

Moja ya Coaster zinazofanya safari zake jijini Dar es Salaam
Habari zilizotufikia hivi Punde kutoka Mbagala nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam zinasema basi aina ya
Coaster linalofanya safari zake kati ya Buguruni na Mbagala jijini Dar es Salaam limetumbukia kwenye mto Kizinga ulio mpakani mwa maeneo ya Mbagala na mtoni kwa Azizi Ally.
Kwa majibu wa mashuhuda wetu basi hilo lililikuwa limejaza abiria kupita kiasi na inasadikiwa wengi wao wameumia vibaya, Juhudi za wananchi wa eneo hilo kuwaokoa majeruhi zinaendelea.
Habari zaidi pamoja na picha mtazipata muda si mrefu endelea kubakia online na mtandao huu.
You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers