Basi aina ya Coaster lenye namba za usajili T 323 BEB likiwa limezama katika Mto Kizinga.
Basi aina ya DCM lenye namba za usajili T 323 BEB linalofanya safari zake kati ya Mbagala na Buguruni leo limepata ajali mbaya baada ya kudondoka katika Mto Kizinga uliopo Mtoni Mtongani Jijini Dar es Salaam na kujeruhi baadhi ya wasafiri waliokuwa katika basi hilo.

Basi hilo likiwa ndani ya mto Kizinga baada ya ajali

Coaster hilo baada ya ajali

Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo

Gari la kikosi cha zimamoto likiwa eneo la tukio ambapo haikufahamika lilifika katika eneo hilo kwa ajili gani.

Hali halisi baada ya ajali hiyo

Wakazi wa Mtongani wakishuhudia tukio hilo.



PICHA ZOTE NA MUSSA MATEJA / GPL

Views: 11

Tags: COASTER, DAR, LADONDOKA, MTONI

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by Mackairre Rockeatouh on July 21, 2010 at 11:46am
Madereva wa daladala ni wazembe sana hawajali roho za watu, sasa wewe mpaka anaingia Mtoni ilikuwaje? Anyway TANROADS wekeni vizuizi vya pembeni kama kwenye madaraja ya treni
Comment by Salim Nassor on July 21, 2010 at 7:28am
Ni jambo la kawaida kwa ajali za barabarani, waswahili tunasema kua" PENYE RIZIKI HAPAKOSI FITINA" haya kwa mana kila ambapo unatafutia riziki hapakosi matatizo, cha msingi ni kua makini na kutokua mzembe, lakini umo mtoni hamna MAMBA?.


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
11 minutes ago
GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
11 minutes ago
othman Ochu posted a status
"SCENE 1 WAHUSIKA: AMIDU , SHARIFA MAHALI: ZANZIBAR MUDA : JIONI ( WAKIWA WANASHUKA TOKA KATKA BOTI YA JION KUINGIA KATKA MJI WA ZANZI"
9 hours ago
Priscus Adelard shared GLOBAL's blog post on Facebook
9 hours ago
mrembo commented on julius manning's photo
Thumbnail

Mtanzania huru

"pole sana usijali iko siku mungu atakujaalia mungu hamtupi mja wake"
10 hours ago
mrembo commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"mama mzima hayawani mavazi gani hayo takupa mfano chungwa likiwa halijamenywa unatamani ulile…"
10 hours ago
kaka commented on Ali Amur Ali's video
Thumbnail

AZIMIO LA KUANGAMIZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

"hapo ni kina dada kutua comment zao"
10 hours ago
Gaston Kayombo commented on Ali Amur Ali's video
12 hours ago
roylicious and Jackson Jacob are now friends
12 hours ago
babu wa loliondo (cup) updated their profile
12 hours ago
julius manning commented on julius manning's photo
Thumbnail

vijana 2016 itakuwa hivi

"@furaha mimi ni kikongwe hayo ni kazi kwako."
13 hours ago
Masalu Mayeji Many'hasimha shared GLOBAL's blog post on Facebook
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website