CHADEMA NAO WAANZA MBIO ZA KUINGIA IKULU

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akiwahutubia wananchi waliofurika kwenye Viwanja vya Jangwani, alasiri ya leo.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA leo kimezindua rasmi Kampeni za Urais kitaifa, katika Viwanja vya Jangwani Jijini Dar es Salaam. Tukio hilo limehudhuriwa na maelfu ya wafuasi na wananchi, viongozi wa chama hicho Tanzania Bara na Visiwani, pamoja na wasanii kadhaa wa Muziki wa kizazi Kipya, waliokusanyika viwanjani hapo tangu majira ya saba mchana hadi saa 12 jioni.


Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chadema, John Shibuda akizungumza jambo mbele ya umati wa wananchi waliohudhuria uzinduzi huo.


Mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema, Dk Wilbroad Slaa akizungumza na wananchi.


Dk Wilbroad Slaa akikabidhiwa Ilani ya Uchaguzi ya Chadema, 2010 na Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe.


Muasisi wa CHADEMA, Bob Makani akiwa jukwaa kuu, muda mfupi baada ya kuanguka jukwaani na kulazimika kukatisha hotuba yake.


Wananchi wakishangilia kwa nguvu wakati Mgombea Urais wa Chadema Dk. Wilbroad Slaa akizinadi sera jukwaani.


Msanii Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ naye alikuwepo Jangwani.


Msanii Fred Malick Mkoloni kutoka Kundi la Wagosi wa Kaya akisoma Risala maalum kwa Mgombea Urais wa Chadema, Wilbroad Slaa.


Mwanasheria mashuhuri na mwanachama mpya wa Chadema, Mabere Marando akiunguruma jukwaani.


Mtangazaji Marine Hassan wa TBC akiondolewa na wanausalama baada ya kutokea tafrani kufuatia kukatika kwa matangazo yaliyokuwa yanarushwa moja kwa moja na kituo hicho kutoka viwanjani hapo.


Mashabiki wa Chadema wakimsindikiza Mgombea Ubunge wa Chama hicho, Joseph Mbilinyi wakati akiondoka viwanjani hapo.



PICHA: RICHARD BUKOS, STORY: HASHIM AZIZ/ GPL.

Views: 30

Tags: CHADEMA, IKULU, KUINGIA, MBIO, NAO, WAANZA, ZA

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by Arqam Samir on August 30, 2010 at 9:31am
Kukatika kwa matangazo mtangazaji anaondolewa na wanausalama? Au alikata makusudi? Kwanini wasimuache arekebishe mitambo ili mambo yaende sawa?
Comment by Elibahati DAVID AKYOO on August 29, 2010 at 9:12pm
watu wengi ni kweli,wangapi watakuwepo siku ya kupiga kura?
Comment by vita wilbards on August 29, 2010 at 11:28am
kazi ipo, sasa kulikoni hassan marine adhibitiwe, kwamba alikuwa nahujumu matangazo? kazi kweli kweli, lakini ndiyo kukua kwa demokrasia na nafikiri Tnzania tunaweza kujigamba kuwa the largest democracy in Africa


ADVERTISEMENT


TANGAZA HAPA

ADVERTISEMENTS

Latest Activity

GUNZ TRUVADA posted a status
"KUMPA ASIYE KUPA NI SAWA SAWA NA KUTUPA"
3 minutes ago
othman Ochu posted a status
"SCENE 1 WAHUSIKA: AMIDU , SHARIFA MAHALI: ZANZIBAR MUDA : JIONI ( WAKIWA WANASHUKA TOKA KATKA BOTI YA JION KUINGIA KATKA MJI WA ZANZI"
9 hours ago
Priscus Adelard shared GLOBAL's blog post on Facebook
9 hours ago
mrembo commented on julius manning's photo
Thumbnail

Mtanzania huru

"pole sana usijali iko siku mungu atakujaalia mungu hamtupi mja wake"
10 hours ago
mrembo commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"mama mzima hayawani mavazi gani hayo takupa mfano chungwa likiwa halijamenywa unatamani ulile…"
10 hours ago
kaka commented on Ali Amur Ali's video
Thumbnail

AZIMIO LA KUANGAMIZA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE

"hapo ni kina dada kutua comment zao"
10 hours ago
Gaston Kayombo commented on Ali Amur Ali's video
12 hours ago
roylicious and Jackson Jacob are now friends
12 hours ago
babu wa loliondo (cup) updated their profile
12 hours ago
julius manning commented on julius manning's photo
Thumbnail

vijana 2016 itakuwa hivi

"@furaha mimi ni kikongwe hayo ni kazi kwako."
13 hours ago
Masalu Mayeji Many'hasimha shared GLOBAL's blog post on Facebook
13 hours ago
kheri zewe commented on Sili Silali's photo
Thumbnail

Duh!

"minyama uzembe"
13 hours ago

© 2012  

Designed & Developed by
G5 CLICK COMPANY.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service

How to make a Website