WANAMUZIKI WALIVYONG’AA TUZO ZA MUZIKI ZA KILI

Isha Mashauzi akiwa na tuzo ya Wimbo Bora wa taarab.

Queen Darin akiwashukuru mashabiki waliompigia kura.

Ally Kiba akiwashukuru mashabiki waliompigia kura.

Kiongozi wa African Stars, Luiza Mbutu (katikati), akiwa na tuzo ya Wimbo Bora wa Kiswahili.

Diamond na Ommy Dimpozi wakikamua.

Msanii wa filamu, Shilole akipozi mbele ya kamera.

Diamond akipozi kupiga picha na mama yake.

Mmoja wa akina dada walioudhuria hafla hiyo akihojiwa na mwandishi wa habari.

Diamond akipozi na shabiki wake.

Ally Kiba akielekezwa sehemu ya kukaa.

Wanamitindo Asia Irdaous (kushoto) na Ally Rehmtullah.
Salma Jabu 'Nisha' akiwa na Flora Mvungi. 

Shabiki wa muziki akifuatilia utoaji tuzo huo.

H. Baba na mchumba wake Flora Mvungi.

Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo ulijaa shangwe na vifijo wakati wanamuziki wa Bongo walipokuwa wakitunukiwa zawadi za umahiri wa sanaa hiyo zijulikanazo kama KILI MUSIC AWARDS 2012.

(PICHA NA ISSA MNALLY/GPL)

Views: 1718

Tags: KILI

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by mency mgl on April 16, 2012 at 5:25pm

Thumbs up!

Comment by VUVUZELA ZELA on April 16, 2012 at 1:08pm

MJARIBU KUTUMIA NGUO ZINAZOLINGANA NA MAUMBO YENU !!!

Comment by Mtanganyika Masalia on April 16, 2012 at 12:58pm

haya bwana hakunaga la kusemaga

Comment by Devotha Meena on April 15, 2012 at 1:59pm
Mbona Wema na Jokate hawakwepo? Duuuuh nimemic vituko vyao
Comment by Mawazo Katota on April 15, 2012 at 12:51pm

Hongera Wasanii wote waliopata tuzo natumaini Watanzania wamefanya kweli bila zengwe. Binafsi nimeridhika na uteuzi wa waliochaguliwa KWELI WANASTAHILI KUPOKEA TUZO "BIG UP AND KEEPIT UP"

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service