


Na Dustan Shekidele, Morogoro
GUMZO wikiendi iliyopita ya shamrashamra za Sikukuu ya Pasaka mjini hapa, ni lile la bosi wa kiwanda cha maturubai aliyetajwa kwa jina la Daudi, kufumwa gesti akiwa na mfanyakazi wake ambaye ni mke wa mtu aliyetajwa kwa jina la Aisha.
Tukio hilo la aibu kwa bosi huyo lililoshuhudiwa na paparazi wetu, lilitokea muda mfupi kabla ya Pasaka majira ya saa 1:00 usiku ndani ya gesti maarufu iliyopo maeneo ya Sabasaba mjini hapa.
Habari zilizopatika eneo la tukio zilidai kuwa mzee huyo ana mazoea ya kufika mahali hapo na mwanamke huyo anayefanya kazi chini ya usimamizi wake ambapo huwa wanajiachia sehemu ya baa kabla ya kuingia ndani.
Siku ya tukio, 40 yao ilitimia baada ya wawili hao kutinga kwenye gesti hiyo na kujianika wakiponda raha.
Ilidaiwa kuwa wakiwa mahali hapo, kuna mtu alimuona Aisha ‘akidendeka’ na mzee huyo hivyo akamjulisha mumewe aliyetajwa kwa jina la Mwinshehe.
Ilisemekana kuwa, baada ya kupokea taarifa hizo, Mwinshehe alipanga mikakati ya fumanizi ambapo alitinga kwenye gesti hiyo na kuhakikishiwa kuwa mkewe yupo ndani katika chumba chenye jina la Uganda ndipo alipoingia vitani.
Akiwa kwenye mvutano na wenye gesti waliomkataza kuingia, ghafla alimuona mkewe akitokea msalani akiingia ndani na ndipo alipovamia kwenye chumba na kumkuta mgoni wake ameshamaliza mchezo.
Baada ya kumuona mumewe, mwanamke huyo alianza kuangua kilio huku akisikika akisema, ‘Baba Nassoro nisamehe, makosa wamewekewa binadamu, sitarudia tena’.
Hata hivyo, Mwinshehe ambaye alikuwa na hasira hakumsikiliza zaidi ya kuwashushia kipigo ambapo yule mzee alishindwa kumudu mashambulizi baada ya kuzidiwa na kujikuta akichanika paji la uso, wenye gesti waliingilia kati na kuwatoa nje kisha wakafunga geti.
Baada ya hapo, timbwili zito lilihamia kwenye kituo kidogo cha polisi cha Kiwanja Cha Ndege ambapo baada ya kufika, Mwinshehe aliangua kilio alipowaona wakwe zake (baba na mama wa mkewe Aisha).
Aidha, wawili hao walitoa maelezo yao kituoni lakini hawakuelewana hivyo polisi waliingilia kati, wakaita gari la kuwapeleka kituo kikuu.
Katika hali ya kushangaza, wakiwa njiani, wahusika hao walielewana na kurudi tena kituoni hapo ambapo Mwinshehe aliwaeleza polisi hao kuwa ameamua kumsamehe mkewe hivyo ametaka mgoni wake, Daudi alipe faini ya shilingi elfu 70.
Mzee Daudi aligoma kulipa kiasi hicho akidai kuwa ni kikubwa na alipoulizwa ana uwezo wa kulipa fidia ya kiasi gani alidai atalipa elefu 50. Mwishehe alichukua kiasi hicho cha fedha na kuondoka na mkewe nyumbani.
Comment
Comment by Gervas Daniel Nyalusi on April 30, 2012 at 8:48am mmeyataka
Comment by Sagana on April 13, 2012 at 1:18pm lol
Comment by DORAH FREDY on April 13, 2012 at 9:31am
Comment by lumi mwandelile on April 12, 2012 at 2:33pm hayaaa
Comment by Elly Maduhu on April 12, 2012 at 10:22am ningekuwa mimi namwachia mke, kuna wanawake wengi sana wanashida ya kuolewa wanakunywa mpaka madawa ili wapatte wachumba yeye anaenda kumdhalilisha mumewe. yaani kamvua nguo mbele ya mwanaume mwingine.
let me tell you a thing. watu hawajua maana ya kugawa unyumba nje ya ndoa. kama wewe mwanamke unatoka nje basi wewe huna uaminifu kwa mumeo maana unaweza hata kutoa pesa ndani ukaenda kuhonga na kuacha familia na njaa, unaweza hata kumuua mumeo ili uolewe na bbaradhuli mwenzako. so mimi sina msamaha kabiisa kwa mke mzinzi dawa ni kumtupilia mbali
chamtu sumu
Comment by john bosco on April 10, 2012 at 3:01am bosi kaangukia kwenye mtego!!! mke na mme wamepanga ili wapate matumizi ya pasaka!!!
Comment by kilos on April 10, 2012 at 12:05am sijaona mtu bwege na mpumbavu kama huyo mwinshehe, inamaana unauza heshima yako na afya yako kwa sababu ya elfu 50? inamaana njaa ya watanzania imefikia hapa? mimi siamini zaidi ya kuendekeza kupewa vya bure tu.
kinacho takikana ni huyo mwinshehe kukamatwa na kufunguliwa mashtaka, kwa kuidhalilisha ndoa, na kuwadhalilisha wanaume.
Comment by haji shehe (ustadh on April 9, 2012 at 9:24pm Duhhh huyu mwanamme ana roho ngomu kweli inamaana mkewe ndio ameshafanya biashara mapata amepokea looooo massalaleee Ama hii ndio duniaa! LAKINI pengine ndio kawaida yao mara na mume ameshawahi kufumaniwa TIT 4 TAT
Comment by Ukweli100 on April 9, 2012 at 9:14pm duuh! njaa! mpaka unapokea 50 elfu toka kwa bosi na mkeo kesha jichnaa!..wanawake mbona baadhi yetu tunajishusha thamna kweli, ina mana wew mwanamke na kuma yako ina thamani ya 50 elfu ama penzi na kuheshimiana na mumewe?? hii saasa ni kinyaa!
huyo mwanaume nna mashaka ishu kama hizi hazisamehewi kirahsi , ukiona hivyo naye anapo pakupumzikia, hapo anamzalizia njaa to, afu hata hivyo 50 itaitumia kwa masaa mangap kabla haijaisha!?? upuuz tu!
wenye gesti waliingilia kati na kuwatoa nje kisha wakafunga geti. safi sana wenyew, inatalkuwa kuwa hivi always.
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
Tatu Majaliwa commented on GLOBAL's blog post MWAKIFWAMBA: WANAOVAA VIMINI KWENYE FILAMU WANAJIUZA
Tatu Majaliwa commented on GLOBAL's blog post Mrisho Ngassa aikataa jezi ya Yanga SC
Matilanga Lukingita commented on GLOBAL's blog post KAKA, DADA WANASWA WAKIDUU
meggie impostra commented on GLOBAL's blog post WASTARA RUKSA... KUOLEWA
DORAH FREDY commented on GLOBAL's blog post Raymond and Stephanie Raymond na Stephanie -84
frank manata commented on GLOBAL's blog post MALALAMIKO YA WATANI ZETU WA JADI DHIDI YA OBAMA NA TANZANIA
Tatu Majaliwa commented on GLOBAL's blog post WASTARA RUKSA... KUOLEWA
Tatu Majaliwa commented on GLOBAL's blog post ODAMA AANGUA KILIO UPYA
Consolata Pius commented on GLOBAL's blog post MAMA YANGU ADUI YANGU - 42
Tatu Majaliwa commented on GLOBAL's blog post UWOYA, JOHARI WATUMBUA SAUZI!
Tatu Majaliwa commented on GLOBAL's blog post KAKA, DADA WANASWA WAKIDUU
rosalinda yunus commented on GLOBAL's blog post KAKA, DADA WANASWA WAKIDUU© 2013 Created by Global Publishers.




You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers