Na Shakoor Jongo
MWIGIZAJI wa kitambo Bongo, Nuru Nassor ‘Nora’ amedai kuwa staa mkubwa wa muvi, Vincent Kigosi ‘Ray’ anamchukia, hali iliyosababisha pakachimbika kati yao.
Nora aliliambia Ijumaa mwanzoni mwa wiki hii kuwa, Ray amekuwa akimzibia riziki kwa kumnyima madili ya kucheza filamu huku akionesha dhahiri chuki na kumtangaza kwamba ni Chizi (mtu mwenye wazimu au akili kidogo).
“Ray amekuwa akininyima madili ya kucheza filamu, mbaya zaidi akiitwa kama ‘dairekta’ kwenye muvi huwa akisikia kama nitakuwa mmoja wa waigizaji katika filamu hiyo huwa anakataa nisiigize au anakataa udairekta,” alidai Nora.
Ili kupata mzani wa habari hiyo, Ijumaa lilimgeukia Ray na kummwagia ‘upupu’ wote ambapo mbali na kukasirishwa na maneno hayo, alikuwa na haya ya kusema:
“Nora alishapotea kwenye gemu, anataka kurudi kwa mgongo wangu, mimi simchukii Nora na wala sijawahi kumbania mahali popote, ni vema akasema ni filamu gani niliyobana asiigize.”
Hata hivyo, wawili hao walikubalina na ushauri wa Ijumaa kuwa wakutane, wazungumze na kumaliza tofauti zao.

Views: 2283

Tags: ijumaa11

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by samwel omahe on February 22, 2012 at 5:19pm

eeeeeeh!!! mwachen na nora naye apete mbona bado yumo kwenye chat!!!!

Comment by ANDERSON SOGOLE on February 13, 2012 at 8:38am
kwanini mnuniane?
Comment by julius manning on February 10, 2012 at 5:19pm

promo

Comment by juma othman shaaban on February 10, 2012 at 5:09pm

pole sana nora, yote ndio maisha wala usijali kwani kila kitu kina mwisho, iko siku utapata dili la ukweli

Comment by Rogers Mwachali on February 10, 2012 at 3:21pm
Ray acha wivu wa kike halafu si alikuwa demu wako huyo? Umemchoka ndo unaanza kumbania.
Comment by lumi mwandelile on February 10, 2012 at 12:17pm

kweli furaha nora ni mfamaji anatafuta pa kufia

Comment by gianna sika on February 10, 2012 at 11:37am

jamani huyu kaka sijui ni majano amejipaka alafu hajasafisha uso vizuri au nimkorogo umezidi hivi siuache tu sasa kujichubua jamani huoni aibu hadi kinyaa

Comment by FURAHA TAUSI on February 10, 2012 at 10:42am

MFA MAJI HAISHI KUTAPATAPA

Comment by kaka on February 10, 2012 at 10:17am

SAWA RAY  NIMEKUELEWA


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
6 minutes ago
GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
6 minutes ago
othman Ochu posted a status
"SCENE 1 WAHUSIKA: AMIDU , SHARIFA MAHALI: ZANZIBAR MUDA : JIONI ( WAKIWA WANASHUKA TOKA KATKA BOTI YA JION KUINGIA KATKA MJI WA ZANZI"
9 hours ago
Priscus Adelard shared GLOBAL's blog post on Facebook
9 hours ago
mrembo commented on julius manning's photo
Thumbnail

Mtanzania huru

"pole sana usijali iko siku mungu atakujaalia mungu hamtupi mja wake"
10 hours ago
mrembo commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"mama mzima hayawani mavazi gani hayo takupa mfano chungwa likiwa halijamenywa unatamani ulile…"
10 hours ago
kaka commented on Ali Amur Ali's video
Thumbnail

AZIMIO LA KUANGAMIZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

"hapo ni kina dada kutua comment zao"
10 hours ago
Gaston Kayombo commented on Ali Amur Ali's video
12 hours ago
roylicious and Jackson Jacob are now friends
12 hours ago
babu wa loliondo (cup) updated their profile
12 hours ago
julius manning commented on julius manning's photo
Thumbnail

vijana 2016 itakuwa hivi

"@furaha mimi ni kikongwe hayo ni kazi kwako."
13 hours ago
Masalu Mayeji Many'hasimha shared GLOBAL's blog post on Facebook
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website