Mwana FA akielezea jinsi atakavyofanya makamuzi ya nguvu.
Ambwene Yessayah ‘AY’ akiumwagia sifa ukumbi wa Dar Live ambao baada ya kuuona aligundua kuwa una hadhi ya kimataifa.
Chegge akielezea jinsi atakavyofunika katika shoo hiyo 'bab kubwa'.
Meneja wa kundi la TMK Wanaume Family, Said Fella, akithibitisha kushiriki katika onyesho hilo.
Sehemu ya wanahabari wakiwa makini kwenye mkutano huo.
WASANII wakali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Mwana FA, Ambwene Yesaya (AY), Kundi la TMK Wanaume Family na Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ kwa pamoja wanatarajiwa kuangusha bonge la shoo siku ya Jumapili ijayo ndani ya Ukumbi wa Dar Live jijini Dar es Salaam huko Mbagala. Akizungumza na wanahabari mchana huu, mratibu wa burudani katika ukumbi huo, Juma Mbizo, alisema maandalizi yote kuhusiana na tamasha hilo yamekamilika.
PICHA : RICHARD BUKOS / GPL
Comment
Comment by lumi mwandelile on February 14, 2012 at 10:53am si mchezo
Comment by FURAHA TAUSI on February 13, 2012 at 8:33am MBAGALA MNALETEWA BURUDANI MPAKA MLANGONI
Comment by Matilanga Lukingita on February 10, 2012 at 10:15pm Huyu mwanahabari wa TBC amelala au ndiyo mapozi
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
Sili Silali |
| 5 |
IL-YA |
| 6 |
chama baby |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
kaka |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Kelvin Luhala Eto'o |
othman Ochu posted a status
mrembo commented on Sili Silali's photo

You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers