MAKAMU WA RAIS DK BILAL AWAAGA MAHUJAJI

Makamu wa Rais, Dk. Ghalib Bilal akizungumza na Mahujaji muda mfupi kabla ya kuondoka.

Baadhi ya Mahujaji wakimsikiliza Makamu wa Rais (hayupo pichani).

Makamu wa Rais, Dk. Ghalib Bilal akiwa na viongozi wa msafara huo wakifanya dua kabla hawajaanza safari.

Viongozi wa Kampuni ya ndege ya Fly Emirates ambao ndio wadhamini wa safari hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais.

  Dk.  Ghalib Bilal akimkabidhi mmoja wa Mahujaji msahafu uwanjani hapo.

MAKAMU wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Ghalib Bilal, jana aliwaaga Mahujaji wa dini ya Kiisilamu waliosafiri kwenda  Hijja huko Makka nchini Saudi Arabia. Tukio hilo lilifanyika katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere jijini, Dar.

(PICHA: ERICK EVARIST/GPL)

Views: 226

Tags: AWAAGA, BILAL, DK, MAHUJAJI, MAKAMU, RAIS, WA

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by Andrm on October 16, 2012 at 12:19am

Safi sana hii. Ndugu zangu, nawaomba mkaniombee nami na watanzania kwa ujumla. Tunaimani nanyi, hivyo nanyi tunawaomba msitusahau kwa sala zenu zote huko. ALLAH awalinde kwa mabaya yote. Kila la KHERI ndg. zetu.

Comment by frank manata on October 15, 2012 at 12:21pm

Hii ndio sura nzuri ya waisilamu sio wale waliokwenda kuchoma makanisa.Mungu wafikishe salama na warudishe salama.Amen

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE 17 hours ago. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service