Mwimbaji wa nyimbo za injili, Upendo Kilahiro akiimba katika tamasha hilo.
Umati wa watu uliohudhuria Tamasha la ‘Ipende Tanzania’ katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Mwimbaji wa nyimbo za kusifu na kuabudu, Pastor Safari akimtukuza Mungu katika tamasha hilo.
Mojawapo ya michezo iliyovutia maelfu ya watu ni huu wa pikipiki, ambapo mwendesha pikipiki huyu alionyesha umahiri mkubwa katika kutumia chombo hicho cha usafiri.
Na George Kayala
TAMASHA la ‘Ipende Tanzania’ (Love Tanzania Festival) lililomalizika jana katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam limefana na kuwaacha maelfu ya wakazi wa jiji hilo wakishindwa kuamini juu ya michezo iliyokuwa inafanyika kabla ya mahubiri.
Tamasha hilo lililoongozwa na mhubiri, Andrew Palau, akishirikiana na waimbaji kutoka ndani na nje ya nchi wakiongozwa na Don Moen na mwanadada Nicole C. Mullen, limebaki akilini mwa watu wengi ambao wanasema hawakutarajia kuona pikipiki zikiruka juu kiasi kile.
“Nilipigwa butwaa kuona mchezo wa kuruka na pikipiki, uimbaji na muziki kwa ujumla hasa wakati walipoimba waimbaji Nicole na Don Moen. Hakika jambo hili lilikuwa faraja kwangu,” alisema mmoja walioshuhudia tamasha hilo, Musa Joseph.
Comment
Comment by ezekiel hamsin nyamika on August 13, 2012 at 4:13pm cjapata kuona live
Comment by Real De' Dear on August 13, 2012 at 1:43pm twi twi twi crying, jaman nimemic.
Comment by julius manning on August 13, 2012 at 1:27pm | 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
LJH_3 |
| 4 |
hope |
| 5 |
julius manning |
| 6 |
mayalilwa |
| 7 |
Tatu Majaliwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Mishy chunga |
| 10 |
shabani abdallah nguluko |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by mayalilwa Mar 8. 26 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
© 2013 Created by Global Publishers.




You need to be a member of Global Publishers to add comments!
Join Global Publishers