MSHINDI WA TAJI LA MISS UTALII TANZANIA 2012/13 HADIJA SAID MISS UTALII MOROGORO KATIKATI AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA LUCY NOEL MISS UTALII DAR ES SALAAM KUSHOTO NA MSHINDI WA TATU KULIA THELESIA KILOMO MISS UTALII VYUO…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 10:32am — No Comments
“Wewe unaingilia yanakuhusu?... Yanakuhusu? Badala ya kurudi nyumbani kwako, unang’ang’ania katika nyumba za watu na kuziharibu. Umechangia sana kutugombanisha wewe,” nilimjibu.
Mume wangu alikuwa amesimama katikati ya sebule huku akitokwa na jasho jingi usoni kana kwamba alikuwa anafanya mazoezi ya judo. SONGA NAYO...
BADALA ya kusikiliza upuuzi aliokuwa akiusema Pili na mama yake, nilikwenda chumbani kwangu na kumuacha mume wangu akiwa amesimama…

Nilishaeleza katika makala yangu huko nyuma kwamba maisha ya kimapenzi ni kama kioo. Yaani ukiyachekea nayo yatakuchekea, ila ukiyanunia, nayo yatakukunjia sura.

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — No Comments
TUMEZOEA kuanza siku kwa kunywa vinywaji moto kama vile kahawa au chai na hii imekuwa ndiyo desturi ya maisha ya watu wengi duniani. Lakini siyo lazima kuanza siku yako kwa kunywa vinywaji hivyo, ambavyo tafiti nyingi zimeonesha chai na kahawa vikitumiwa kupita kiasi vinaweza kuwa na athari kwa…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — No Comments
KARIBU sana katika makala yetu inayohusu afya.Kutokana na simu nyingi ninazozipata nikiulizwa maswali juu ya maumivu yanayowapata akina mama wengi wakati wa hedhi nimeona ni bora niandike makala hii ili iweze kuwasaidia na wengine kujua nini chanzo na mhusika afanye nini pale anapopatwa…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — No Comments
WIKI iliyopita niliulizwa swali kama majini wanazaa? Jibu ni kwamba wanaoana na kuongezeka kama tulivyo binadamu na huzaana kwa wingi sana.
Binadamu mwanamume ana uwezo wa kumuoa jini mwanamke na jini wa kiume ana uwezo wa kumuoa binadamu mwanamke pamoja na kwamba ndoa inayotambulika na Mwenyezi Mungu ni ya kiumbe kwa kiumbe…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — No Comments
Na Makongoro Oging'
FAMILIA ya Rais wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi imejikuta matatani kufuatia nyumba namba 13, kitalu 33F iliyopo Mtaa wa Mwinjuma, Kinondoni, jijini Dar anayoishi mjukuu wake, Abood Hassan Mwinyi kupigwa kufuli kwa amri ya mahakama.…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — 2 Comments
AHADI ya siku nyingi aliyoiweka Nsia ya kuuangamiza ulimwengu, sasa inaelekea kutimia. Msichana huyo hatari anayesumbua vichwa vya watu wengi kutokana na matendo yake ya kikatili, baada ya kurejea Tanzania akitokea Israel anaanza kutimiza ahadi yake. Anamwaga sumu ya Carcinoma Powder kwenye kijiji alichozaliwa cha Hedaru na kusababisha maafa makubwa.
Baada ya kufanya unyama huo, Nsia anaelekea kwenye mtambo wa kusafisha na kuchuja maji wa Ruvu unaotegemewa na…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:00am — 3 Comments
Na Mwandishi Wetu
TUKIO la kuuawa kwa mfanyabiashara kijana mwenye mafanikio, Ayoub Mlay, siyo tu linaacha simanzi kwa Watanzania bali pia ni fundisho kwa jamii na serikali.…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:00am — 2 Comments
Na Gladness Mallya
SAKATA la kijana Bonny Fabian Kavishe kudaiwa kumuua kwa kumpiga risasi baba yake, mzee Livingstone Kavishe akiamini ni mwizi sasa ni simulizi ya machozi kufuatia kusomwa kwa waraka mzito ulioandikwa na mtuhumiwa huyo ambaye bado yupo mahabusu ya Polisi Mlandizi, Bagamoyo,…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:00am — 3 Comments
Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 6:30pm — No Comments
MASHABIKI wa mtayarishaji wa muziki (Producer), mwenye uwezo wa kipekee, aliyetayarisha wimbo wa Leka dutigite wa Kigoma All…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 6:00pm — 2 Comments
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt. Fenella Mukangara, akiwasilisha makadirio ya Bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2013/2014 leo Bungeni.…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 5:30pm — No Comments
Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 3:30pm — No Comments
Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 3:27pm — 3 Comments
Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 2:59pm — No Comments
Mrisho Ngasa akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya klabu ya Yanga baada ya kutambulishwa rasmi. (Picha na Yanga)
Katibu Mkuu wa klabu ya Young Africans Lawrence Lawrence Mwalusako leo amemtambulisha rasmi kwa…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 2:22pm — 4 Comments
Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani-Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Joseph Osmund Mbilinyi (Mb).…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 1:45pm — 2 Comments
2013
2012
2011
2010
1999
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE yesterday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
© 2013 Created by Global Publishers.



