Waziri Malima akizungumza jambo baada ya kufungua shindano hilo.
Wanawake 12 wa shindano la ‘Mama Shujaa wa Chakula’ wakifaidi madafu.
Mratibu wa shindano hilo Masoud Kipanya akiongea na wageni waalikwa waliofika kijijini hapo.
Waziri akisalimiana na wanawake wa ‘Mama Shujaa wa Chakula’ waliotoka mikoa mbalimbali.
Naibu Waziri wa Watoto na Jinsia, Tunu Waziri ( wa pili kulia) akitazama baadhi ya kazi za kina mama washiriki.
Baadhi ya nyumba watakazoishi washiriki
Kikundi cha ngoma kikitoa burudani katika hafla hiyo.
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Adam Kighoma Malima, jana alizundua shindano la kumsaka mwanakijiji halisi anayejua kukabiliana na shida mbalimbali za maisha liitwalo ‘Maisha Plus’ katika kijiji kimoja ambacho ni mapema mno kukitaja kwa sasa.
Adam aliongozana pia na Naibu Waziri wa Watoto na Jinsia, Tunu Waziri , ambaye aliwawakilisha wanawake katika shindano la 'kusindikiza' mpambano huo lijulikanalo kama ‘Mama Shujaa wa Chakula’ ambapo kina mama hao watakaa kijijini hapo siku kumi na tano kabla washiriki hawajaanza kukaa kwenye jumba maalum. Mshindi wa kundi hilo la wanawake atakaa mpaka mwisho wa shindano zima la 'Maisha Plus'.
PICHA: IMELDA MTEMA, GPL
Comment
Comment by mammy on October 4, 2012 at 10:22am safi
Comment by julius manning on October 3, 2012 at 2:47pm naona inafanana na ile ya bibi bomba
Comment by Tatu Majaliwa on October 3, 2012 at 1:53pm big up masud
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
LJH_3 |
| 4 |
hope |
| 5 |
julius manning |
| 6 |
mayalilwa |
| 7 |
Tatu Majaliwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Mishy chunga |
| 10 |
shabani abdallah nguluko |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by mayalilwa Mar 8. 26 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
macksi fire posted a status© 2013 Created by Global Publishers.




You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers