MATOKEO KIDATO CHA NNE, DENTI AZIMIA CHUMBA CHA INTANET MORO

Sikuzani Kibwana akiwa amelazwa nje kupata ubaridi.

Mwanafunzi mwenzake akimsubiri azinduke.

Mandhari ilivyo nje ya chumba cha Intanet.

MWANAFUNZI  aliyekuwa kidato cha nne  Shule ya Sekondari  Morogoro inayomilikiwa na serikali,  Sikuzani Kibwana, leo ameanguka ghafla na kupoteza fahamu katika chumba cha Intanet baada ya kusoma matokeo na kujikuta amefanya vibaya kwenye mtihani huo ambapo alioongozana nao wote wakiwa wamefanya vizuri.
Mwandishi wetu alishuhudia tukio hilo kwenye chumba cha Intanet cha Valentenes karibu na Uwanja wa Jamhuri katika Manispaa ya Morogoro ambapo wanafunzi wa shule mbali mbali walikuwa bize kuangalia matokeo ya kidato cha nne mwaka 2011 yaliobandikwa jana kwenye mtandao na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA).
Mwanafunzi huyo alianguka na kupoteza fahamu na kuzua taharuki kubwa kwa watu wote waliokuwemo ndani ya chumba hicho.
Wanafunzi wenzake walimtoa nje ili apigwe ubaridi na kuwapigia simu wazazi wake.
Hadi mtandao huu unaondoka hapo, mwanafunzi huyo alikuwa bado hajazinduka.


NA DUNSTAN SHEKIDELE, GPL, MOROGORO.

Views: 1709

Tags: 4, CHA, KIDATO, MATOKEO

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by Anoldius Paulo on February 16, 2012 at 5:14am

kuulie poa 2na kufail na kufaulu achuk

Comment by Dongonyo Juniour on February 10, 2012 at 4:12pm

Pole sana;  hayo ndio madhara yanayowakuta vijana wa sasa kuchanganya mambo kwa wakati mmoja starehe + Masomo usitegemee upate matokeo mazuri na hasa wezangu na mie wenye akili za kushikiliwa kwa gundi ya uji

Comment by lumi mwandelile on February 10, 2012 at 2:30pm

pole sana, ulichopanda ndicho ulichovuna

Comment by matura Matara on February 10, 2012 at 4:44am

Too bad hata huu mtandao haujaweza kumsubiri aamke au kufuatilia kujua anaendeleaje? Hii inaonyesha jinsi gani Global mlivyokosa enough skills, Yaani mmeshindwa hata kumtafutia doctor kujua kama kazimia, au kama kapata ukonjwa wowote wa kuanguka like stroke, heart attack etc??? ndo kwanza Global mkaamua kuondoka, U dont care about anyone,just wanna sell ya news. SHAME ON YOU GLOBAL, SHAME ON YOU.

Comment by Ukweli100 on February 10, 2012 at 4:05am

pole binti

Comment by Ukweli100 on February 10, 2012 at 4:04am

nyie jpl kazi kuchukua picha tu, hakuna jitihada zozote za kiafya ambazo mngeweza kufanya??wtf

Comment by Mawazo Katota on February 9, 2012 at 11:16pm
Pole sana binti ni jambo la kawaida wala sio kama huna akili mambo kama haya hutokea. Isitoshe mwaka huu waliofanya vibaya ni wengi kupita maelezo. Usikate tamaa, Jaribu tena kwa kusafisha cheti nina hakika utafika mbali "believe me".
Comment by Mawazo Katota on February 9, 2012 at 11:15pm
Pole sana binti ni jambo la kawaida wala sio kama huna akili mambo kama haya hutokea. Isitoshe mwaka huu waliofanya vibaya ni wengi kupita maelezo. Usikate tamaa, Jaribu tena kwa kusafisha cheti nina hakika utafika mbali "believe me".
Comment by samora rajab albert on February 9, 2012 at 9:41pm

heh hatari pole sana

Comment by mency mgl on February 9, 2012 at 8:51pm

Nakubariana na wewe KAKA kwani kuferi mtihani haimaanishi alikuwa mjinga...Inawezekana alikuwa anajiweza ila tu siku ya mwisho mambo yakawa mabaya mbona watu wengine vyuoni huwa wanaingia kwa pre entry harafu wanakimbiza


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
5 minutes ago
GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
5 minutes ago
othman Ochu posted a status
"SCENE 1 WAHUSIKA: AMIDU , SHARIFA MAHALI: ZANZIBAR MUDA : JIONI ( WAKIWA WANASHUKA TOKA KATKA BOTI YA JION KUINGIA KATKA MJI WA ZANZI"
9 hours ago
Priscus Adelard shared GLOBAL's blog post on Facebook
9 hours ago
mrembo commented on julius manning's photo
Thumbnail

Mtanzania huru

"pole sana usijali iko siku mungu atakujaalia mungu hamtupi mja wake"
10 hours ago
mrembo commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"mama mzima hayawani mavazi gani hayo takupa mfano chungwa likiwa halijamenywa unatamani ulile…"
10 hours ago
kaka commented on Ali Amur Ali's video
Thumbnail

AZIMIO LA KUANGAMIZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

"hapo ni kina dada kutua comment zao"
10 hours ago
Gaston Kayombo commented on Ali Amur Ali's video
12 hours ago
roylicious and Jackson Jacob are now friends
12 hours ago
babu wa loliondo (cup) updated their profile
12 hours ago
julius manning commented on julius manning's photo
Thumbnail

vijana 2016 itakuwa hivi

"@furaha mimi ni kikongwe hayo ni kazi kwako."
13 hours ago
Masalu Mayeji Many'hasimha shared GLOBAL's blog post on Facebook
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website