Na Imelda Mtema
MTANGAZAJI ‘the big name’ Bongo mwenye kibendi cha miezi kadhaa, Maimartha Jesse (pichani), amefunga ndoa kwa siri na mchumba wake aliyetambulika kwa jina moja la Shaa, Ijumaa limeinyaka.
Kwa mujibu wa chanzo cha ndani kilichohudhuria tukio hilo, ndoa hiyo ilifungwa katika Kanisa Katoliki Kigomboni, Dar es Salaam, juzi na kuacha watu midomo wazi kufuatia kufungwa kinyemela bila mashosti wa Mai kutonywa huku kukiwa na ulinzi mkali.
“Unajua mimi mwenyewe nilishtukizwa tu, ishu ni kwamba kila kitu wadau walikuwa wanashirikishwa hadi kibaokata, lakini Mai huwa hakosi shughuli za watu, sasa iweje ya kwake awapotezee?” kilisema chanzo hicho.
Kiliendelea kudai kuwa, baada ya kufungwa kwa ndoa hiyo ambayo ilikuwa na pande mbili tu za familia ikihudhuriwa na watu wachache na mastaa kupotezewa, wanandoa hao waliwakaribisha waalikwa katika kiwanja maalumu kilichoandaliwa ambapo waligonga madikodiko na baadaye kila mtu akatawanyika kivyake.
Ijumaa lilipomtafuta Mai aliyewahi kutamba akiwa East Africa Radio na TV na baadaye TBC1, alikiri kufunga ndoa hiyo lakini hakuwa tayari kudadavua zaidi.
Comment
Comment by pjoan audes on February 12, 2012 at 11:49am Kinachotakiwa ni ndoa sio kujaza kiwingu cha watu ni umbea tu!
Comment by Dongonyo Juniour on February 10, 2012 at 4:40pm Kwani ndoa mpaka ujaze watu? nakupongeza sana dada Mai kwani hayo ndio mambo yanayotakiwa sasa sio kufuja mali halafu baada ya mwaka ndoa kushney
Comment by Edna Venant on February 10, 2012 at 8:26am
Comment by vedasto oresto on February 9, 2012 at 11:14am dah....ndivyo ilivyo kilicho kizur 2ige kilicho kibaya 2kiache.kaz kwenu wadau wa huyo mhusika.
Comment by Eddie Mourice Junior on February 9, 2012 at 8:23am Hongera shemla wetu wa ukweeenh....mungu awajalie ndoa yenu iwe ya amani na idumu milele.!
Comment by DINA FLAMINGO on February 8, 2012 at 7:31pm hongera mwaya..kwani mnataka harusi yake ili iweje?
Comment by sophy on February 8, 2012 at 12:54pm Mai alitamba sherehe yake itakuwa bomba kuliko ya Irene Uwoya imekuwaje ameamua kufanya siri. Hata hivyo hongera kwa kufunga ndoa.
Comment by Rose Kalwera on February 8, 2012 at 12:44pm Ongera sana dada angu,
Comment by kaka on February 7, 2012 at 9:53am NAYE KAPATA PA KUSEMA NA MIMI NILIOLEWA
Comment by Sam Gesha on February 6, 2012 at 1:31pm Nakupongeza ulivyowapotezea mastaa kwani ni wanga watakuharibia ndoa yako keep it up achana nao we ni mke wa mtu sasa......
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
Sili Silali |
| 5 |
IL-YA |
| 6 |
chama baby |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
kaka |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Kelvin Luhala Eto'o |
othman Ochu posted a status
mrembo commented on Sili Silali's photo

You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers