SUPER D AANZISHA PROGRAMU YA KUTAFUTA MABONDIA KUMI BORA ITAKAYOANZA MEI 4

Rajabu Mhamila, 'Super D'.

Kocha wa kambi ya Ngumi ya mkoa wa Ilala Kimichezo, Rajabu Mhamila, 'Super D', ameanzisha programu maalum ya kuwafanyisha mazoezi mazito mabondia wake.

Ameamua kuanzisha programu hiyo kwa ajili ya kuwajengea uwezo wa kuwa na pumzi na nguvu kwa ajili ya kukabiliana na wapinzani.
Akizungumza leo, Kocha huyo alisema kuwa mabondia wake watashiriki katika mashindano ya 10 bora yaliyoandaliwa na Kinyogoli Foundation
yatakayofanyika Mei 4.
Alisema kuwa mabondia hao watazichapa katika mpambano wa aina yake utakaofanyika mwezi ujao katika Ukumbi wa Panandi Panandi Ilala.
“Nimeanzisha programu ya aina yake kwa ajili ya kuwajengea uwezo mabondia wangu ili waweze kuwa na pumzi za kutosha katika mashindano
mbalimbali” alisema. Super D.
Aidha aliongeza kwa kusema wanaomba wadhamini kujitokeza kusaidia vitu mbalimbali kwa ajili ya kufanikisha mchezo huo wa masumbwi kwa
kuwapatia vijana zawadi ndogo ndogo za kuwatia moyo. Mashindano hayo yatakayowashirikisha vijana mbalimbali katika uzito
tofauti yatakuwa na lengo la kuendeleza mchezo wa masumbwi nchini.
Mapambano yatakuwa mengi kwa kuwa vijana wengi wamejitokeza kuja kujiandikisha kushiriki siku hiyo alisema Super D.

Views: 60

Tags: 4, ANZISHA, BORA, D, ITAKAYOANZA, KUMI, KUTAFUTA, MABONDIA, MEI, PROGRAMU, More…SUPER, YA

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

tina babi left a comment for Malangahe Joseph
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
7 seconds ago
Tawanna Buck posted a status
12 seconds ago
tina babi left a comment for simon sanga
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
13 seconds ago
Tawanna Buck posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
25 seconds ago
Tawanna Buck posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
25 seconds ago
tina babi left a comment for brain gadau
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
40 seconds ago
dedankimathi posted a status
1 minute ago
tina babi left a comment for jacobs 2 jacobs
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for Frank Jonas M
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for Audifax Rugarabamu
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for edilaina
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
Tawanna Buck posted a status
""
2 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service