Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Dodoma (UDOM ) wameanzisha mgomo tangu jana usiku na kuendelea nao leo asubuhi. Mgomo huo ambao hasa unafanyika katika Chuo Cha Sayansi Jamii (social science) una madai makuu mawili; moja likiwa ni la kufanya mafunzo kwa vitendo na la pili ni kudai miundombinu bora. Taarifa zaidi zinadai kua wanafunzi wa Social Science wamekua wakibaguliwa linapokuja suala la mafunzo kwa vitendo. Kuna wanafunzi wa Social Science ambao sasa wako mwaka wa mwisho lakini hawajawahi kufanya mafunzo kwa vitendo na hivyo wanahoji .
Imeelezwa kuwa wanafunzi waliamshwa saa kumi alfajiri kwa viboko ili kuungana
na wenzao ambao waliandmana kwenda ofisini kwa waziri mkuu na kujikuta katikati ya FFU ambao waliwatawanya kwa mabomu ya machozi!
PICHA YA MAKTABA NEWS ALERT NA ULANGA ALLY (MWANABIDII)
Comment
Comment by SALEHE TOBA on December 24, 2010 at 10:51am
Comment by zecho on December 23, 2010 at 9:36am
Comment by justine baranyikwa on December 21, 2010 at 9:13am sasa ndo mnafanya nini? Mbona na nyie mmemgomea Rais? Au hamjui suala la kuhakikisha ubora wa elimu ni moja kati ya ahadi zake na kama hicho ndo alichowaahidi so mnagomea nini? Nyie U DOM ni waajabu sana tulitegemea wasomi kama nyie ndo mgekuwa mstari wa mbele kutazama maovu ya nchi na kusapoti wanaharakati kama wabunge wa CHADEMA ila ushamba wenu uliwafanya kukurupuka tu, Kweli kunakitu hamkipati kama wanavyuo wenzenu hasa hizo field ndo maana mnajua kuwa hapo chuoni ndo mmemaliza kila kitu. Ondoeni tongotongo kunekucha eh!!!!!!!!
Comment by lion on December 21, 2010 at 6:16am poleni wanafunzi lakini msikate tamaa daini mpaka mwisho
Comment by zinga on December 21, 2010 at 12:06am Afwande waongezee ri rungu la kichwa hawo!! Mura biga kabisa yarazwe yote hosbitali..... hayana adabu kabisa hayo. Yanaghoma wakati jusi tu yalimpongesa mkulu wa nji kwa usindi wa kisindo.... Biga biga sana hao afwande!!! Wanatia aibu taifa hili kwa utofu wa nidhamu
Comment by simon massawe on December 20, 2010 at 11:10pm SERIKALI MLIYOKUWA MNAIUNGA MKONO NI NYINGINE AU NI ILE ILEEEEE! NYINYI SI MLIONA CHADEMA WAJINGA KUTOKA BUNGENIIII HAYA SASA KILA FISI AHANGAIKE NA MFUPA WAKE.
Vipi nyie UDOM nyie si ndiyo chuo cha ccm na Mheshimiwa sana ??? Inakuwaje sasa?? wakati wenzenu wakiandamana nyie mlikuwa mnalaaani sasa inakuwaje na nyie mnagoma ????? vipi mmesha jitenga na Thithiem semeni tujuwe maaana mlijifanya wajanja
Comment by vita wilbards on December 20, 2010 at 6:59pm MLIPOPINGA CHADEMA KUTOKA BUNGENI WENYE AKILI TULIJUA NI UJINGA WENU TU KUNA SIKU MTAKUA NA MTAYAONA YA DARINI
Comment by vita wilbards on December 20, 2010 at 6:58pm MLIPOPINGA
Comment by vita wilbards on December 20, 2010 at 6:58pm BWANA JAMES UMENIKUNA NILIKUWA NAHOJA KAMA YAKO
NDIO MAAANA MI NILIHOJI WALIOPINGA HATUA YA UDOM NI WANAFUNZI AU WANA CCM WALIOPO UDOM
GPL LIFANYIE KAZI HILI KAMA MKO OBJECTIVE KWELI
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
Sili Silali |
| 5 |
IL-YA |
| 6 |
chama baby |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
kaka |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Kelvin Luhala Eto'o |
othman Ochu posted a status
mrembo commented on Sili Silali's photo

You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers