ILICHOSEMA POLISI KUHUSU ALIEKAMATWA KWA KUHUSIKA KUMPIGA DR ULIMBOKA.

Mtuhumiwa wa kwanza kwenye ishu ya kutekwa na kuteswa kwa mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Dr Ulimboka Steven amekamatwa na jeshi la Polisi baada ya kujisalimisha kwenye kanisa la ufufuo na uzima la Mchungaji Jospephati Gwajima kwa lengo la kuungama dhambi zake.

Baada ya mtuhumiwa huyo ambae ni raia wa Kenya aitwae JOSHWA GITU MUHINDI kwa mujibu wa hati yake ya kusafiria kukamatwa, amekiri kuhusika kumteka na kumtesa Dr Ulimboka akiwa na wenzake 12 waliokodiwa na mtu anaehisi kuwa anatoka serikalini.

Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova amesema walipata taarifa kutoka kwa wasamaria wema kuhusu kuwepo kwa mtu huyo ambae imefahamika ni mwanachama wa kundi la GANGSTAR lenye makazi yake Kenya na linaongozwa na Mtu anaetajwa kwa jina la SILENCER na sasa wanaendelea na uchunguzi zaidi.

chanzo na http://millardayo.com/ilichosema-polisi-kuhusu-aliekamatwa-kwa-kuhu...

Views: 1437

Tags: ALIEKAMATWA, DR, ILICHOSEMA, KUHUSIKA, KUHUSU, KUMPIGA, KWA, POLISI, ULIMBOKA.

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by john bosco on July 16, 2012 at 4:59am

domo lako ndo lilikuponza ulimboka!!! hata mimi ningefiwa na mtu wakati wa mgomo ningekutafuta!!!

Comment by Bazil Bushiri (BABU) on July 15, 2012 at 12:21pm

ULIMBOKA ALISEMA ALIKAMATWA NA KUTESWA NA WATU WATANO (5). SASA BABA KOVA HAO 12 UNAOSEMA WAMETOKA WAPI. TENA HAKUSEMA KAMA HAWAJUI KISWAHILI VIZURI. KWA MTZ LAZIMA ANGEJUA HAO SI WA TZ KUTOKANA NA WAKENYA HAWAJUI KISWAHILI VIZURI.

KOVA VEVE IKO DANGANYA TOTO DOGO SISI IKO KUBWA BABA NA DEVU ZETU.

Comment by Janeth Jr on July 15, 2012 at 11:55am

Mm mmh! huyo mchungaji si ndie huwa anatoa vifaa wkt C>C>M ikihutubia? na ni mkereketwa wa ccm...hatudanganyiki!!

Comment by Chrisentus on July 14, 2012 at 10:49pm

Ndiyo serikali yenu hiyo hata kudanganya hawawezi. Zamani niliipenda sana serikali hii lkn miaka kama 4 hivi sitaki hata kusikia nini wanasema hata taarifa ya habari nikiona tu wanaongea km si kuhamisha channel ni kuzima kabisa TV

Comment by Farahani Nangwa Mtiga on July 14, 2012 at 8:15pm

Pole kaka ila na nyinyi madaktari mlikubali watu wafe kwa maslahi yenu, mkidai nyiyi ndio taaluma bora kuliko zingine.Huo ni uuaji pia.

Comment by Maji Marefu on July 14, 2012 at 6:27pm

mmh serıkalı sı ılıkana  sasa wapı?

Comment by Janeth Jr on July 14, 2012 at 5:46pm

Hakuna kitu kama hicho!! hao wapo hapahapa nchini! huyo amenunuliwa tu ilikuziba watu midomo.. hiwezekani kirahisi rahisi watu hatari kama hao kukiri kirahisi hivyo!! utashangaa baadae atahukumiwa kifungo then ukienda gerezani hayumo na kudanganya kahamishiwa gereza lingine kumbe katolewa kinyemela..msitufanye watoto Tanzania ya leo si ya jana ..

Comment by Bazil Bushiri (BABU) on July 14, 2012 at 4:44pm

SUGU aliongea bungeni kuwa Serikali inatumia vikundi kama JANJAWEED kuwamaliza wanaoipinga. Kuna wabunge CCM walipinga. SASA KIKO WAPI?

Embu jikumbushe hapa umsikie sugu. Fuatilia link hii: http://www.youtube.com/watch?v=jTEOs_cntc4&feature=youtu.be

 

Comment by Mtanganyika Masalia on July 14, 2012 at 2:35pm

changa la macho

Comment by julius manning on July 14, 2012 at 1:16pm
mashaka mkaubwa

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE yesterday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service