Maimartha Jesse.

Salome Ndumbagwe Misayo ‘Thea’.

Shamsa Ford.

Zamaradi Mketema.

Judith Wambura ‘Jide’.

Na Musa Mateja
TUNAWEZA kusema mwaka 2012 ni wa mimba kwa mastaa wa Kibongo, kwani kwa jumla wanafika watano wenye vibendi, wengine ni wa leo au kesho kujifungua, Amani lina ripoti kamili.
Kwa mujibu wa uchunguzi wetu, mastaa hao karibu wote wanahesabu siku kwa vile wamebakiza muda mchache, wengine wameanza kununua nepi na bebi shoo.
HAWA HAPA
Mastaa hao ni Shamsa Ford, Judith Wambura ‘Jide’, Maimartha Jesse, Salome Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ na Zamaradi Mketema.
NANI KAWADUNGA?
Hata hivyo, swali linaloulizwa na mashabiki wao limebaki kuwa nani wahusika wa mimba hizo kwa kila mmoja.
Shamsa Ford; jamaa anayetajwa kwa jina la Dickson ndiye anadaiwa kumdunga ujauzito staa huyo wa muvi za Kibongo huku Jide ambaye ni mwanamuziki mkubwa Bongo akijulikana ni mke wa mtangazaji Gardner G. Habash.
Maimartha yeye alifunga ndoa ya siri hivi karibuni na Raymond Mushi ambaye hataki picha yake ionekane kwenye vyombo vya habari, ikidaiwa anafanya kazi sehemu nyeti katika nchi hii.
Mcheza sinema Thea ni mke wa ndoa wa mwigizaji Michael Sangu ‘Mike’ kwa hiyo hakuna shaka kuwa, mimba inabaki kuwa ‘kitanda hakizai haramu’.

VIPI ZAMARADI?
Kazi iko kwa Mtangazaji wa Kipindi cha Take-One cha Clouds TV, Zamaradi Mketema ambaye mpaka sasa, baba wa mtoto wake mtarajiwa, hataki kumwanika licha ya kwamba, jina lake linajulikana na wengi kwa sababu ni mtu mwenye cheo.

WAHOFIA KUJIFUNGUA KWA ‘KISU’
Aidha, habari za kusikitisha ni kwamba, baadhi ya mastaa hao wenye ‘vibendi’ wanahofia endapo watajifungua kwa njia ya upasuaji (kisu).
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Amani, mastaa hao walisema wanamuomba Mungu kwa nguvu zote ili awaondelee shetani wa kisu siku ikifika.
Shamsa: “Namuomba Mungu anijalie nijifungue kawaida, siyo kwa upasuaji kwa sababu naogopa sana kupasuliwa na kutokana na maombi yangu naamini atanijalia.”
 Zamaradi: “Mimba yangu ni kubwa sana na ninatarajia  kujifungua siku si nyingi ila sitaki kuzungumzia chochote kwa sasa hadi nitakapojifungua.”
Thea: “Mimba hii ina miezi mingi ila haijafikia kujifungua na nitafurahi sana kama nitapata mtoto wa kike ingawa hayo yote ni mipango ya Mungu likiwemo la njia ya kujifungua.”
Kwa upande wao Maimartha na Jide hawakupatikana hewani kuzungumzia ishu hii.

Views: 3945

Tags: amani11

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by isabella godfrey on February 21, 2012 at 10:40am

inapendeza sana kwa maamudhi mliyochukua mtoto ni mzuri na anaraha yake hongereni sana.

Comment by Dongonyo Juniour on February 21, 2012 at 1:29am

Hongereni

Comment by Geo M. Godfrey on February 15, 2012 at 3:27pm

EH! ILA ZAMARADI KAKOMAA AISEE!! HE! UTADHANI AMELALA KWENYE PUMBA NA KUPAKA MAFUTA YA TAA!

Comment by Beatus Nchemwa. on February 15, 2012 at 3:16pm

HATIMAYE JIDE NAE KAPATA UJAUZITO! Mungu mkubwa!

Comment by kokusima on February 11, 2012 at 12:26am
Msiwacheke wenzenu kwa kugeuka, hasiye jua km zamaradi mzuri ni nani? Hizi mimba zinavyotufanya Mungu tu ndo anajua. Uzuri ni kilichomo ndani kikufikie salama. Mungu awe nanyi katika ulimwengu Huu wenye raha yake.
Mungu ni mwema.
Comment by kaka on February 10, 2012 at 2:56pm

Maimartha Jesse, HIYO  MIMBA NI YA MBEGU FUPI?MAANA  WEEK MOJA BADO MIMBA YA MIEZI SIPATI JIBU NDIO MAANA ULITAFUTA MUME BWEGE HATA KUTUONYESHA TAABU

Comment by thabit .. on February 10, 2012 at 12:13pm

ZAMARADI KAKOMAAA UTAZANI ANAKULA CEMENT!!!!

Comment by Tumaini john on February 9, 2012 at 5:04pm
Mmmm huyu zamaradi ni ndugu na bibi kidude nini
Comment by Deogratias Mhumbira on February 9, 2012 at 4:55pm
ni vizuri, kwani umri unakwenda
Comment by juma othman shaaban on February 9, 2012 at 4:50pm

jamni kwani hawa ni watu kamw wengine , cha msingi ni kuwaombea dua tuu


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
6 minutes ago
GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
6 minutes ago
othman Ochu posted a status
"SCENE 1 WAHUSIKA: AMIDU , SHARIFA MAHALI: ZANZIBAR MUDA : JIONI ( WAKIWA WANASHUKA TOKA KATKA BOTI YA JION KUINGIA KATKA MJI WA ZANZI"
9 hours ago
Priscus Adelard shared GLOBAL's blog post on Facebook
9 hours ago
mrembo commented on julius manning's photo
Thumbnail

Mtanzania huru

"pole sana usijali iko siku mungu atakujaalia mungu hamtupi mja wake"
10 hours ago
mrembo commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"mama mzima hayawani mavazi gani hayo takupa mfano chungwa likiwa halijamenywa unatamani ulile…"
10 hours ago
kaka commented on Ali Amur Ali's video
Thumbnail

AZIMIO LA KUANGAMIZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

"hapo ni kina dada kutua comment zao"
10 hours ago
Gaston Kayombo commented on Ali Amur Ali's video
12 hours ago
roylicious and Jackson Jacob are now friends
12 hours ago
babu wa loliondo (cup) updated their profile
12 hours ago
julius manning commented on julius manning's photo
Thumbnail

vijana 2016 itakuwa hivi

"@furaha mimi ni kikongwe hayo ni kazi kwako."
13 hours ago
Masalu Mayeji Many'hasimha shared GLOBAL's blog post on Facebook
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website