VAN PERSIE ATWAA TUZO YA KUFIKISHA MAGOLI 20 UINGEREZA

Robin van Persie akiwa na tuzo yake ya mtu wa kwanza kufikisha magoli 20.

MCHAWI wa soka wa timu ya Arsenal ya Uingereza, Robin van Persie, jana alitunukiwa tuzo ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga magoli 20 katika ligi kuu ya Uingereza msimu huu unaoendelea.

Van Perseie ambaye ndiye kepteni wa Arsenal alizawadiwa tuzo hiyo huko London Colney, kufuatia timu yake kuifunga Blackburn magoli 7-1 kwenye Uwanja wa Emirates, Jumamosi ambapo alifunga magoli matatu na kufikisha magoli 22 katika mechi 24 ilizocheza timu hiyo.

Mchezaji huyo pia alikuwa wa kwanza kufikisha magoli 10 ambapo alifikisha idadi hiyo alipofunga magoli matatu ambapo timu yake iliishinda Chelsea kwa magoli 5-1 kwenye dimba la Stamford Bridge mwezi Oktoba mwaka jana.

Magoli 22 ya Van Persie yameweka pengo la magoli sita kati yake na Demba Ba wa Newcastle United, na pengo la magoli saba kati yake na Sergio Aguero wa Manchester City na Wayne Rooney wa Manchester United.

CHANZO: www.arsenal.com

Views: 304

Tags: 20, ATWAA, KOMBE, KUFIKISHA, LA, MAGOLI, PERSIE, UINGEREZA, VAN

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by lumi mwandelile on February 14, 2012 at 11:05am

hongera kijana

Comment by FURAHA TAUSI on February 13, 2012 at 8:31am

SAFI SANA

Comment by marimar ethan on February 11, 2012 at 11:54am

NICE

Comment by Gerrardinho Robert on February 11, 2012 at 12:14am
Huyo ndiyo Van magoli,
Comment by Mawazo Katota on February 10, 2012 at 11:23pm
Hongera sana Mheshimiwa siku zote chanda chema huvishwa pete.
Comment by julius manning on February 10, 2012 at 5:44pm

congraturation

Comment by mency mgl on February 10, 2012 at 4:33pm

Safi sana... sasa ukimaliza msimu uje Real Madrid sawaeee!!!


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
8 minutes ago
GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
8 minutes ago
othman Ochu posted a status
"SCENE 1 WAHUSIKA: AMIDU , SHARIFA MAHALI: ZANZIBAR MUDA : JIONI ( WAKIWA WANASHUKA TOKA KATKA BOTI YA JION KUINGIA KATKA MJI WA ZANZI"
9 hours ago
Priscus Adelard shared GLOBAL's blog post on Facebook
9 hours ago
mrembo commented on julius manning's photo
Thumbnail

Mtanzania huru

"pole sana usijali iko siku mungu atakujaalia mungu hamtupi mja wake"
10 hours ago
mrembo commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"mama mzima hayawani mavazi gani hayo takupa mfano chungwa likiwa halijamenywa unatamani ulile…"
10 hours ago
kaka commented on Ali Amur Ali's video
Thumbnail

AZIMIO LA KUANGAMIZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

"hapo ni kina dada kutua comment zao"
10 hours ago
Gaston Kayombo commented on Ali Amur Ali's video
12 hours ago
roylicious and Jackson Jacob are now friends
12 hours ago
babu wa loliondo (cup) updated their profile
12 hours ago
julius manning commented on julius manning's photo
Thumbnail

vijana 2016 itakuwa hivi

"@furaha mimi ni kikongwe hayo ni kazi kwako."
13 hours ago
Masalu Mayeji Many'hasimha shared GLOBAL's blog post on Facebook
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website