WAKALI WA MICHANO ILALA WATINGISHA DAR LIVE, MBAGALA

Mmoja wa washindani, Halid Salim, akikamua.

Baraka Daniel akichana mashairi.

...Shindano likiwa limepamba moto.

Washindani wakiwapamoja kabla ya shindano.

Majaji wa shindano (toka kushoto) Abadalah Mrisho, DJ John Dilinga na Ally Baucha.

Hawa ndiyo tano bora.

Waimbaji wa Twanga Pepeta Salehe Kupaza (kulia) na Dogo Rama wakiwapa burudani mashabiki.

Kimwana, Nadya Charles wa kundi la Shani Stars akitoa burudani ya nguvu.

SHINDANO  la Mkali wa Michano (The Mic King) vijana wa wilaya ya Illala lililofanyika jana Jumapili ndani ya Ukumbi wa Taifa wa Burudani Dar Live ulioko Mbagala jijini Dar es Salaam, lilikuwa la aina yake.

Shindano hilo lililoshirikisha vijana kumi lilisindikizwa na bendi ya muziki wa dansi ya African Stars ‘Twanga

Pepeta’  na kuwapa wakati mgumu majaji kuwachagua watakaoingia katika tano bora.

                                                              (Picha na Issa Mnally/GPL) 

Views: 170

Tags: DAR, LIVE

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by mayalilwa Mar 8. 26 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

Lee Blackman posted a status
1 minute ago
Lee Blackman posted a status
4 minutes ago
Tammara Ezell posted a status
16 minutes ago
Josefa Fernandez posted a status
16 minutes ago
Josefa Fernandez posted a status
18 minutes ago
Josefa Fernandez posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
20 minutes ago
Josefa Fernandez posted a status
20 minutes ago
Josefa Fernandez posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
20 minutes ago
Josefa Fernandez posted a status
26 minutes ago
Josefa Fernandez posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
26 minutes ago
Harold Nagel posted a status
26 minutes ago
macksi fire posted a status
34 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service