Mgomo wa madaktari, Wagonjwa waenda kufia kwao

-Ijumaa lashuhudia mmoja akifariki dunia mapokezi.
KUFUATIA mgomo wa madaktari unaoendelea, athari zimezidi kuwa kubwa kwa wagonjwa, Ijumaa limebaini.
Waandishi wetu walikuwepo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili juzi Jumatano na kushuhudia kifo cha Jonson Aseno (picha ya kulia) aliyefia mapokezi baada ya kukaa muda mrefu bila kupata huduma.
Akizungumzia tukio hilo, ndugu wa marehemu aliyejitambulisha kwa jina la Philip alisema kifo hicho kimewahuzunisha sana kwani kama kusingekuwa na mgomo kisingetokea.
Philip aliongeza kuwa, Johnson alipata masaibu hayo baada ya kuanguka ghafla eneo la Kariakoo ndipo walimkimbiza hospitalini hapo kwa ajili ya matibabu.
“Tukiwa Kariakoo pamoja na marehemu tukijiandaa kwenda Uwanja wa Taifa kuangalia mpira kati ya Yanga na Mtibwa alianguka ghafla ndipo tulipokodi gari na kumleta hapa,” alisema Philip na kuongeza;
“Tumekaa muda mrefu mapokezi bila kupata huduma na ndipo kaka yangu akafariki dunia.”
Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa tangu madaktari bingwa nao waingie kwenye mgomo, wagonjwa wamekuwa wakiondoka hospitalini hapo na kwenda kufia kwao.
Aidha, wakati gazeti hili linakwenda mtamboni baadhi ya wagonjwa wa akili walichukuliwa na ndugu zao na waliobaki mpango wa kuwarudisha makwao ulikuwa unafanywa.

Views: 534

Tags: ijumaa11

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by Mawazo Katota on February 11, 2012 at 12:46am

Nani wa kulaumiwa? baada ya serikali? mimi naona na madaktari wamekwenda kinyume cha taaaluma yao ya kuacha wagonjwa kufa kwa sababu ya maslahi. Unapopanga mgomo kama huu lazima uangalie huduma za dharura kama za wagonjwa kama hawa. kugoma moja kwa moja ni kukiuka maadili na hili sioni haya kulisema Inelekea siku moja Tanzania itakuwa nchi ya kwanza kwa vifo utakapotokea mgomo wa mdaktari wa nchi nzima. Endeleeni kuwa support.

Comment by Gerrardinho Robert on February 11, 2012 at 12:01am
Kazi ipo,
Comment by Gerrardinho Robert on February 10, 2012 at 11:58pm
Ee Mungu saidia taifa hili la tanzania
Comment by kaka on February 10, 2012 at 2:19pm

HAPO KAZI SASA


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
5 minutes ago
GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
5 minutes ago
othman Ochu posted a status
"SCENE 1 WAHUSIKA: AMIDU , SHARIFA MAHALI: ZANZIBAR MUDA : JIONI ( WAKIWA WANASHUKA TOKA KATKA BOTI YA JION KUINGIA KATKA MJI WA ZANZI"
9 hours ago
Priscus Adelard shared GLOBAL's blog post on Facebook
9 hours ago
mrembo commented on julius manning's photo
Thumbnail

Mtanzania huru

"pole sana usijali iko siku mungu atakujaalia mungu hamtupi mja wake"
10 hours ago
mrembo commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"mama mzima hayawani mavazi gani hayo takupa mfano chungwa likiwa halijamenywa unatamani ulile…"
10 hours ago
kaka commented on Ali Amur Ali's video
Thumbnail

AZIMIO LA KUANGAMIZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

"hapo ni kina dada kutua comment zao"
10 hours ago
Gaston Kayombo commented on Ali Amur Ali's video
12 hours ago
roylicious and Jackson Jacob are now friends
12 hours ago
babu wa loliondo (cup) updated their profile
12 hours ago
julius manning commented on julius manning's photo
Thumbnail

vijana 2016 itakuwa hivi

"@furaha mimi ni kikongwe hayo ni kazi kwako."
13 hours ago
Masalu Mayeji Many'hasimha shared GLOBAL's blog post on Facebook
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website