Rehema Fabian aanguka, alazwa kwa presha

Na Gladness Mallya.

MREMBO aliyepata umaarufu kupitia ushiriki wake kwenye Shindano la Miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian amedondoka ghafla kwa presha na kukimbizwa hospitalini.
Kwa mujibu wa chanzo makini cha Ijumaa, Rehema alikutwa na hali hiyo kutokana na presha kushuka alipokuwa ‘akishuti’ filamu (haikutajwa) katika Barabara ya Sam Nujoma maeneo ya Mlimani City, Dar es Salaam mwanzoni mwa wiki hii.
“Baada ya kudondoka tulihisi ana ugonjwa wa kuzimia ovyo lakini tulipomkimbiza Hospitali ya Kinondoni (Dar es Salaam), tuliambiwa ni presha ilikuwa imeshuka ‘so’ alilazwa kwa saa kadhaa, akatundikiwa ‘dripu’ mbili hadi aliporejea kwenye hali ya kawaida,” kilisema chanzo chetu.
Akizungumza na paparazi wetu muda mfupi baada ya kuruhusiwa, Rehema alisema aliishiwa nguvu ghafla na hakujua kilichofuata hadi alipozinduka na kujikuta akiwa katundikiwa dripu.
“Huwa nina tatizo la presha kushuka, lakini nina muda mrefu kwa hiyo nilifikiri limekwisha lakini kumbe tatizo liko palepale, namshukuru Mungu, naendelea na dozi,” alisema Rehema ambaye amekuwa akiripotiwa kuumwa mara kwa mara. 

Views: 1168

Tags: ijumaa11

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by samora rajab albert on February 11, 2012 at 8:14pm

pole

Comment by Mawazo Katota on February 11, 2012 at 12:39am

We Maning acha kuwachulia watoto wa watu unafikiri ngoma mchezo.

Comment by julius manning on February 10, 2012 at 5:35pm

pole mama ,kumbuka na kuchukua kipimo kikubwa

Comment by Rogers Mwachali on February 10, 2012 at 3:34pm
Pole sana ila kama ni kweli we chapombe inabidi uache.
Comment by kaka on February 10, 2012 at 2:21pm

POMBE NA KAZI WAPI NA WAPI DADA ACHA POMBE CHAPOMBE MKUBWA WEWE

Comment by lumi mwandelile on February 10, 2012 at 12:54pm

presha!! sema una kifafa

Comment by john john on February 10, 2012 at 11:26am

Unywaji wa ko wa pombe unachangia kuwa na hali hiyo. Acha kabisa.

Comment by FURAHA TAUSI on February 10, 2012 at 10:59am

HEEE POLE NA POMBE UACHE


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
7 minutes ago
GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
7 minutes ago
othman Ochu posted a status
"SCENE 1 WAHUSIKA: AMIDU , SHARIFA MAHALI: ZANZIBAR MUDA : JIONI ( WAKIWA WANASHUKA TOKA KATKA BOTI YA JION KUINGIA KATKA MJI WA ZANZI"
9 hours ago
Priscus Adelard shared GLOBAL's blog post on Facebook
9 hours ago
mrembo commented on julius manning's photo
Thumbnail

Mtanzania huru

"pole sana usijali iko siku mungu atakujaalia mungu hamtupi mja wake"
10 hours ago
mrembo commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"mama mzima hayawani mavazi gani hayo takupa mfano chungwa likiwa halijamenywa unatamani ulile…"
10 hours ago
kaka commented on Ali Amur Ali's video
Thumbnail

AZIMIO LA KUANGAMIZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

"hapo ni kina dada kutua comment zao"
10 hours ago
Gaston Kayombo commented on Ali Amur Ali's video
12 hours ago
roylicious and Jackson Jacob are now friends
12 hours ago
babu wa loliondo (cup) updated their profile
12 hours ago
julius manning commented on julius manning's photo
Thumbnail

vijana 2016 itakuwa hivi

"@furaha mimi ni kikongwe hayo ni kazi kwako."
13 hours ago
Masalu Mayeji Many'hasimha shared GLOBAL's blog post on Facebook
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website