ODINGA ALIVYOZINDUA JENGO LA QUALITY CENTRE

Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga jana Nov 25, 2011 alifungua Jengo la kibiashara la kisasa la Quality Centre lililopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam. Pichani ni Mhe. Odinga (kulia) akiangalia bidhaa za Super Market ya Uchumi inayomilikiwa na Wakenya iliyomo kwenye jengo hilo.

Mmilikiwa wa jengo hilo, Yusuf Manji (kulia) akimuongoza mwenyeji wake (Odinga).

Msafara ukiwa kwenye ngazi za umeme wakati wa kuzunguuka kwenye jengo hil

...Wakiangalia sinema kwenye moja kati ya kumbi saba za kisasa zilizomo kwenye jengo hilo.

Mhe. Odinga akijiandaa kurusha mpira (Bowling) kwenye moja ya michezo iliyomo kwenye jengo hilo.

Mgeni rasmi akikagua kituo cha michezo.

...wakiangalia sarkasi na ngoma za asili

Manji akimkaribisha mgeni rasmi kutoa hotuba

Sehemu ya umati uliofurika kwenye uzinduzi huo.

Mgeni rasmi akihutubia umati uliofurika

Mke wa Odinga, Ida Odinga akisikiliza hotuba

geni rasmi akikata utepe kuashiria uzinduzi wa jingo hilo.

Jengo la Quality Centre, lipo Nyerere Road, jirani na kiwanda cha National Battery

Mbunge wa zamani wa Igunga, Rostam Azizi (katikati) akibadilishana mawazo wageni waalikwa.

Wafanyakazi wa duka la Manzelline lililopo kwenye jingo hilo wakiwa kwenye pozi ndani ya Ukumbi wa burudani wa Savanna ambapo sherehe ya uzinduzi huo ilifanyika.

Meneja wa Maendeleo wa Quality Centre, Sara Pima (Wa pili kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na wabunge wa viti maalum

Mke wa Manji (kwanza kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mama Odinga na wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mhe. Odinga akiwa kwenye picha ya pamoja na raia wa Kenya walioalikwa kwenye hafla hiyo

Wahudumu wa mapokezi wa Jengo la Quality Centre, Amina (kushoto) na Zuhura wakiwa na nyuso za tabasamu wakati wakikaribisha wageni wageni

PICHA : RICHARD BUKOS / GPL             

Views: 829

Tags: Q-CENTRE

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by Mawazo Katota on February 14, 2012 at 8:07pm

Hii ndio Dar es salam ya sasa kwa wenye nazo. Panapendeza.

Comment by lumi mwandelile on November 28, 2011 at 7:53am

hii ni bab kubwa

Comment by ANDERSON SOGOLE on November 26, 2011 at 8:58pm
aise iliikuwa ni bonge la uzinduzi


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
6 minutes ago
GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
6 minutes ago
othman Ochu posted a status
"SCENE 1 WAHUSIKA: AMIDU , SHARIFA MAHALI: ZANZIBAR MUDA : JIONI ( WAKIWA WANASHUKA TOKA KATKA BOTI YA JION KUINGIA KATKA MJI WA ZANZI"
9 hours ago
Priscus Adelard shared GLOBAL's blog post on Facebook
9 hours ago
mrembo commented on julius manning's photo
Thumbnail

Mtanzania huru

"pole sana usijali iko siku mungu atakujaalia mungu hamtupi mja wake"
10 hours ago
mrembo commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"mama mzima hayawani mavazi gani hayo takupa mfano chungwa likiwa halijamenywa unatamani ulile…"
10 hours ago
kaka commented on Ali Amur Ali's video
Thumbnail

AZIMIO LA KUANGAMIZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

"hapo ni kina dada kutua comment zao"
10 hours ago
Gaston Kayombo commented on Ali Amur Ali's video
12 hours ago
roylicious and Jackson Jacob are now friends
12 hours ago
babu wa loliondo (cup) updated their profile
12 hours ago
julius manning commented on julius manning's photo
Thumbnail

vijana 2016 itakuwa hivi

"@furaha mimi ni kikongwe hayo ni kazi kwako."
13 hours ago
Masalu Mayeji Many'hasimha shared GLOBAL's blog post on Facebook
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website