Na Gladness Mallya
WIKI chache baada ya kujifungua, mtangazaji maarufu wa zamani wa Kituo cha Runinga cha EATV na TBC 1, Maimartha Jesse a.k.a Mai (pichani) amedai kuwa, mtoto huyo ni zaidi ya mumewe kwani furaha aliyonayo hajawahi kuipata maishani mwake.
Akichonga na Motomoto Newz juzikati jijini Dar, Mai alisema wakati akiwa mjamzito alikuwa anamuomba Mungu ajifungue salama na kweli amesikia dua yake na kitendo cha kumpata mtoto huyo anaona raha kuliko starehe zote alizowahi kupitia.
“Asikwambie mtu bana, kuna wakati najikuta nataka kumsahau mume wangu kutokana na huyu mwanangu, kila nikimuangalia anaipagawisha akili yangu, kwangu huyu naona kama ni zaidi ya Shaa (mumewe),” alisema Mai.
Mai alimaliza kwa kusema; “Muda mwingi nilitamani kupata mtoto na hii ilitokana na misukosuko niliyopitia na kitendo cha Mungu kutimiza ndoto yangu kwangu ni raha isiyokifani.”

Views: 2683

Tags: amani11

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by Misana on March 20, 2012 at 2:45pm

Hongera dada,Mungu akupe nguvu na busara ili umlee vema mwanao.

Comment by Dongonyo Juniour on March 3, 2012 at 12:30pm

Haya wee!!!

Comment by kaka on February 26, 2012 at 8:35am

 MAI JE MTOTO NI WA SHAA?

Comment by Mawazo Katota on February 24, 2012 at 11:52pm

||||\Hongera kwa kupata mtoto lakini usimsahau baba yake na mtoto. Very important

Comment by samora rajab albert on February 24, 2012 at 6:47pm

hongera kwa kupata mtt

Comment by Anthony Michael on February 24, 2012 at 8:56am

naomba utambue kuwa mume ni zaidi ya mtoto maana ndiye aliyesababisha mtoto awepo

Comment by Rogers Mwachali on February 24, 2012 at 8:18am
We msahau mume ila usije kulia kuwa mumeo anakusaliti maana utakuwa umeyataka mwenyewe kwa kuhamishia mapenzi yote kwa mtoto.
Comment by daudi charles mponda on February 23, 2012 at 4:21pm

mi nafikiri mtoto si zaidi ya mume kwani aliefanya huyo mtoto awepo ni mume na anaweza kufanya tena na tena. Unajua watu wameshindwa kutambua ndoa na kuwa na watoto.Kama mtu aliingia katioka ndoa ili wazae watoto wakishapata tu watoto hakuna ndoa tena kwa ni lengo lipo at climax success so what next ni kuvunjika kwa ndoa,Mai mpende mtoto kwa nafasi yake na mume kwa nafasi yake

Comment by Theddy Jacob on February 23, 2012 at 3:47pm

Kawaida wamama wengi wakishapata watoto mapenzi hupungua kwa mume na huo ndio mwanzo wa mume kuanza kutoka nje ya ndoa jitahidi kugawa mapenzi pande zote yani kwa baba na mwanao. Ongera sana dada.

Comment by lumi mwandelile on February 23, 2012 at 3:27pm

kuitwa mama raha iliyoje jamani, hongera dada


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
12 minutes ago
GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
12 minutes ago
othman Ochu posted a status
"SCENE 1 WAHUSIKA: AMIDU , SHARIFA MAHALI: ZANZIBAR MUDA : JIONI ( WAKIWA WANASHUKA TOKA KATKA BOTI YA JION KUINGIA KATKA MJI WA ZANZI"
9 hours ago
Priscus Adelard shared GLOBAL's blog post on Facebook
9 hours ago
mrembo commented on julius manning's photo
Thumbnail

Mtanzania huru

"pole sana usijali iko siku mungu atakujaalia mungu hamtupi mja wake"
10 hours ago
mrembo commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"mama mzima hayawani mavazi gani hayo takupa mfano chungwa likiwa halijamenywa unatamani ulile…"
10 hours ago
kaka commented on Ali Amur Ali's video
Thumbnail

AZIMIO LA KUANGAMIZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

"hapo ni kina dada kutua comment zao"
10 hours ago
Gaston Kayombo commented on Ali Amur Ali's video
12 hours ago
roylicious and Jackson Jacob are now friends
12 hours ago
babu wa loliondo (cup) updated their profile
12 hours ago
julius manning commented on julius manning's photo
Thumbnail

vijana 2016 itakuwa hivi

"@furaha mimi ni kikongwe hayo ni kazi kwako."
13 hours ago
Masalu Mayeji Many'hasimha shared GLOBAL's blog post on Facebook
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website