Mahojiano ya Wadau Bukoba Blog na Mama Kanumba, ndugu na jamaa kuhusu kifo cha Steven Kanumba kilichotokea usiku wa kuamkia jana nyumbani kwa Kanumba Vatican jijini Dar es Salaam.
VIDEO KWA HISANI YA WADAU BUKOBA BLOG
Comment
Comment by Frank Fungamenza on April 10, 2012 at 6:07am Pole sana mama,kazi yake mora haina dosari wala makosa.Ila nyie mliomhoji mama siku moja baada ya kutokwa na mwanae,inaonekana mmeshuka leo mjini!!! mtamhojije leo na mwanae kafa jana??? tena mlivyo na haraka utafikiri mnaoga nje,mama bado yupo airport nyie na makorokoro yenu tayari mahojiano!! kwani kusubiri!! aah acheni zenu hzo bna aah! mm sijapenda kabisa hk kitendo! haraka haraka utafikiri dala dala za Mwenge-Posta!! aah!
Poleni wadau wa Tasnia ya Filamu Tanzania na Africa kwa ujumla
Pole sana mama MUNGU akutie nguvu
Comment by samora rajab albert on April 8, 2012 at 1:08pm jamani inasikitisha sana anaaga anasafari ya marekani kumbe si marekani, alikuwa na safari ya mbali
Jamani huyu mama kanumba ananiliza mimi .. pole sana mama Mungu akutie nguvu.
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
tina babi left a comment for wallet umarh
tina babi left a comment for ZABRON LUKELO MLIMBILA© 2013 Created by Global Publishers.




You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers