SOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA
Comment
Comment by Simoma on November 8, 2012 at 3:28pm kuwa nusu msikiti si tatizo ktk ibada za dini zote haziruhusu mtu kuwa uchi wakati wa ibada, tatizo linakuja mbona wanachagua wana ibada wenyewe kuna nini hapa hii si ibada bale kuna ushetani ndani yake, mungu awalinde wana ibada wa ukweli.
Comment by richardngeze on November 6, 2012 at 2:10pm Hilo ndo kanisa la kusalia yaani bikira nje nje!
Comment by Bint Al Rubeiy on November 3, 2012 at 6:20pm Wataka dini mbili zipotee kabisa ibakiye ya fremason, lakini katu uislam hautaondoka mpaka mwisho wa dunia I am believe on that!
Comment by pjoan audes on October 29, 2012 at 6:29pm Hili ndio zuri kwani wazinzi watapungua mjini hapa
Comment by mayalilwa on October 25, 2012 at 7:35am tuwe macho na haya makanisa yasije tukuta maafa kama yaliyokea katika kanisa la KIBWETERE wa Uganda, aliyeteketeza waumini wake kwa moto.
Comment by mnasa mohd on October 23, 2012 at 10:04pm aliye leta hiyo dini mpya hana akili wala hajiwi lolote
Comment by David Wagwene on October 23, 2012 at 8:21pm Nyakati za mwisho hizi wateule tuwe macho..
Comment by julius manning on October 23, 2012 at 7:14pm haya maajabu ,makanisa na misikiti ilopo tu inaeleke akutushinda tena mnatulete mengine???!!
Comment by Zakayo Phillyx on October 23, 2012 at 5:15pm
Comment by zide on October 23, 2012 at 3:46pm mbona nusu msikiti wala kanisa
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
Matilanga Lukingita |
| 3 |
hope |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
Tatu Majaliwa |
| 6 |
julius manning |
| 7 |
NDAUKA the GREAT |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
cownapher28 |
| 10 |
mayalilwa |
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Samson Mussa Jun 10. 2 Replies 0 Likes
Absalom Kibanda akiwa ICU.USIKU wa Jumanne ya Machi 5 kuamkia Machi…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 1 Like
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 10 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE May 20. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 5 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
macksi fire posted a status
macksi fire posted a status
macksi fire posted a status
macksi fire posted a status
macksi fire posted a status© 2013 Created by Global Publishers.





You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers