Msanii kutoka DRC Antoine Christophe Agbepa Mumba, 'Koffi Olomide' akizikonga nyoyo za mashabiki waliofurika katika Viwanja vya Leaders usiku wa kuamkia leo katika tamasha la Tusker Carnival.
Wanamuziki wa Koffi Olomide wakilishambulia jukwaa katika tamasha la Tusker Carnival usiku wa kuamkia leo.
Msanii mahiri wa Koffi Olomide, Cindy akiwa jukwaani kukonga nyoyo za mashabiki.
Nyomi iliyohudhuria tamasha hilo ikiserebuka sambamba na Koffi Olomide (hayupo pichani).
Mwanamuziki wa Twanga Pepeta akiwarusha roho mashabiki.
Bendi ya Diamond Musica ikishusha burudani katika tamasha la Tusker Carnival usiku wa kuamkia leo ndani ya Leaders Club.
Koffi Olomide akicheza sambamba na mrembo jukwaani.
Wanamuziki wa Koffi Olomide wakiwa katika pozi kabla ya kupanda jukwaani.
Koffi Olomide akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Kampuni ya SBL ambao ndiyo wadhamini wakuu wa tamasha la Tusker Carnival.
Umati wa watu ukipagawa na burudani kutoka kwa msanii Koffi Olomide.
Msanii wa Koffi akiwapa raha mashabiki.
Mrembo huyu akipozi wakati wa tamasha hilo.
(PICHA NA MUSA MATEJA / GPL)
Comment
Comment by lumi mwandelile on January 4, 2013 at 11:36am mambo ya kula raha hayo
Comment by pjoan audes on December 18, 2012 at 9:19pm Mimi nasikitika niliibiwa laki mmoja mumo mumo nikijichanganya wajameni loh!
Comment by EMMANUEL ELLY MWAKYUSA on December 17, 2012 at 4:50pm kweli mpe POMBE maskini asahau shida zakeee MUKULUUUU KOFFIE OLOMIDE LE GRANDE AFRICAN STAR mona kakaka kalaa kakakaaaaa uko juuuu
Comment by busimba on December 17, 2012 at 4:42pm Raya ya pombe kulewa, na ukishalewa unazimika
Comment by willy on December 17, 2012 at 3:27pm UNAJUA BWANA MUKUBWA KOFII
Comment by willy on December 17, 2012 at 3:26pm TUACHE UWONGO HUYU JAMAA NAJUA KUIMBA NA AMEKAA KWENYE GEMU MUDAMREFU NA ANA NYIMBO KALI KIBAO KALI
Comment by Martin Lukanga Mazula on December 17, 2012 at 1:45pm Hayo ndomauaji ya Koff, Huyo ndo kwisha habari yake na Tusker
Loooh Wabongo kwa starehe balaa! Laiti tungekuwa namoyo wa namna hii katika kufanya kazi natumaini tungeigeuza Bongo Paris ya afrika.
Comment by Mtakajibu Njemba on December 17, 2012 at 3:53am Injini "imenoki". Unafanya mchezo na pombe.
Comment by majuto on December 16, 2012 at 8:08pm nakukubali sana mtu mzima wewe hauna mupizani african bwana koffi olomide
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
tina babi left a comment for GOODLUCK SAVUTU
tina babi left a comment for marko mwalongo
tina babi left a comment for Amani Mkiramweni
tina babi left a comment for Yussuf Ame
tina babi left a comment for ADOLPH MAHWERA
tina babi left a comment for haji shehe (ustadh
tina babi left a comment for Van Lusiu
tina babi left a comment for Cardofather Marwa Castory
tina babi left a comment for Andrew Mangowi
tina babi left a comment for charles godfrey
tina babi left a comment for philibert matungwa
tina babi left a comment for Ahmed Salum© 2013 Created by Global Publishers.




You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers