Na Shakoor Jongo
MSANII wa filamu ambaye pia anafanya muziki, Zuena Mohammed ‘Shilole’  na demu mwenzake aliyefahamika kwa jina la Hawa Juma ‘Mama Ayana’ hivi karibuni waliwaacha watu midomo wazi baada ya kugandana kimahaba mbele za watu.

Zuena Mohammed ‘Shilole’ na Hawa Juma ‘Mama Ayana’ wakiwa wamegandana kimahaba.

Tukio hilo lilitokea Msasani jijini Dar kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi ambako kulikuwa na pati ya kusherehekea kuzaliwa kwa Hawa.
Wakiwa eneo hilo, wawili hao walionekana kuwa karibu sana na lilipofika zoezi la kulishana keki na kufika zamu ya Shilole aliyekuwa MC, Hawa aliweka pembeni ‘stiki’ aliyokuwa akiitumia kulishia watu wengine kisha kutumia mdomo wake kumlisha msanii huyo.

Shilole na Hawa wakisogeleana kimahaba.

Kitendo cha wawili hao kugandishiana midomo yao huku wakionekana wenye hisia, kilichukua muda wa takriban sekunde 60, mazingira yaliyowafanya baadhi ya waalikwa kuanza kunong’ona kuwa, kilichofanyika ni usagaji.
“Dah! Ndiyo nini sasa vile anafanya mama Ayana, mi’ sijapendezewa, watu si watahusisha na mambo ya usagaji,” alisikika akisema mama mmoja wa makamo.

Zuena Mohammed ‘Shilole’.

Hata hivyo, wenyewe walipozungumza na Ijumaa kwa nyakati tofauti walisema kuwa, walichokifanya si kitu cha ajabu. Aidha, taarifa zilizopatikana baadaye zinadai kuwa mwanaume ambaye amejiweka kwa mama Ayana (jina kapuni) alipopewa taarifa za tukio hilo alifura kuonesha kutofurahishwa nalo.

Hawa Juma ‘Mama Ayana’.

Views: 4856

Tags: ijumaa11

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by Kisagase A H on January 6, 2013 at 5:11pm

wamekosa wanaume wa kuwakuna hawa

Comment by Halima Kimoto on January 2, 2013 at 1:48pm

Finar jahanam mashetani wakumbwa nyie ni Kaumu Luti acheni wigo jikitini katika tamaduni za kitanzania.

Comment by dinah kimz on December 22, 2012 at 9:28am

hawana wanaume wa kuwakidhi mahitaji yao lbd

Comment by Chrispin varelian on December 18, 2012 at 10:14pm

LAANA

Comment by Bolt Mshindi on December 16, 2012 at 3:25pm

Shilole hebu nitafute shosti nikushauri,

Comment by Focus Kunambi on December 15, 2012 at 9:26pm

@ kimama kinini, wakomeshe kabisa hawa wanaharamu, mwenzetu wewe uliyejaaliwa

Comment by richardngeze on December 15, 2012 at 4:24pm

Ndiyo maana Typhoid haiishi.

Comment by VUVUZELA ZELA on December 14, 2012 at 10:30pm

Wanataka kuandikwa magazetini , sura mbaya kama kiatu cha chooni !

Comment by kibaaa on December 14, 2012 at 9:00pm

Hi inatokana na kila kitu chao kuwa feki, uzuri feki, elimu feki, umaarufu feki, maisha feki, urafki wao feki, wanaume wao feki, mapato yao yote wanayapata kwa njia feki no tax, mawasiliano yao feki, muonekano wao feki, ulimbukeni ndio umewajaa, kutaka kuwaharabu watoto wa wenzao. pumbavu wakubwa hao. tafadhali GPL tunawaomba msituwekee mambo kama haya ya kifeki. 

Comment by Matilanga Lukingita on December 14, 2012 at 7:49pm

Malaya hawa hakuna wa kuoa hapa. Labda hao wasanii wenzao

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

Matilanga Lukingita commented on GLOBAL's blog post Mtibwa yamkaribisha Bahanuzi
"Rudi mashambani kaka. Dar imekushinda siku hizi mpira ni mahesabau siyo kukimbia tuuuuuu uwanjani.…"
9 seconds ago
tina babi left a comment for azan abdalla
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
9 seconds ago
tina babi left a comment for Richard Erasto
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
37 seconds ago
tina babi left a comment for juma musa
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
54 seconds ago
GLOBAL's 8 blog posts were featured
2 minutes ago
tina babi left a comment for chiko
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for daniel paul
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for MANGI WA MANGI
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
GLOBAL posted a blog post
2 minutes ago
tina babi left a comment for samson ruhele
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for kidudu m2
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
3 minutes ago
tina babi left a comment for mahmoud mohamed
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
3 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service