GLOBAL's News (25,325)

HADIJA SAID AIBUKA MSHINDI WA TAJI LA MISS UTALII TANZANIA 2012/13 KITAIFA‏

MSHINDI WA TAJI LA MISS UTALII TANZANIA 2012/13 HADIJA SAID MISS UTALII MOROGORO  KATIKATI AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA LUCY NOEL MISS UTALII DAR ES SALAAM KUSHOTO NA MSHINDI WA TATU KULIA THELESIA KILOMO MISS UTALII VYUO…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 10:32am — No Comments

Macho ya Bundi-18

“Wewe unaingilia yanakuhusu?... Yanakuhusu? Badala ya kurudi nyumbani kwako, unang’ang’ania katika nyumba za watu na kuziharibu. Umechangia sana kutugombanisha wewe,” nilimjibu.

Mume wangu alikuwa amesimama katikati ya sebule huku akitokwa na jasho jingi usoni kana kwamba alikuwa anafanya mazoezi ya judo. SONGA NAYO...

BADALA ya kusikiliza upuuzi aliokuwa akiusema Pili na mama yake, nilikwenda chumbani kwangu na kumuacha mume wangu akiwa amesimama…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 9:46am — 1 Comment

CHEKA NA KATUNI ZA GPL LEO

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 9:00am — No Comments

UTAMU AU MATESO YA MAPENZI HUTOKANA NA MTINDO WAKO WA MAISHA - 6

Nilishaeleza katika makala yangu huko nyuma kwamba maisha ya kimapenzi ni kama kioo. Yaani ukiyachekea nayo yatakuchekea, ila ukiyanunia, nayo yatakukunjia sura.

Hakuna…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — No Comments

MAJI NA JUISI YA LIMAU ASUBUHI KINGA KUBWA MWILINI

TUMEZOEA kuanza siku kwa kunywa vinywaji moto kama vile kahawa au chai na hii imekuwa ndiyo desturi ya maisha ya watu wengi duniani. Lakini siyo lazima kuanza siku yako kwa kunywa vinywaji hivyo, ambavyo tafiti nyingi zimeonesha chai na kahawa vikitumiwa kupita kiasi vinaweza kuwa na athari kwa…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — No Comments

KUUMWA TUMBO WAKATI WA HEDHI

KARIBU sana katika makala yetu inayohusu afya.Kutokana na simu nyingi ninazozipata nikiulizwa maswali juu ya maumivu yanayowapata akina mama wengi wakati wa hedhi nimeona ni bora niandike makala hii ili iweze kuwasaidia na wengine kujua nini chanzo na mhusika afanye nini pale anapopatwa…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — No Comments

ALIACHA MSHAHARA SHILINGI MILIONI 600 MAREKANI, AKAJA KUWAKOMBOA WATANZANIA, TUKAMSULUBU

Dk. Ferdinand Massau enzi za uhai wake.

MTANDAO wa Health Care wa Marekani, unaeleza kuwa kwa wastani, kila daktari hulipwa dola 80 kwa saa akiwa kazini. Fedha hizo kwa…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — 1 Comment

JE, MAJINI WANAZAA?

WIKI iliyopita niliulizwa swali kama majini wanazaa? Jibu ni kwamba  wanaoana na kuongezeka kama tulivyo binadamu na huzaana kwa wingi sana.

Binadamu mwanamume ana uwezo wa kumuoa jini mwanamke na jini wa kiume ana uwezo wa kumuoa binadamu mwanamke pamoja na kwamba ndoa inayotambulika na Mwenyezi Mungu ni ya kiumbe kwa kiumbe…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — No Comments

FAMILIA YA RAIS MWINYI MATATANI

Na Makongoro Oging'

FAMILIA ya Rais wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi imejikuta matatani kufuatia nyumba namba 13, kitalu 33F iliyopo Mtaa wa Mwinjuma, Kinondoni, jijini Dar anayoishi mjukuu wake, Abood Hassan Mwinyi kupigwa kufuli kwa amri ya mahakama.…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — 2 Comments

Termination of the World (KUANGAMIA KWA DUNIA-77)

AHADI ya siku nyingi aliyoiweka Nsia ya kuuangamiza ulimwengu, sasa inaelekea kutimia. Msichana huyo hatari anayesumbua vichwa vya watu wengi kutokana na matendo yake ya kikatili, baada ya kurejea Tanzania akitokea Israel anaanza kutimiza ahadi yake. Anamwaga sumu ya Carcinoma Powder kwenye kijiji alichozaliwa cha Hedaru na kusababisha maafa makubwa.

Baada ya kufanya unyama huo, Nsia anaelekea kwenye mtambo wa kusafisha na kuchuja maji wa Ruvu unaotegemewa na…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:00am — 3 Comments

FUNDISHO!

Na Mwandishi Wetu

TUKIO la kuuawa kwa mfanyabiashara kijana mwenye mafanikio, Ayoub Mlay, siyo tu linaacha simanzi kwa Watanzania bali pia ni fundisho kwa jamii na serikali.…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:00am — 2 Comments

SIMULIZI YA MACHOZI

Na Gladness Mallya

SAKATA la kijana Bonny Fabian Kavishe kudaiwa kumuua kwa kumpiga risasi baba yake, mzee Livingstone Kavishe akiamini ni mwizi sasa ni simulizi ya machozi kufuatia kusomwa kwa waraka mzito ulioandikwa na mtuhumiwa huyo ambaye bado yupo mahabusu ya Polisi Mlandizi, Bagamoyo,…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:00am — 3 Comments

VODACOM YATAWALA MBAGALA

Dogo Tundu akiwapa burudani wakazi wa Mbagala Kizuiani.…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 6:30pm — No Comments

KINACHOMPONZA PRODYUZA TUDD THOMAS NI UCHAWI AU KUSAHAU?

Prodyuza Tudd Thomas.

MASHABIKI wa mtayarishaji wa muziki (Producer), mwenye uwezo wa kipekee, aliyetayarisha wimbo wa Leka dutigite wa Kigoma All…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 6:00pm — 2 Comments

TASWIRA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt. Fenella Mukangara, akiwasilisha makadirio ya Bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2013/2014 leo Bungeni.…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 5:30pm — No Comments

DIAMOND MUSICA YAFANYA KWELI DAR LIVE USIKU WA KUAMKIA LEO

Prezidaa wa Diamond Musica, Liver Hassan ‘Sultan’, akikamua.…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 3:30pm — No Comments

MCHUNGAJI MSIGWA APANDISHWA KIZIMBANI, ATIMIZA MASHARTI YA DHAMANA

 Mbunge  Msigwa akishuka katika gari la  polisi baada ya kufikishwa mahakamani mchana  huu.…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 3:27pm — 3 Comments

TASWA FC YAWAFUNGA MABONDIA 2-1 KWA TABU

Bondia Daudi Muhuzi (kulia) akiwania mpira na Majuto Omari wa Taswa wakati wa mpambano wao.…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 2:59pm — No Comments

MRISHO NGASA ATAMBULISHWA RASMI YANGA

Mrisho Ngasa akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya klabu ya Yanga baada ya kutambulishwa rasmi. (Picha na Yanga)

Katibu Mkuu wa klabu ya Young Africans Lawrence Lawrence Mwalusako leo amemtambulisha rasmi kwa…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 2:22pm — 4 Comments

SOMA HOTUBA YA SUGU ILIYOLETA KIZAAZAA BUNGENI LEO

Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani-Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Joseph Osmund Mbilinyi (Mb).…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 1:45pm — 2 Comments

News Topics by Tags

Monthly Archives

2013

2012

2011

2010

1999

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE yesterday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service