Na Musa Mateja
Utulivu na ukimya wa Elizabeth Michael ‘Lulu’, unadaiwa kuwa na kitu nyuma yake kwani hata mtaani kwa mashosti zake haonekani kama alivyozoeleka.
Kwa mujibu wa mashosti zake aliozoea kujiachia nayo kwenye kumbi za starehe jijini Dar, amekuwa akionekana kwa nadra na mara ya mwisho kumuona alikuwa mwenye mawazo na hatumii tena kilevi kama alivyozoeleka.
Lulu ambaye hawezi kutimba sehemu na kuondoka kimyakimya bila ‘kuharibu’, amekuwa na ukimya wa ajabu tangu mwaka huu umeanza.
Marafiki hao walidai kuwa wamekuwa wakimchunguza huku mwenyewe akiwaeleza kuwa hata yeye mwenyewe hajielewi ni kitu gani kilichompata lakini hayuko vizuri.
Ili kupata mzani wa habari hiyo, Ijumaa Wikienda lilimuweka kitako kwa siku mbili tofauti ili kueleza kinachomsibu lakini amekuwa akikosa jibu zaidi ya kusingizia mfungo wa Kwaresma na wakati mwingine kudai hajielewi.  

Views: 14058

Tags: ijumaawikienda11

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by pjoan audes on April 11, 2012 at 10:50pm

John bosco, hivi ukikuta wezi wawili mmoja kafa na mwingine kabaki utasema aliyebaki ndio kamuua aliyekufa?! hawa wote walikuwa wanatenda dhambi wameumbuliwa na umauti kwani hayo ndio malipo ya uongo tena wa kumuapia Mwenyezi Mungu.

Pia masharti aliyokuwa amepewa lulu ili aqualify kuolewa na kanumba yalikuwa mazito kwa kijana ambaye bado yuko kwenye foolish age yalikuwa yanampa msongo wa mawazo ndio maana kila alipoulizwa alisingizia kwaresima au kutojitambua kwanini yuko vile!

Comment by laurenciamsunga on April 11, 2012 at 12:52pm

haaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!! ngoma ikivuma     ujue iko mbioni kupasuka polen sana wafiwa.

Comment by Aminael FF on April 10, 2012 at 2:19pm

ama kweli kimya kingi kina mshindo!!!!!!!! Poleni wafiwa na watz wote

Comment by Focus Kunambi on April 9, 2012 at 12:15pm

LULU ULIPOHOJIWA NA SALAMA ULIKANA KABISA KUWA NA MCHUMBA, PIA UKAJIAPIZA KWA MUNGU, HUYO THE GREAT NAYE AKAWA ANAKUCHUKUA KWA SIRI NYUMBANI KWAKE, SASA KILA KITU HADHARANI. R.I.P KAMANDA KANUMBA, UMEMPIGANIA LULU MPAKA TONE LAKO LA MWISHO LA DAMU, KWELI WEWE ULIKUWA 'MPAMBANAJI JASIRI''

Comment by CBB on April 9, 2012 at 1:02am

Kweli wahenga walisema kimya kingi kina mshindo mkuu...... Pole kwa familia ya kanumba. Hii sio lulu ni balaa!

Comment by john bosco on April 8, 2012 at 11:15pm

hivi kweli bado lulu hajasema alichomfanyia kanumba ili kumsababishia kifo????

kuondoka kwake eneo la tukio bila kusema chochote kama mwizi inaonyesha kwamba anahusika moja kwa moja!!!!!

Comment by Richard Rugajo on April 8, 2012 at 2:40pm

Mh! yadunia nimengi, ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni!! R. I. P Kanumba.

Comment by ally kahamba on April 8, 2012 at 2:33pm

Haya kimya kingi kina mshindo mkuu haya sasa yamemkuta makubwa kuliko hata yale ya ulevi na kutembea nusu uchi....

 

Comment by charles king on April 8, 2012 at 2:00am

Daima roho na mwili hubashili tukio litakalo tokea in future, pole kwa familia ya marehemu s. kanumba gona miss u kanumba.

Comment by S. Arthur on April 8, 2012 at 1:31am

haaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!11 ukimya wake sasa umefanya matukio kama si kumloga mwenzie kanumba basi atakua ni siku zake za  mwisho kwa uhai wake.

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

dedankimathi posted a status
4 minutes ago
GLOBAL's 5 blog posts were featured
6 minutes ago
Adrienne Conger posted a status
6 minutes ago
dedankimathi posted a status
6 minutes ago
GLOBAL posted blog posts
14 minutes ago
dedankimathi posted a status
24 minutes ago
dedankimathi posted a status
26 minutes ago
Ralph Pettis posted a status
28 minutes ago
Sherrie Hartnett posted a status
34 minutes ago
Melissa Sanchez posted a status
42 minutes ago
Melissa Sanchez posted a status
45 minutes ago
Preston Goebel posted a status
45 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service