SISTA FEKI ANASWA
Stori:Mwandishi Wetu
AMA kweli dunia inazidi kwenda ukingoni! Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Phyllis Wanjiru Kamau (44), raia wa Kenya amekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa kwa madai ya kujifanya mtawa wa Kanisa Katoliki na alikuwa akiishi kwenye nyumba za watawa wa kanisa hilo…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 11:10am — 7 Comments
MTANZANIA ANAYEENDA YUKO HAPA
Stori: Hamida Hassan
Jacqueline Pentzel ‘Jack wa Chuz’, Jacqueline Patrick ‘Jack Patrick’ (pichani) , Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ mmoja wapo ataungana na mwanaume kuiwakilisha Bongo kwenye Shindano la Big Brother Africa 2013 linalokwenda na kikolombwezo cha…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 11:01am — 9 Comments
MADAI MAZITO NISHA AHONGWA NYUMBA
Stori:Gladness Mallya
Unakumbuka zile habari za Wema Isaac Sepetu kununuliwa jumba la kifahari na bilionea mmoja Kijitonyama, Dar? Sasa zimegeukia kwa staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye naye kuna madai mazito ya kuhongwa nyumba.
Ilikuwa mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 11:00am — 8 Comments
PROFESA JAY; NA SAKATA LA JIDE VS RUGE
Stori:Chande Abdallah
WIKI hii kwenye Funguka na Risasi tunaye mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Joseph Haule, ‘Profesa Jay’ ambaye anafunguka juu ya bifu kati ya Judith Wambura ‘Jide’ na Mkurugenzi wa Vipindi na Utafiti wa Clouds Media, Ruge Mutahaba.
Profesa Jay naye ametajwa katika sakata hilo kutokana na…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:37am — 11 Comments
MAMA SHARO... AAMBULIA PATUPU KWENYE AKAUNTI YA MWANAYE
Stori: Gladness Mallya
Maskini! Mama mzazi wa aliyekuwa msanii maarufu wa vichekesho na muziki Bongo, Marehemu Hussein Mkieti ‘Sharo Milionea’, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kufunga safari kutoka Tanga hadi Dar kwa ajili ya kushughulikia fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya mwanaye na…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:27am — 9 Comments
PICHA YA WABUNGE YAZUA GUMZO MTAANI
Stori:Mohammedy Kuyunga
PICHA iliyopigwa nje ya Ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma hivi karibuni ikiwaonesha wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ally Mohammed Kessy wa Jimbo la Nkasi Mashariki, Sumbawanga na Juma Othuman Kapuya wa Urambo Magharibi, Tabora wakionekana…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:25am — 4 Comments
KESI YA ‘RAMA MLA WATU’ YAZUA TIMBWILI MAHAKAMANI
Stori:Richard Bukosi, Dar
MAMA wa marehemu Salome Yohana, Pendo Dustan Mushi (picha ndogo katikati) ambaye kichwa cha mwanaye huyo kinadaiwa kukutwa na Ramadhan Suleiman ‘Rama mla watu’ amezua timbwili Mahakama Kuu, jijini Dar akitaka kujua hatma ya kesi hiyo ya mauaji.…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:08am — 5 Comments
WATAPELIWA KWA KUCHIMBA KABURI
Na Hamida Hassan
KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Kesi Dikoroma na dada mmoja (jina halikupatikana mara moja) wamejikuta wakitapeliwa simu zao baada ya kupewa tenda ya kuchimba kaburi.
Wawili hao wamekutwa na mkasa huo hivi karibuni katika makaburi ya Ulongoni, Tabata-Segerea, jijini…

Added by GLOBAL on May 11, 2013 at 7:51am — 8 Comments
LULU AITWA DUBAI
Na Erick Evarist
HABARI zilizonaswa na Amani zinaeleza kuwa nyota wa sinema Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, ameitwa katika Jiji la Dubai, Falme za Kiarabu kwa ajili ya kula ‘bata’ ikiwa ni pole yake kwa kusota Gereza la Segerea kwa karibu mwaka mmoja.…

Added by GLOBAL on May 11, 2013 at 7:30am — 17 Comments
DAAH!
Na Imelda Mtema
DAAH! Pati ya kuzaliwa ‘bethidei’ ya mtoto wa Irene Pancras Uwoya na mumewe Hamad Ndikumana ‘Kataut’, Krrish imekuwa kama ya harusi, kwa namna ilivyofanyika, Risasi Jumamosi lina kila kitu.…

Added by GLOBAL on May 11, 2013 at 7:30am — 20 Comments
MTABIRI: MABOMU MENGINE YAJA
Na Gladness Mallya
MNAJIMU maarufu nchini, Maalim Hassan Yahya Hussein, amesema kuwa milipuko zaidi ya mabomu itatokea nchini mwaka huu.
Maalim Hassan ambaye ni mrithi wa kazi za aliyekuwa mnajimu maarufu Afrika, marehemu Sheikh Yahya Hussein, amefafanua kwamba milipuko mfano wa ule uliotokea…

Added by GLOBAL on May 11, 2013 at 7:00am — 13 Comments
AMOS MAKALA AJITOSA KUWAKUTANISHA JIDE, RUGE
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makala amefunguka kuwa hafurahishwi na malumbano kati ya mwanamuziki Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’ na Bosi wa Clouds FM, Ruge Mutahaba hivyo amepanga kuwasuluhisha.…

Added by GLOBAL on May 11, 2013 at 7:00am — 8 Comments
HUKUMU YA SHEHE PONDA MAAJABU!
Richard Bukos na Makongoro Oging'
MAAJABU yamejitokeza kwenye hukumu iliyomkabili Katibu wa Jumuiya za Kiislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa Ponda na wenzake 49, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam juzi Alhamisi baada ya katibu huyo kuhukumiwa kifungo cha mwaka mmoja nje na wengine…

Added by GLOBAL on May 11, 2013 at 7:00am — 10 Comments
FUMANIZI LA PADRI
Stori: Mwandishi Wetu
LILE saga la madai ya fumanizi la Padri Urbanus Ngowi aliyekuwa akihudumu katika Parokia ya Korongoni, Moshi Vijijini kabla ya kuhamishiwa Makomu, Marangu limeibua mtikisiko mkubwa kwa Kanisa Katoliki nchini, Risasi Jumamosi lina mapya yaliyoibuka.…

Added by GLOBAL on May 4, 2013 at 12:30pm — 9 Comments
MWANAUME ALAZWA WODI YA WANAWAKE
Stor: Imalda Mtema
Katika hali ya kushangaza, mwanaume mwenye asili ya Kiarabu aliyetambulika kwa jina la Karina Mohamed (20), aliwaacha midomo wazi madaktari, wauguzi na wagonjwa wa Hospital ya Amana, jijini Dar baada kulazwa katika wodi ya wanawake akidhaniwa ni mwanamke.…

Added by GLOBAL on May 4, 2013 at 12:00pm — 10 Comments
BABU WA LOLIONDO BADO ANAZO, ANASWA BENKI
BABU WA LOLIONDO BADO ANAZO, ANASWA BENKI
Stori:Mwandishi Wetu
Katika kuonesha kuwa Mchungaji Mstaafu, Ambilikile Mwasapile ‘Babu wa Loliondo’ bado ana fedha baada ya kuzikusanya kutoka kwa wateja wake wa huduma ya kikombe, hivi karibuni alinaswa ndani ya Benki ya NMB akipata huduma.…

Added by GLOBAL on May 4, 2013 at 11:00am — 9 Comments
PENNY: NAMSHANGAA DIAMOND, MIMBA IPI KWANZA?
Stori:Mwaija Salum na Joan Lema
HIVI karibuni, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ aliripotiwa na gazeti moja la Global Publishers akisema demu wake ambaye ni ‘prizenta’ wa Runinga ya DTV, Peniel Mungilwa ‘Penny’ ana ujauzito wake na kwamba amemnunulia ‘mkoko’ (gari) la mamilioni ya…

Added by GLOBAL on May 4, 2013 at 10:31am — 20 Comments
WIZI MTUPU! ... KULIONA KABURI LA KANUMBA SH. 5,000
Stori:IssaKwisa Mponi na Denis Mtima
KATIKA kile kinachoonekana kwamba ni wizi mtupu, baadhi ya vijana wanaojifanya kutunza Makaburi ya Kinondoni wamebuni njia ya kuwaibia watu kwa kutumia kaburi la nguli wa filamu za Kibongo, marehemu Steven Kanumba.…

Added by GLOBAL on May 4, 2013 at 10:30am — 8 Comments
BODI YA FILAMU YAWABADILISHA MAYA, CATHY
Stori: Imelda Mtema
BAADA ya bodi ya filamu kupiga marufuku uvaaji wa vimini kwa wasanii wa filamu Bongo, wasanii wakongwe, Mayasa Mrisho ‘Maya’ na Sabrina Rupia ‘ Cathy’ wameamua kuja kivingine baada ya kuamua kutinga vitu vya asili.…

Added by GLOBAL on May 4, 2013 at 10:23am — 10 Comments
2013
2012
2011
2010
1999
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE yesterday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
tina babi left a comment for johnson
tina babi left a comment for athman juma ali
tina babi left a comment for Jonal rashidi
tina babi left a comment for Sherif Dickson
tina babi left a comment for Patrick
tina babi left a comment for thabity mkanta
tina babi left a comment for HAKIZIMANA IDDY
tina babi left a comment for saifi hussein
tina babi left a comment for samwel olodi
tina babi left a comment for Ally Suleiman
tina babi left a comment for mfalme mashimi
tina babi left a comment for jacket1123zx zzxx© 2013 Created by Global Publishers.



