Na Richard Bukos
STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu amezua gumzo baada ya kunaswa akiwa katika  mikao ya ajabuajabu na mwanaume ‘tata’ maarufu kwa jina la Anti Bilal Mashauz.

Wema akiwa na Anti Bilal Mashauz.

Ishu hiyo ilipigwa chabo na paparazi wetu Alhamisi iliyopita kwenye viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar ambapo wawili hao walikwenda kusikiliza kesi ya msanii mwenzao, Kajala Masanja.
Wema na Anti Bilal, walinaswa viwanjani hapo wakirukiana ambapo Anti Bilal alionesha mapozi kama ya kike, kitendo ambacho kiliwakera baadhi ya Maustaadh waliofika mahakamani hapo kusikiliza kesi ya Shehe Ponda Issa Ponda.
Wawili hao walianza kujishebedua kwa kuchezeana ambapo Wema alionekana kushikana mashavu ya Anti Bilal ambaye alikuwa amemlegezea macho mrembo huyo.
“Mambo wanayofanya hapa siyo mahali pake, hivi hawaoni aibu kushikana vile mbele za watu?” alihoji mmoja wa mashuhuda.

Views: 4795

Tags: risasi11

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by Halima Kimoto on January 2, 2013 at 1:44pm

Wajaalana wamelaanika hao achaneni nao kwani ni Finar Jahanam.

Comment by Mashaka Magezi on December 29, 2012 at 9:18pm

Huo ni ushetani, mungu awanusuru na atunusuru sote.

Comment by Ainess Willy on December 20, 2012 at 4:24pm

du na jamaa bana kweli hamnazo yani linapumuliwa kisogo kweli na maman wenzake  huyu kweli wange mweka ndani kabisa wafungwa wakafaidi wasiwe wana toka na nyege gerezani tena

Comment by Mama Wawili Jr. on December 20, 2012 at 2:38pm

Pole kwa tumbo alilolala binti huyu. Mungu tuokoe na vizazi vyetu.

Comment by julius manning on December 12, 2012 at 8:46pm

siku nyingi mlikuwa hamjamuandika na ndo mmeanza

Comment by Matilda Alphonce Mgalula on December 11, 2012 at 3:03pm

jamani hivi Wema ni mkichaaa(huo mkorogo sasa umezidi yaaani miguu yenyewe ilivyo kama fimbo za pool table)aache mkorogo ili apendeze kama mwanzoni )AU ASIVAE NGUO FUPI

Comment by penina mwailunda on December 10, 2012 at 3:08pm

Wote akili zao ni mbaya hivyo aibu hawana

Comment by FURAHA TAUSI on December 10, 2012 at 12:57pm

HUYO SHOGA MAARUFU SI MNGEMWEKA NDANI TU?

Comment by Matilanga Lukingita on December 9, 2012 at 10:26am

Ila huo mkorogo dada Wema umekubali. Hadi miguuni!! Mambo ya kumeza vidonge hayo. Upata ajali kushona huo mwili kazi kweli

Comment by meggie impostra on December 8, 2012 at 9:59am

sasa mmeishasema anti bilali means alikuwa na mwanamke m,wenzake kuna ubaya ganiiii

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE yesterday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

tina babi left a comment for robert brown colour
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
27 seconds ago
tina babi left a comment for jurais sambe ikusi
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
34 seconds ago
tina babi left a comment for moses zahuye
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
1 minute ago
tina babi left a comment for jonathan enock
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
1 minute ago
tina babi left a comment for khatib mohamed umeya
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
1 minute ago
tina babi left a comment for ALBERT
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
1 minute ago
tina babi left a comment for godwin e nyange
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for BROWN MAJALIWA
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for Wilbert Maridadi R.
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for Moses Rugemalila
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
3 minutes ago
tina babi left a comment for adorn nyang'ango
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
3 minutes ago
tina babi left a comment for Fadhily Mwakajila
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
3 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service