Richa Adhia: Bado najipanga ila nitaolewa tu

Na Rhobi Chacha
MISS Tanzania mwaka 200, Richa Adhia amesema kuwa ndoa na mchumba wake wa muda mrefu aliyemtaja kwa jina la Hridhaan Dhllon itafungwa siku chache zijazo.
Akizungumza na Ijumaa, Richa alisema kuwa, amekuwa akiulizwa juu ya ndoa yake huku wengine wakidhani imeyeyuka lakini akasema wako katika maandalizi na siku ikiwadia wadau watajua.
“Ni muda mrefu nimetangazia watu kuwa naolewa baada ya kuchumbiwa lakini kiukweli bado tunaweka mambo sawa, kikubwa tuombe uzima.
“Ila naomba watu waelewe kuwa ndoa za Tanzania ni ngumu tofauti na za desturi ya kwetu kwani za Tanzania nyingi zinategemea michango ya watu ila za kwetu hakuna kuchangiana kivile hivyo yanahitajika maandalizi ya muda mrefu,” alisema Richa.

Views: 706

Tags: championi11

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by juma othman shaaban on February 18, 2012 at 4:35pm

KILA LA KHERI RICHA &DHILON

Comment by Mawazo Katota on February 11, 2012 at 12:31am

Hamna lolote wapuuzi na wazinzi wakubwa. Hakuna sababu ya kuchelewesha ndoa katika dini  kwa kusubiri sherehe. we sema unaendelea ku justify uzinifu wenu

Comment by Lillian j on February 10, 2012 at 6:04pm

Ndoa za tz ni ngumu? Sema uchangiwe kama mahari haijakamlika maana desturi  zenu binti ndiye atoa mahari

Comment by Lillian j on February 10, 2012 at 5:46pm

mhhh kumbe si mtanzania? 

Comment by julius manning on February 10, 2012 at 5:26pm

kazi kwako binti

Comment by Rogers Mwachali on February 10, 2012 at 3:29pm
Na nchi yetu haijaruhusu uraia wa nchi mbili kwa hiyo umekiri wewe si mtanzania watu wa uhamiaji fanyeni kazi yenu.
Comment by lumi mwandelile on February 10, 2012 at 2:06pm

tena huoni hata aibu kujiita miss TZ, hovyooooo

Comment by lumi mwandelile on February 10, 2012 at 2:05pm

hivi kumbe wewe si mtanzania, ilikuwaje ukapewa taji la miss tz??!! hii nchi bwana, wageni kama nyie mnafanya nini kwenye nchi yetu?

Comment by Aminael FF on February 10, 2012 at 1:25pm

umeona huandikwi sana kwenye magazeti sasa njia ni hiyooo??????Jeshi fanyeni kazi zenu huyu binti alisema yeye ni Mtanzania leo sio Mtanzania anafanya nini hapa???

Comment by john john on February 10, 2012 at 11:23am

Kwa hiyo hukuwa Mtanzania, unakubali mwenyewe kuwa uligushi uraia ukashiriki mashindano ya urembo kama miss Tanzania ????


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
7 minutes ago
GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
7 minutes ago
othman Ochu posted a status
"SCENE 1 WAHUSIKA: AMIDU , SHARIFA MAHALI: ZANZIBAR MUDA : JIONI ( WAKIWA WANASHUKA TOKA KATKA BOTI YA JION KUINGIA KATKA MJI WA ZANZI"
9 hours ago
Priscus Adelard shared GLOBAL's blog post on Facebook
9 hours ago
mrembo commented on julius manning's photo
Thumbnail

Mtanzania huru

"pole sana usijali iko siku mungu atakujaalia mungu hamtupi mja wake"
10 hours ago
mrembo commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"mama mzima hayawani mavazi gani hayo takupa mfano chungwa likiwa halijamenywa unatamani ulile…"
10 hours ago
kaka commented on Ali Amur Ali's video
Thumbnail

AZIMIO LA KUANGAMIZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

"hapo ni kina dada kutua comment zao"
10 hours ago
Gaston Kayombo commented on Ali Amur Ali's video
12 hours ago
roylicious and Jackson Jacob are now friends
12 hours ago
babu wa loliondo (cup) updated their profile
12 hours ago
julius manning commented on julius manning's photo
Thumbnail

vijana 2016 itakuwa hivi

"@furaha mimi ni kikongwe hayo ni kazi kwako."
13 hours ago
Masalu Mayeji Many'hasimha shared GLOBAL's blog post on Facebook
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website