhazimwaaaaa na sio kuhongwaaaa polenii kwa ujinga wenu kutka vya urahisi nA vya kupewa bila kujua vilitafutwaje ndio madhara yake hayooo

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service