MREMBO aliyepata umaarufu kupitia ushiriki wake kwenye Shindano la Miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian amedondoka ghafla kwa presha na kukimbizwa hospitalini.
Kwa mujibu wa chanzo makini cha Ijumaa, Rehema alikutwa na hali hiyo kutokana na presha kushuka alipokuwa ‘akishuti’ filamu (haikutajwa) katika Barabara ya Sam Nujoma maeneo ya Mlimani City, Dar es Salaam mwanzoni mwa wiki hii.
“Baada ya kudondoka tulihisi ana ugonjwa wa kuzimia ovyo lakini tulipomkimbiza Hospitali ya Kinondoni (Dar es Salaam), tuliambiwa ni presha ilikuwa imeshuka ‘so’ alilazwa kwa saa kadhaa, akatundikiwa ‘dripu’ mbili hadi aliporejea kwenye hali ya kawaida,” kilisema chanzo chetu.
Akizungumza na paparazi wetu muda mfupi baada ya kuruhusiwa, Rehema alisema aliishiwa nguvu ghafla na hakujua kilichofuata hadi alipozinduka na kujikuta akiwa katundikiwa dripu.
“Huwa nina tatizo la presha kushuka, lakini nina muda mrefu kwa hiyo nilifikiri limekwisha lakini kumbe tatizo liko palepale, namshukuru Mungu, naendelea na dozi,” alisema Rehema ambaye amekuwa akiripotiwa kuumwa mara kwa mara.
Comment
Comment by samora rajab albert on February 11, 2012 at 8:14pm pole
We Maning acha kuwachulia watoto wa watu unafikiri ngoma mchezo.
Comment by julius manning on February 10, 2012 at 5:35pm pole mama ,kumbuka na kuchukua kipimo kikubwa
Comment by Rogers Mwachali on February 10, 2012 at 3:34pm
Comment by kaka on February 10, 2012 at 2:21pm POMBE NA KAZI WAPI NA WAPI DADA ACHA POMBE CHAPOMBE MKUBWA WEWE
Comment by lumi mwandelile on February 10, 2012 at 12:54pm presha!! sema una kifafa
Comment by john john on February 10, 2012 at 11:26am Unywaji wa ko wa pombe unachangia kuwa na hali hiyo. Acha kabisa.
Comment by FURAHA TAUSI on February 10, 2012 at 10:59am HEEE POLE NA POMBE UACHE
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
Sili Silali |
| 5 |
IL-YA |
| 6 |
chama baby |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
kaka |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Kelvin Luhala Eto'o |
othman Ochu posted a status
mrembo commented on Sili Silali's photo

You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers