Na Erick Evarist
MSANII wa filamu Bongo ambaye pia anafanya freshi kwenye muziki wa mduara, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ (pichani) amefunguka kuwa katika maisha yake ya kimapenzi hatasahau siku aliyobakwa na mwanaume ambaye kwa sasa hawezi kumuweka wazi.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Shilole alisema kuwa tukio hilo lilimfika akiwa ndiyo kwanza anaingia kwenye ulimwengu wa malavidavi ambapo mwanaume huyo alimlazimisha kufanya naye mapenzi.
“Katika maisha yangu nimepitia mitihani mingi, mmoja wapo ni huu wa kulazimishwa kufanya mapenzi bila ridhaa yangu, kwa kifupi nilibakwa. Niliumia sana hasa ukizingatia kuwa kipindi hicho nilikuwa sijawahi kabisa kufanya mambo hayo.
“Kila ninapomkumbuka yule mwanaume naumia sana, kamwe sitamsahau. Historia hii na nyingine kuhusu maisha yangu inapatikana katika filamu yangu mpya inayoitwa Shilole In Dar,” alisema Shilole.
Comment
Comment by Frank Fungamenza on February 20, 2012 at 11:13pm Hivi huyu mnaemuita Shilole anatufanya sisi wapumbavu sioo?...eti nilibakwa!..si ungekuwa uliripoti polisi kama ulibakwa?...leo ndio unakumbuka kama ulibakwa au umemkumbuka jamaa kwa kazi nzuri aliyoifanya?
Kama tukio ulilichukia si ututajie aliekufanyia?....na kwake ulienda kufanya nini kama sio umbeya unakusumbua wewe!....ulipigwa mashine ukaifurahia ndio maana huwezi kusahau full stop!!
Comment by baraka ndesamburo on February 19, 2012 at 10:29am aiseee na we ulienda kutafuta nini kwa huyo mwanaume mpaka ukabakwa pole mwapenda vya dezo nyie
Comment by Lea Mkwizu on February 17, 2012 at 9:31pm
Comment by Kakytee The Director on February 16, 2012 at 12:43pm duh hii hataringi kumbe umebirkiwa kwa kubakwa? ptuuuuu!!!!!1111 pole sana
Comment by Medaice Ice on February 16, 2012 at 12:26am
Comment by Lutchiana Robert on February 15, 2012 at 12:39pm umebakwa sehemu gani za mwili wako
Comment by peter d. mwaimu on February 15, 2012 at 12:27pm Ilikuwaje alikukamata kwa nguvu na kukuingiza ndani kwake au uliingia kwa hiyari yako? Pole dada
Comment by EMMANUEL THOMAS NGAO on February 14, 2012 at 3:33pm Dah unatuzingua bwana ww unafikiri ss ni watoto wadogo nn yani ubakwe alafu ukae kimya huyo mtu hutaki kumtaja wala hujamripoti Police acha sanaa ww kila mahali unaona kwa kuleta usanii. Tuambie tu kuwa ni mtu wako huyo na ulipata utamu siku ile.....
Comment by Kagi Wakagi on February 14, 2012 at 12:51pm | 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
Sili Silali |
| 5 |
IL-YA |
| 6 |
chama baby |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
kaka |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Kelvin Luhala Eto'o |
othman Ochu posted a status
mrembo commented on Sili Silali's photo

You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers