Na mwandishi wetu
IKIWA ni siku chache tangu mumewe, Hamad Ndikumana ‘Kataut’ alipoondoka Bongo, Irene Pancras Uwoya anadaiwa kudhalilika ukumbini baada ya kigauni kifupi alichotinga kushindwa kumsitiri hivyo ‘kufuli’ lake kuwa nje nje, aya zifuatazo zina undani kamili.
Tukio hilo la kusikitisha lilichukua nafasi ndani ya Ukumbi wa Business Park Kijitonyama, Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo kulikuwa na ‘bethidei’ ya mwaka mmoja ya Klabu ya Bongo Movie.
MAPEDESHEE WAJIPITISHA
‘Shushushu’ wa gazeti hili aliwashuhudia wanaume hasa mapedeshee wakijipitisha mbele ya meza aliyokuwa amekaa Uwoya na mwigizaji mwenzake, Blandina Chagula ‘Johari’.
Hata hivyo, ilielezwa kuwa kilichomponza Uwoya ni kigauni alichovaa kifupi kilichosababisha nguo hiyo ya ndani nyeupe kuonekana kirahisi alipokuwa amekaa.
NENO LA WADAU
“Duh! Mama Krish (Uwoya) katoka bomba lakini kile kigauni kinamdhalilisha, kinaonesha kufuli yake nyeupe.
Ukweli ni kwamba angekuwepo Ndiku (mumewe) asingefanya hivyo kwa sababu angemlindia heshima,” alisema mmoja wa wadau waliomshuhudia staa huyo ambaye muda mwingi alikuwa kimya ukumbini humo.
UWOYA VIPI?
Jitihada za kuzungumza na Uwoya juu ya tukio hilo hazikuzaa matunda kufuatia simu yake kuita bila kupokelewa.
Hivi karibuni Ndiku alitimka Bongo na kwenda kwao Rwanda kujiunga na timu ya Rayon Sports huku akimwacha mkewe huyo na mwanaye Krish.
Comment
Comment by david martin chotimbao on March 30, 2012 at 12:20pm KUMBUKA KUWA KUNA KUFA SIJUI NA KABURINI UTAENDELEA NA KATABIA KAKO CHACHAFU! UNATUCHEFUAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Comment by beatrice Thomas Kereth on March 29, 2012 at 3:26pm Johani nawe umekuwa mbaya yani umeshazeeka.unasubiri nini dada si uolewe sasa hivi nadhani ushafikisha 30's.Na hayo manyonyo mbona moja kubwa na lingine dogo? UWOYA NAE KWISHA HABARI YAKE! UMEKONGOROKA USO WASWAHILI HUSEMA "HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA"
Comment by Marlown Mwaisanila on March 29, 2012 at 2:20pm
Comment by pjoan audes on March 28, 2012 at 5:30pm Kwanza ni usiku na pia mpiga picha ndiye mchokonozi kuvizia apige picha uvunguni mwa kiti alichokalia irene!
HIYO CHUPI MBONA NI NDEFU SANA UTAFIKILI UMENEPISHWA
Comment by Sir.Njau on March 27, 2012 at 3:51pm dah Aunt jitahidi kujistiri basi kwan utatupoteza mashabiki wako kwan umezidi sasa hadi hicho ambacho angelipaswa akione mtu ambaye mko faragha unatuonesha ni jinsi gani ambavyo hujieshimu
Comment by Aysha on March 27, 2012 at 11:58am KWA KWELI NDUGU ZETU HAWA WAMEZIDI, HATA KAMA NI HUO USTAA HAPA UMEPITA KIWANGO! NAONA NI BORA SERIKALI IWABUNIE SHERIA YA MAVAZI. WAMEZIDIIIIIIIIIIIIIIIIIIII........WANATUZALILISHA WANAWAKE.
Comment by Mamy Shaluathu on March 27, 2012 at 9:51am hUYU DADA MSHENZI NA LIMBUKENI, AMELEWA SANA UMAARUFU. TATIZO WANADHANI WAKIVAA NGUO FUPI NDIO WANAPENDEZA ONA SASA ANAVYOJIDHALILISHA. BORA INGEKUWA NYEUSI IKAFANANA NA NGUO ALIYOVAA. SERIKALI INGELIANGALIA HILI SWALA HAWA WANATUDHALILISHA WANAWAKE.
Comment by chalz on March 26, 2012 at 4:46pm Ndikumana pole sana kwani ulipata garasha.
Comment by Johan Aloyce on March 26, 2012 at 12:33pm Tabia ya mtu haina dawa jamani na biashara ni matangazo na jinsi alivyokaa inaonyesha kuwa anakijua alicho dhamiria, huu ni umalaya lol
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE yesterday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
tina babi left a comment for emmanuel mruma
tina babi left a comment for usiamini bila kuchunguza
tina babi left a comment for Bonaventura Temba
tina babi left a comment for paul elias
tina babi left a comment for benard william
tina babi left a comment for Abas R.Mzumbasha
tina babi left a comment for Mohamedi Zuberi Mbwana
tina babi left a comment for seif watuma
tina babi left a comment for Henrick Komba
tina babi left a comment for Martin Kaunda
tina babi left a comment for Phonce
tina babi left a comment for PAUL STANSLAUS© 2013 Created by Global Publishers.




You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers