Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’.
Na Shakoor Jongo
STAA aliyeibukia kwenye Tamthiliya ya Jumba la Dhahabu ambaye haishiwi vituko, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka kuwa ‘stress’ kutoka kwa wanume ndizo zilizomfanya ajiingize katika vitendo vya kisagaji lakini sasa amejitoa katika mambo hayo.
Jini Kabula alisema hayo hivi karibuni ndani ya Ukumbi wa Mango Garden baada ya kutakiwa na mwandishi wetu aeleze sababu za kujiingiza katika mchezo huo mchafu unaokwenda kinyume na maadili ya Kitanzania.
Alisema kuwa, wanaume wasiojua kupenda ndiyo walimfanya akajiingiza huko kwani walikuwa wakimpa msongo wa mawazo na mwisho akajikuta ameshawishika kufanya mambo hayo.
“Unajua wanaume wakati mwingine wanachanganya sana, binafsi niliumizwa sana katika mapenzi ndiyo maana nikajiingiza huko ila kwasasa sihitaji tena kufanya mchezo mbaya kama ule kwani nilimkosea sana Mungu wangu na nimeshatubu, ila kama nilivyosema mara ya kwanza ni ‘stress’ za wanaume ndizo zilizonifanya nijiingize huko,” alisema Jini Kabula.
Siku za hivi karibuni msanii huyo aligandwa na skendo ya kujiingiza katika mapenzi ya jinsi moja kitendo kilichokuwa kikilaaniwa na watu wengi.
Comment
Comment by kaka on February 27, 2012 at 10:00am SASA JINI SASA UMEPATA BUZI HAKUNA STRESS TENA?
Comment by pjoan audes on February 24, 2012 at 4:50pm Kwani sasa wanaume hawakupi tena stress?!
Comment by DORAH FREDY on February 23, 2012 at 3:31pm
Comment by DORAH FREDY on February 23, 2012 at 3:31pm
Comment by Kakytee The Director on February 23, 2012 at 2:07pm usikubali kuburuzwa mwana wane , mchezo huo kharaaaaaaaaaaaaaaaaaaaammmmm
Comment by adam safari yusuph on February 23, 2012 at 2:00pm hongera kama kweli umeacha ila pia nakushauri hata wanaume achana nao subiri uolewe huo ni uzinzi.
Comment by sophy on February 23, 2012 at 1:10pm Ukishajiingiza katika mchezo kama huo kuacha ni bahati. Ila kama kweli utakuwa umeacha mshukuru Mungu.
Comment by Abas Mzumbasha on February 23, 2012 at 1:03am ukitubu dhambi unasamehewa ila usirudie hapa ndo pagum na huyu kazoea tumuombe mungu amuepushe
Comment by ANDERSON SOGOLE on February 22, 2012 at 10:36pm
Comment by Juma Kabanda ( JK ) on February 22, 2012 at 4:08am Ni hatua nzuri uliyochukua dada! Ulikuwa ktk majaribu, sasa fungua ukurasa mpya, tafuta mwanamume mmoja wa uhakika akuoe ili msitiriane, kwani umri unazidi kuondoka! Kutubu kunakubalika ktk dini zote lakini huwezi ukatubu leo kesho ukarudi palepale tena huo utakuwa ni kumchezea Mungu! Tunakupongeza kwa uamuzi wako na tunakuombea mafanikio! Hao wanaokutukana ni watu wasiojua, kwani hakuna binadam aliyekamilika ila manabii (!!!), kila mmoja wetu ana mapungufu yake, baadhi ya hao ni kama nyani wanaowacheka wenzao kuwa vihende vyao makalio yao mekundu yao hawayaoni!!! Kama unadhani kuwa wewe umekamilika basi unajidanganya, ipo siku mambo yako yataanikwa pia!!! Mola akubariki dada yangu!!! Na kama ukitaka kusaidiwa kumpata mume basi tujulishe tutaweza kukupatia mume wa kukufaa!!!
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
Sili Silali |
| 5 |
IL-YA |
| 6 |
chama baby |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
kaka |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Kelvin Luhala Eto'o |
othman Ochu posted a status
mrembo commented on Sili Silali's photo

You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers