Akisalimiana na mwenyeji wake ambaye ni mmiliki wa Quality Centre, Yusuf Manji. Anayeshuhudia katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Meck Sadiq.
WAZIRI Mkuu wa Kenya, Raila Odinga, jana jioni alitua hapa nchini kwa ajili ya shughuli za uzinduzi wa jengo la kisasa la biashara la Quality Centre, lililopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam. Shughuli hizo hizo zinatarajiwa kuzinduliwa leo asubuhi.
Akipokea heshima kutoka kwa maofisa wa jeshi la polisi waliokwenda kumpokea.
Manji akitambulishwa kwa baadhi ya viongozi waliokuwa kwenye msafara wa Odinga.
Odinga akiingia kwenye gari kupelekwa sehemu alipopangiwa kupumzika.
Gari lililombeba.
Watumishi wa Quality Centre Screen yenye urefu wa mita 11 na upana wa mita 5 wakiwa katika moja ya kumbi saba za sinema zinazotarajiwa kuzinduliwa leo.
PICHA: RICHARD BUKOS / GPL
Comment
Ni sawa na Hell's Gate Shopping centre ya Joberg kwa mzee Jacob Zuma
Comment by FURAHA TAUSI on November 25, 2011 at 3:39pm ASILIMIA KUBWA YA BIASHARA ZINAZOFANYIKA NDANI YA JENGO HILO NI ZA KAMPUNI MOJA YA KENYA KWA HIYO LAZIMA ODINGA WAJE WAFUNGUE
Comment by Kissa Anyigulile on November 25, 2011 at 10:47am Mengi Abraham acha longolongo za kujikomba kwa wanasiasa wa chama tawala, wakiondoka utakoma. Angalia wenzako mambo ya siasa hawana mpango nayo, na sasa wako juu sana. Ndio maana alidai fidia ya shilini moja tu toka kwako.
...uyu Manji angetakiwa awe MCHAGA,,,,anasaka mahela kinoma,,,duh!!!!!!!
Comment by lumi mwandelile on November 25, 2011 at 9:58am manji kiboko
Comment by ANDERSON SOGOLE on November 25, 2011 at 9:53am
Comment by nisile mchappi mwasulama on November 25, 2011 at 9:05am HUYU JAMAA KWA SURA NI KAMA ANALIA _LAKN VERY FIRM TI ISSUES UNLIKE MKWERE,......AHAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
Sili Silali |
| 5 |
IL-YA |
| 6 |
chama baby |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
kaka |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Kelvin Luhala Eto'o |
othman Ochu posted a status
mrembo commented on Sili Silali's photo

You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers