Hussein Mkiety ‘Sharo Milionea’.

Na Erick Evarist
MWANAMUZIKI ambaye pia ni mchekeshaji Bongo, Hussein Mkiety ‘Sharo Milionea’ juzikati ameshutumiwa kutapeli mkwanja wa shoo.
Chanzo chetu cha kuaminika kimedai kuwa, Sharo Milionea hivi karibuni alikubaliana na promota aitwaye Christopher Nicolous kwenda kupiga shoo tatu katika Wilaya ya Ifakara mkoani Morogoro ambapo alipokea ‘advance’ ya shilingi laki 6 kati ya laki 9 aliyotakiwa kulipwa.
Ikadaiwa kuwa, ilipofika siku ya shoo, msanii huyo alikataa kuingia mzigoni baada ya kubaini kuwa anakotakiwa kwenda kupiga shoo ni mbali kutoka Ifakara mjini.
“Jamaa walimpa laki sita, tayari na matangazo kibao walishalipia lakini alipofika na kuambiwa ajiandae kwa shoo, akachomoa kufanya shoo tatu kwa madai kwamba aongezewe mkwanja,” alisema mtoa habari huyo.
Ijumaa lilimtafuta Sharo Milionea kuzungumzia ishu hiyo na alipopatikana alisema: “Jamaa walinilazimisha kwenda mbali zaidi tofauti na makubaliano mi’ nikakataa, nikawarudishia mkwanja wao wa advance, wanasema nimewatapeli kwa kuwa niligoma kuwarudishia fedha za matangazo walizotaka nilipe.”

Views: 1265

Tags: ijumaa11

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by richardngeze on August 3, 2012 at 2:40pm

Jambawazi mkubwa

Comment by Muller on July 28, 2012 at 8:08pm

Hivi jamani koti la Ngozi ndani ya Bongo linavalika kweli ?  joto la bongo minimum basi ni 27 degree mshkaji ana koti la ngozi si mchezo

 

Comment by Maji Marefu on July 28, 2012 at 12:15am

pole sana

Comment by julius manning on July 27, 2012 at 1:19pm
ukweli ni mzuri katika business
Comment by davie on July 27, 2012 at 9:50am

HAJATAPEL ANANGALIA MASLAI. KAMATA MWIZI MEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN

Comment by lumi mwandelile on July 27, 2012 at 9:31am

sheria ifate mkondo wake ili arudishe

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by mayalilwa Mar 8. 26 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service