MICHEZO YA WATOTO YAVUTIA WENGI QUALITY CENTRE

Father Christmas akipozi kupiga picha na watoto.
Hiyo ni sanamu ya Father Christmas iliyokuwepo katika lango kuu.
Umati wa watu wakiwa ndani ya mjengo huo.

Eneo la  Token Counter ambako kulikuwa na michezo ya watoto lilifurika  umati wa watu waliokuwa na shauku ya kufaidi burudani yake.

Watoto  walijiachia kwa michezo mingi ikiwemo kuendesha magari.

Watoto waliotaka kuendesha pikipiki nao walifurahisha roho zao.

Watoto wakiwa katika helikopta ya Quality Centre.

Sehemu ambayo bidhaa za kila aina huuzwa.

Mjengo wa Quality Centre uliopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam jana ulifurika watu kibao wakiwa ni pamoja na wale waliokuwa na familia zao ili kwenda kupata burudani za kila aina na kujipatia mahitaji mbalimbali ambayo hupatikana hapo.

Mtandao huu ulikuwa huko ili kukuletea yaliyojiri huko ambapo miongoni mwa vivutio vya sikukuu hiyo ni kuwepo kwa Father Chirstmas ambaye alikuwa na kazi kubwa ya kuwapokea wageni na baadhi yao kupiga naye picha kwa ajili ya kumbukumbu.

PICHA NA ISSA MNALLY, GPL  





Views: 330

Tags: Q-CENTRE

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by Mawazo Katota on February 14, 2012 at 8:05pm

Poleni mi naona bei poa tu. huwezi nenda machinga complex

Comment by kadama J'z on December 28, 2011 at 1:24am

duuh kumbe ilifana kimtindo big up waandaaji

Comment by FURAHA TAUSI on December 27, 2011 at 9:42am

KWA RAHA ZENU

Comment by lumi mwandelile on December 27, 2011 at 9:16am

si mchezo bei je

Comment by Real De' Dear on December 27, 2011 at 7:48am

ilikuwa poa sana.

Comment by ANDERSON SOGOLE on December 26, 2011 at 11:21pm
so funny
Comment by Judith on December 26, 2011 at 7:49pm

walipendeza

Comment by Mawazo Katota on December 26, 2011 at 4:47pm

Ilikuwa Christmas nzuri sana kwa watoto wali enjoy

Comment by Global Publishers on December 26, 2011 at 3:25pm
 Mary Andersson Comment by Mary Andersson 52 minutes ago
Delete Comment

Kweli sasa walio ulaya watarudi nyumbani kwani kila kilichokuwa huko na kwetu kipo safi sana na

Comment by Global Publishers on December 26, 2011 at 3:25pm
 marimar ethan Comment by marimar ethan 2 hours ago
Delete Comment

i like it kwa kweli


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
5 minutes ago
GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
5 minutes ago
othman Ochu posted a status
"SCENE 1 WAHUSIKA: AMIDU , SHARIFA MAHALI: ZANZIBAR MUDA : JIONI ( WAKIWA WANASHUKA TOKA KATKA BOTI YA JION KUINGIA KATKA MJI WA ZANZI"
9 hours ago
Priscus Adelard shared GLOBAL's blog post on Facebook
9 hours ago
mrembo commented on julius manning's photo
Thumbnail

Mtanzania huru

"pole sana usijali iko siku mungu atakujaalia mungu hamtupi mja wake"
10 hours ago
mrembo commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"mama mzima hayawani mavazi gani hayo takupa mfano chungwa likiwa halijamenywa unatamani ulile…"
10 hours ago
kaka commented on Ali Amur Ali's video
Thumbnail

AZIMIO LA KUANGAMIZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

"hapo ni kina dada kutua comment zao"
10 hours ago
Gaston Kayombo commented on Ali Amur Ali's video
12 hours ago
roylicious and Jackson Jacob are now friends
12 hours ago
babu wa loliondo (cup) updated their profile
12 hours ago
julius manning commented on julius manning's photo
Thumbnail

vijana 2016 itakuwa hivi

"@furaha mimi ni kikongwe hayo ni kazi kwako."
13 hours ago
Masalu Mayeji Many'hasimha shared GLOBAL's blog post on Facebook
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website