Irene Uwoya.

Wema Sepetu.

Kajala Masanja.

Na Mwandishi Wetu
NYUMA ya kuporomoka kwa afya ya Irene Uwoya, kuna siri nzito ambayo imefichuka, ikidaiwa kuwa pamoja na yeye, mastaa wengine wa kike Bongo akitajwa Wema Sepetu na Kajala Masanja, wanatumia dozi maalumu ya wanawake ya kupunguza unene.
Kwa mujibu wa chanzo makini cha Ijumaa ambacho kimeweka kambi kwenye tasnia ya muvi Bongo, warembo hao wamekuwa ‘bize’ kwa wiki kadhaa wakijitahidi kuweka miili yao miepesi kwa kutumia dozi hiyo.
“Kuna baadhi ya mastaa ukiwaona utahisi wanaumwa au wana matatizo yanayowakondesha, lakini ukweli ni kwamba wanatumia dozi ya kujikondesha,” kilisema chanzo hicho na kuongeza:
“Nyie wenyewe ni mashahidi, juzikati kuna baadhi ya mastaa walikuwa wakilalamikia unene, lakini sasa malalamiko hayasikiki tena kwa sababu mkombozi amepatikana.”

KWANI UWOYA ALISEMAJE?
Hivi karibuni Uwoya alinaswa akiwa amedhoofu afya yake kwenye uwanja wa mpira wa miguu wa Taifa, Dar ambapo alipoulizwa kulikoni kukondeana kiasi hicho alijitetea: “Ni mabadiliko tu ya kawaida, hata mimi najishangaa.”


NI DAWA GANI?
Chanzo hicho kiliendelea kutambaa na mistari kuwa, kuna dawa ambayo inatolewa na mwigizaji mmoja maarufu ambayo inaitwa Slimming Tea kutoka Afrika Kusini.

NI STAA GANI?
Ijumaa lilipombana mtoa habari huyo kuhusu staa anayetoa dozi hiyo, alikubali kumtaja kuwa ni Ummy Wenslaus ‘Dokii’ na kwamba amekuwa akiwapa dozi hiyo mastaa wengi pamoja na wanawake wengine.

DOKII ATOBOA SIRI
Baada ya kumegewa mchongo huo, Ijumaa lilizungumza na Dokii ambaye alitoa siri kutoa dozi hiyo kwa mastaa mbalimbali ambayo imewasaidia kuweka sawa maumbile yao.
“Kusema kweli nimetoa dozi kwa wanawake wengi na wanashukuru. Hata mastaa nimewapa wengi tu,” alisema Dokii.


Juzi Jumatano mwandishi wetu alifanya jitihada za kuwapata Wema na Kajala kuzungumzia juu ya matumizi ya dozi hiyo lakini hakufanikiwa kuwapata kufuatia simu zao za mkononi kutokuwa hewani.

Views: 7788

Tags: ijumaa11

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by pjoan audes on February 16, 2012 at 6:44pm
Hapa tuseme mnamtangazia biashara yake dokii au nini? manake cha ajabu hakuna hapa unless ni dozi ya mambo yetu ya kisasa!
Comment by Medaice Ice on February 16, 2012 at 12:12am
Stare garama bt mwshowake hata garama gan haitasaidia kitu..
Comment by Fauzia Maundi on February 13, 2012 at 8:56am

DOKII TUNAOMBA UWEKE NAMBA YAKO YA SIMU ILI IWE RAHISI KUWASILIANA NA WEWE KWANI TUKO WENGI TUNAO ITAKA HIYO DAWA YA KUPUNGUZA UNENE SLIMMING TEA YA KUTOKA AFRIKA KUSINI

MIMI NAMBA YANGU NI 0715025723 NAOMBA UNIPIGIE ILI NIWEZE KUPATA HUDUMA HIYO

 

 

Comment by isabella godfrey on February 13, 2012 at 8:41am

kweli kazi mnayo kila kitu mkisikia mmo subilini shuguli yake maana mmekalia kumkosoa mungu alivyowaumba.

Comment by DR .ALLY MOHAMED MAKWATILA on February 11, 2012 at 7:23pm

dawa za namna hiyo zina madhara makubwa kwa baadaye

Comment by samora rajab albert on February 11, 2012 at 7:08pm

izo dawa hazina madhara lkn?

Comment by marimar ethan on February 11, 2012 at 11:46am

ila irene ahapendza kbsaa alvyopungua sijpendaa ametshaaa mhmm

Comment by marimar ethan on February 11, 2012 at 11:46am

AAGRIIIIIIIIIIIIIIIIIIII MI NIKAJUA SIJUI KITU GN DUH

Comment by Bryso Wilson on February 11, 2012 at 11:25am
Mnakosa story za kuandika kila siku kina wema wenye tabia chafu
Comment by Edna Venant on February 11, 2012 at 8:42am
Uwoya mbona unatisha sasa? pole sana mama K.


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
8 minutes ago
GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
8 minutes ago
othman Ochu posted a status
"SCENE 1 WAHUSIKA: AMIDU , SHARIFA MAHALI: ZANZIBAR MUDA : JIONI ( WAKIWA WANASHUKA TOKA KATKA BOTI YA JION KUINGIA KATKA MJI WA ZANZI"
9 hours ago
Priscus Adelard shared GLOBAL's blog post on Facebook
9 hours ago
mrembo commented on julius manning's photo
Thumbnail

Mtanzania huru

"pole sana usijali iko siku mungu atakujaalia mungu hamtupi mja wake"
10 hours ago
mrembo commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"mama mzima hayawani mavazi gani hayo takupa mfano chungwa likiwa halijamenywa unatamani ulile…"
10 hours ago
kaka commented on Ali Amur Ali's video
Thumbnail

AZIMIO LA KUANGAMIZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

"hapo ni kina dada kutua comment zao"
10 hours ago
Gaston Kayombo commented on Ali Amur Ali's video
12 hours ago
roylicious and Jackson Jacob are now friends
12 hours ago
babu wa loliondo (cup) updated their profile
12 hours ago
julius manning commented on julius manning's photo
Thumbnail

vijana 2016 itakuwa hivi

"@furaha mimi ni kikongwe hayo ni kazi kwako."
13 hours ago
Masalu Mayeji Many'hasimha shared GLOBAL's blog post on Facebook
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website