Father Christmas akipozi kupiga picha na watoto.
Hiyo ni sanamu ya Father Christmas iliyokuwepo katika lango kuu.
Umati wa watu wakiwa ndani ya mjengo huo.
Eneo la Token Counter ambako kulikuwa na michezo ya watoto lilifurika umati wa watu waliokuwa na shauku ya kufaidi burudani yake.
Watoto walijiachia kwa michezo mingi ikiwemo kuendesha magari.
Watoto waliotaka kuendesha pikipiki nao walifurahisha roho zao.
Watoto wakiwa katika helikopta ya Quality Centre.
Sehemu ambayo bidhaa za kila aina huuzwa.
Mjengo wa Quality Centre uliopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam jana ulifurika watu kibao wakiwa ni pamoja na wale waliokuwa na familia zao ili kwenda kupata burudani za kila aina na kujipatia mahitaji mbalimbali ambayo hupatikana hapo.
Mtandao huu ulikuwa huko ili kukuletea yaliyojiri huko ambapo miongoni mwa vivutio vya sikukuu hiyo ni kuwepo kwa Father Chirstmas ambaye alikuwa na kazi kubwa ya kuwapokea wageni na baadhi yao kupiga naye picha kwa ajili ya kumbukumbu.
PICHA NA ISSA MNALLY, GPL
.
Comment
Poleni mi naona bei poa tu. huwezi nenda machinga complex
duuh kumbe ilifana kimtindo big up waandaaji
Comment by FURAHA TAUSI on December 27, 2011 at 9:42am KWA RAHA ZENU
Comment by lumi mwandelile on December 27, 2011 at 9:16am si mchezo bei je
Comment by Real De' Dear on December 27, 2011 at 7:48am ilikuwa poa sana.
Comment by ANDERSON SOGOLE on December 26, 2011 at 11:21pm
Comment by Judith on December 26, 2011 at 7:49pm walipendeza
Ilikuwa Christmas nzuri sana kwa watoto wali enjoy
Comment by Global Publishers on December 26, 2011 at 3:25pm Kweli sasa walio ulaya watarudi nyumbani kwani kila kilichokuwa huko na kwetu kipo safi sana na
Comment by Global Publishers on December 26, 2011 at 3:25pm i like it kwa kweli
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
Sili Silali |
| 5 |
IL-YA |
| 6 |
chama baby |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
kaka |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Kelvin Luhala Eto'o |
othman Ochu posted a status
mrembo commented on Sili Silali's photo

You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers