STAA wa nyimbo za Injili Bongo anayetamba na albamu ya Dunia Haina Huruma, Bahati Bukuku amenusurika kulimwa talaka baa kutoka kwa mumewe waliyetengana naye miaka 7 iliyopita, Daniel Basila.
Kwa mujibu wa chanzo, ishu hiyo ilitokea mwishoni mwa mwezi Julai, mwaka huu ndani ya Baa ya Land Mark Hotel iliyopo Ubungo, jijini Dar.
Ilidaiwa kuwa, Basila alimwita ‘mtalaka’ wake huyo hotelini hapo ampe talaka yake baada ya kuishi ‘singo’ kwa miaka saba huku ndoa yao ikiwa haijulikani hatima yake.
“Daniel alimwita Bahati kwa simu, akamwambia aende pale hotelini akampe talaka. Alipofika alimkuta jamaa ameshika kikaratasi eti ndiyo talaka, lakini Bahati akamwambia kama amedhamiria kutoa talaka aende mahakamani,” kilisema chanzo.
Comment
Comment by David Wagwene on September 9, 2012 at 3:15pm aisee kwa hiyo ndoa ndoano lkn kwa kuwa umeokoka na una hekima kama kuna uwezekano bac tafuteni suluhu mrudiane cjajua kama mlibarikiwa watoto.Kama mlipata ndio kabisaaaa mrudiane msiwatese watoto wenu
Comment by abdullah Nassor on September 9, 2012 at 12:29pm mwanawake akiachika ndio anajuta
Comment by Vivian E. Minja on September 3, 2012 at 9:39pm
Comment by mayalilwa on September 2, 2012 at 6:56pm Tatizo la wanandoa wengi ni wagumu kutamka neno "NAOMBA MSAMAHA" Bukuku muombe msamaha mumeo, jishushe kwake mtaendeleo hivyo mpaka lini? kama haumpendi ulifuata nini baa? Na kama alikuitia talaka ungeichukua hiyo karatasi, uliikataa ukidai akakupee mahakamani na huku ukielewa fika unaweka kigingi cha kutoachika.
Comment by Focus Kunambi on September 1, 2012 at 5:37pm NILITEGEMEA MTU KAMA BAHATI BUKUKU NDOA YAKE NDIYO INGEKUWA YA MFANOI LAKINI HAIKUDUMU HATA MIAKA MIWILI SASA ANACHOIMBAIMBA KILA WAKATI KINAMSAIDIAJE YEYE BINAFSU???
Comment by Bartham Lyimo on August 29, 2012 at 10:30am kwani chanzo cha kuvunjika kwa ndoa hiyo ni nini hasa?
Comment by ARCHITECT MOSES on August 28, 2012 at 10:49pm WAJNGA 2 WANAUDHI SASA
enzi za mwalimu ndio kulikua na watumishi wanao fuata maadili ya ndoa lakini siku hizi hakuna cha watumishi wala nini wote ni wizi mtupu
Comment by Janeth Jr on August 24, 2012 at 3:05pm Henirieta Saimon nawewe mmbeya!! haa! ulimpima? au umembukizwa wewe ukahisi na mwenzio?
Comment by DEMIE SIMON on August 24, 2012 at 2:57pm pole sana dada yangu dunia hii ni yetu sisi na majaribu ameumbiwa mwanadamu,piga moyo konde mungu yuko pamoja nawe
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
LJH_3 |
| 4 |
julius manning |
| 5 |
Tatu Majaliwa |
| 6 |
hope |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
© 2013 Created by Global Publishers.




You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers