Msanii Jacqueline Wolper.

MSANII Jacqueline Wolper ambaye pia ni Ijumaa Sexiest Girl 2012, leo anasherehekea siku yake ya kuzaliwa. Wolper alizaliwa mkoani Moshi Desemba 6, mwaka 1988 na leo ametimiza umri wa miaka 24. Mtandao huu unamtakia kila la heri katika siku hii muhimu katika maisha yake. Happy Birthday Jaque!

Views: 961

Tags: WOLPER

Comment

You need to be a member of Global Publishers to add comments!

Join Global Publishers

Comment by David Wagwene on December 6, 2012 at 8:03pm

HAPPY B'DAY WOLPER

Comment by Shema Idrisa on December 6, 2012 at 3:47pm

Happy birthday mbona siku ile ulisema Marehemu Sharo mdogo wako? au ulisahau mwaka uliozaliwa nini au mdogoyo kivipi?

Comment by Neema Paul on December 6, 2012 at 2:48pm
happy birthday bi dada
Comment by meggie impostra on December 6, 2012 at 2:33pm

happy birth

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

June Thomson posted a status
17 minutes ago
Maula left a comment for tina babi
"hii, call me on my phone no.+255768251516"
21 minutes ago
Eddy Getz posted a status
23 minutes ago
GLOBAL's 4 blog posts were featured
24 minutes ago
GLOBAL posted blog posts
24 minutes ago
Eddy Getz posted a status
26 minutes ago
Roberto Arndt posted a status
27 minutes ago
Roberto Arndt posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
27 minutes ago
Lesli Madison posted a status
36 minutes ago
Lesli Madison posted a status
37 minutes ago
Lesli Madison posted a status
37 minutes ago
Lesli Madison posted a status
37 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service