
Hatimaye kundi litakalo unda Ze Comedy katika kituo kinachorusha matangazo yake Afika Mashariki na Kati, EATV au Channel 5, limepatikana, hivyo kuleta furaha kwa wasanii 7 waliochanguliwa kati ya wasanii 500 waliojitokeza na wale 10 walioingia fainali....huzuni ilikuwa kubwa kwa mashabiki baada ya msanii Kingwendu kutemwa kwenye kumi bora! Wafuatao ndiyo watakaounda kundi hili na tayari wameshalamba ajira kwa kazi ya uchekeshaji...kazi kwako kuona nani zaidi!!!!
...matumbo yakiwachemka wasanii wakati wa mchujo...
Dickson Makwaya a.k.a Bambo
Hamis Bakari Changale a.k.a Mtanga.
Robert Augustino a.k.a Kiwewe.
Twahili Shabani a.k.a Kombo
Rogers Richard a.k.a Kicheko au Masawe Mtata.
Said Ally a.k.a Rushwa.
Ally Juma a.k.a Mzee wa Miondoko
Sura ya huzuni ya Kingwendu ngwendulile...baada ya kutemwa..!!
Bi. Asaha Salum...alikuwa Jaji
PICHA: Richard Bukos/GPL
Comment
Comment by Kaitaba on June 1, 2010 at 4:14pm
Comment by Farahani Nangwa Mtiga on June 1, 2010 at 3:19pm
Comment by Hyness John on June 1, 2010 at 2:24pm
Comment by Muna Hota on June 1, 2010 at 2:02pm
Comment by Fidodido on June 1, 2010 at 1:50pm
Comment by Farahani Nangwa Mtiga on June 1, 2010 at 12:49pm
Comment by Kiringo Mlabata on June 1, 2010 at 12:12pm
Comment by shon jack on June 1, 2010 at 12:11pm
Comment by chapombe on June 1, 2010 at 11:41am | 1 |
GLOBAL |
| 2 |
julius manning |
| 3 |
Man KKK |
| 4 |
Sili Silali |
| 5 |
IL-YA |
| 6 |
chama baby |
| 7 |
msichoke mlugu |
| 8 |
kaka |
| 9 |
Maji Marefu |
| 10 |
Kelvin Luhala Eto'o |
othman Ochu posted a status
mrembo commented on Sili Silali's photo

You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers