Na Erick Evarist
MKATA mayenu kunako Bendi ya Extra Bongo, Otilia Boniface (pichani) anatarajia kupigwa ndoa ya kimyakimya na sherehe itafuata baadaye.
Akipiga stori na  Motomoto Newz juzikati jijini Dar, mchumba wa mnenguaji huyo, Ally Zae alisema anaona kama vikao vya harusi vinachelewesha kuoana hivyo ni bora waoane kwanza kisha sherehe zifuate.
“Vikao vya harusi yetu vimeshaanza lakini itatangulia ndoa ya kimyakimya kisha baadaye ndiyo itafuata sherehe ambayo watu wengi watapata kuhudhuria,” alisema Zae.
Otilia alipoulizwa juu ya suala hilo la kuolewa kimyakimya alisema; “Kwangu yote ni heri sababu jambo hilo ni la heshima hivyo sioni kama kuna tatizo na nina muomba Mungu alifanikishe haraka.”

Views: 840

Tags: amani11

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by kaka on February 28, 2012 at 9:12am

NA TARAKA IWE YA KIMYAKIMYA PIA

Comment by Mawazo Katota on February 24, 2012 at 11:55pm

Sijamuelewa huyu jamaa anachotaka ni kufunga ndoa bila ya sherehe ya harusi au ni kunyakua mwanamke na kuendele kuzini nae huku wakingoje kufunga ndoa rasmi

Comment by samora rajab albert on February 24, 2012 at 6:50pm

weye kweli una hamu ya ndoa

Comment by Theddy Jacob on February 23, 2012 at 3:53pm

Tulieni. mjipange

Comment by Theddy Jacob on February 23, 2012 at 3:52pm

Harry harry has no blessing so. Tulieni au mnafikiri ndoa ni safari ya kwenda na kurudi.

Comment by julius manning on February 23, 2012 at 2:50pm

Ndoa ni ndoa tu ahudhurie mtu mmoja au muwe peke yenu na mfungishaji yote sawa tu

Comment by FURAHA TAUSI on February 23, 2012 at 12:12pm

UNAOGOPA UNAWEZA KUACHWA KWENYE MATAA??


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
12 minutes ago
GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
12 minutes ago
othman Ochu posted a status
"SCENE 1 WAHUSIKA: AMIDU , SHARIFA MAHALI: ZANZIBAR MUDA : JIONI ( WAKIWA WANASHUKA TOKA KATKA BOTI YA JION KUINGIA KATKA MJI WA ZANZI"
9 hours ago
Priscus Adelard shared GLOBAL's blog post on Facebook
9 hours ago
mrembo commented on julius manning's photo
Thumbnail

Mtanzania huru

"pole sana usijali iko siku mungu atakujaalia mungu hamtupi mja wake"
10 hours ago
mrembo commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"mama mzima hayawani mavazi gani hayo takupa mfano chungwa likiwa halijamenywa unatamani ulile…"
10 hours ago
kaka commented on Ali Amur Ali's video
Thumbnail

AZIMIO LA KUANGAMIZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

"hapo ni kina dada kutua comment zao"
10 hours ago
Gaston Kayombo commented on Ali Amur Ali's video
12 hours ago
roylicious and Jackson Jacob are now friends
12 hours ago
babu wa loliondo (cup) updated their profile
12 hours ago
julius manning commented on julius manning's photo
Thumbnail

vijana 2016 itakuwa hivi

"@furaha mimi ni kikongwe hayo ni kazi kwako."
13 hours ago
Masalu Mayeji Many'hasimha shared GLOBAL's blog post on Facebook
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website