
Mzee Kipara akipata matibabu jana.
Muuguzi akimhudumia Mzee Kipara.
Baadhi ya wasanii waliofika kumjulia hali jana ni pamoja na Fatuma Makongoro 'Bi Mwenda' (mbele).
MSANII mkongwe wa maigizo na filamu, Mzee Fundi Said, aliyevuma katika fani hiyo tangu akishiriki uigizaji vipindi vya Radio Tanzania hadi kundi la Kaole, amefariki leo asubuhi majira ya saa 3:30 huko Kigogo. Hali ya msanii huyo ilianza kuwa ya utata miaka ya karibuni akisumbuliwa na matatizo kadhaa ya kimwili ambapo jana hali yake ilikuwa mbaya wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika makazi yake katika nyumba inayomilikiwa na kundi la Kaole.
Mtandao huu utawaletea habari zaidi za tukio hilo pindi zitakapopatikana.
PICHA: GLADNESS MALLYA NA RHOBI CHACHA, GPL
Comment
Comment by Mudy Seif Kabelele on January 12, 2012 at 8:53pm
Comment by Gaston Kayombo on January 12, 2012 at 7:01pm mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi
Comment by samora rajab albert on January 11, 2012 at 7:07pm innaa lillahi wainna ilayhi rajiun
Comment by julius manning on January 11, 2012 at 4:52pm poleni sana
Comment by DINA FLAMINGO on January 11, 2012 at 4:00pm pumzika kwa amani Mzee Kipara...
Innalillah wainnailayhi rajuun
Comment by Rogers Mwachali on January 11, 2012 at 3:17pm Bwana alito, Bwana ametwaa , jina la Bwana libarikiwe...astarehe pema peponi. Amen
mungu amlaze pema hakuna atakae baki milele sote safari yetu ni moja.
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
Sili Silali |
| 5 |
IL-YA |
| 6 |
chama baby |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
kaka |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Kelvin Luhala Eto'o |
othman Ochu posted a status
mrembo commented on Sili Silali's photo

You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers