





















Mambo yote haya utayapata ndani ya Quality Centre Shopping Mall.
More information, pls call:
QUALITY CENTRE: 0684 111 865 OR 0716 780 130
Comment
Leo naona ajabu kidogo kwa sababu inaonekana kuwa Global wametoka kwenye udaku nakujikita kwenye matangazo big up lakini mchezo huu usiendelee au usichukue nafasi kubwa.
Comment by manka on November 24, 2011 at 3:53pm vinavutia kweli, haswa hizo gauni mbili za rangi ya karot ni saiz za wanangu, mikoani mnatuma kwa mabasi?
Comment by FURAHA TAUSI on November 24, 2011 at 8:58am MMH HIYO BEI NI KUANZIA LAKI MOJA NA KUENDELEA....TUTABANANA HUKO KWENYE MTUMBA NA UCHINA MPAKA BASI
Comment by Real De' Dear on November 24, 2011 at 8:06am vi2 ni vizuri sana kwa mwenye wtt kazi kwenu.
Comment by Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) on November 24, 2011 at 1:30am Bidhaa ni nzuri na natumaini kwamba ni za kiwango kinachotakiwa. Kizungumkuti hata hivyo ni bei, na wengi wetu tusio na uwezo tutaishia kuzifaidi kwa macho tu. Ndiyo maisha!
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
Sili Silali |
| 5 |
IL-YA |
| 6 |
chama baby |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
kaka |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Kelvin Luhala Eto'o |
othman Ochu posted a status
mrembo commented on Sili Silali's photo

You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers