Makamu wa Rais, Dk. Ghalib Bilal akizungumza na Mahujaji muda mfupi kabla ya kuondoka.
Baadhi ya Mahujaji wakimsikiliza Makamu wa Rais (hayupo pichani).
Makamu wa Rais, Dk. Ghalib Bilal akiwa na viongozi wa msafara huo wakifanya dua kabla hawajaanza safari.
Viongozi wa Kampuni ya ndege ya Fly Emirates ambao ndio wadhamini wa safari hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais.
Dk. Ghalib Bilal akimkabidhi mmoja wa Mahujaji msahafu uwanjani hapo.
MAKAMU wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Ghalib Bilal, jana aliwaaga Mahujaji wa dini ya Kiisilamu waliosafiri kwenda Hijja huko Makka nchini Saudi Arabia. Tukio hilo lilifanyika katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere jijini, Dar.
(PICHA: ERICK EVARIST/GPL)
Comment
Comment by Andrm on October 16, 2012 at 12:19am Safi sana hii. Ndugu zangu, nawaomba mkaniombee nami na watanzania kwa ujumla. Tunaimani nanyi, hivyo nanyi tunawaomba msitusahau kwa sala zenu zote huko. ALLAH awalinde kwa mabaya yote. Kila la KHERI ndg. zetu.
Comment by frank manata on October 15, 2012 at 12:21pm Hii ndio sura nzuri ya waisilamu sio wale waliokwenda kuchoma makanisa.Mungu wafikishe salama na warudishe salama.Amen
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE 17 hours ago. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
© 2013 Created by Global Publishers.




You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers