ALIACHA MSHAHARA SHILINGI MILIONI 600 MAREKANI, AKAJA KUWAKOMBOA WATANZANIA, TUKAMSULUBU
Dk. Ferdinand Massau enzi za uhai wake.
MTANDAO wa Health Care wa Marekani, unaeleza kuwa kwa wastani, kila daktari hulipwa dola 80 kwa saa akiwa kazini. Fedha hizo kwa…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — 3 Comments
WANAOENEZA UDINI MITANDAONI, WAENDE SHULE IVORY COAST, SIERRA LEONE
Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Olasiti, Arusha ambapo bomu lililipuliwa.
MUDA mfupi tu baada ya bomu lilipotupwa na kulipuka kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Olasiti, Arusha, mambo mengi yakatawala.…

Added by GLOBAL on May 14, 2013 at 9:00am — 2 Comments
UTAFITI UMEGUNDUA KUWA TANZANIA NI TAJIRI WA MADINI, GESI LAKINI WATU MASKINI
TUJIEPUSHE NA SHINIKIZO LA USHOGA DUNIANI; TUMUOGOPE MUNGU
KUPANDISHA NAULI YA MABASI NI PIGO LINGINE KWA WALALAHOI
TUMSHUKURU Mungu kwa kutupa uhai na kuniwezesha kuandika haya nitakayoandika kuhusiana na hali ngumu ya uchumi katika nchi yetu.
WIKI iliyopita kwa mshangao mkubwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imetangaza kupandisha nauli za daladala, mabasi ya kwenda mikoani, usafiri wa reli na tozo za majini kuanzia Aprili 12.
Nasema ni kwa mshangao mkubwa kwa sababu licha ya wananchi wa kawaida ambao ndiyo walengwa kulalamikia uamuzi huo, …

Added by GLOBAL on April 9, 2013 at 9:00am — No Comments
TANZANIA KUNA WIZI WA AJABU UNAOVUMILIWA USIOWEZA KUTOKEA MAHALI PENGINE DUNIANI
NIANZE kwa kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kukutana tena leo katika safu hii tukiwa na afya tele. Hakika Mungu ahimidiwe milele.…

Added by GLOBAL on March 26, 2013 at 9:00am — 7 Comments
TUNAKOELEKEA WATANZANIA SIKO; TUNAPOTEA GIZANI
Added by GLOBAL on March 19, 2013 at 8:30am — 12 Comments
UCHAGUZI WA KENYA TUMEJIFUNZA MENGI YA KUIGA!
KUNA UCHOYO WA ELIMU UNAOUA UTAIFA
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.
KWANZA nimshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya…

Added by GLOBAL on March 5, 2013 at 9:26am — 2 Comments
BARUA YANGU KWA NDUGU ZANGU WA BUSERESERE NA WATANZANIA WOTE
Majeruhi Sadick Yahaya akiwa amelazwa katika hospitali ya wilaya ya Geita baada ya kujeruhiwa wakati wa vurugu za waislam na wakristu wachache zilizotokea katika kijiji cha Buseresere wilayani Chato mkoani Geita…

Added by GLOBAL on February 19, 2013 at 9:59am — 7 Comments
SERIKALI IDHIBITI BEI YA UNGA WA MAHINDI, BILA KUFANYA HIVYO WATU WATAZIDI KUUMIA
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mheshimiwa Christopher Chiza.
TUMSHUKURU Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo, hakika yeye ni mwema.
Baada ya kusema hayo leo nizungumzie…

Added by GLOBAL on January 29, 2013 at 10:04am — 3 Comments
HIKI KIKIFANYIKA KILWA, NDICHO WAKUSINI WANACHOLILIA
Mchoro unoonesha hospitali itakayojengwa wilayani Kilwa kutokana na upatikanaji wa gesi.
BILA shaka kwa baraka za Mungu wasomaji wa safu hii hamjambo, kama hivyo ndivyo, basi hatuna…

Added by GLOBAL on January 22, 2013 at 9:27am — 5 Comments
MAONI MENGI YA MAKUNDI KWENYE KATIBA MPYA NI YA MSINGI
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba (kushoto) akiwa na mjumbe wa tume hiyo, Dk. Salim Ahmed Salim.
KWANZA tumshukuru muumba wetu kwa kutupa upendeleo wa kipekee wa…

Added by GLOBAL on January 15, 2013 at 8:30am — No Comments
MIPANGO THABITI IFANYWE KUPATA VING’AMUZI, VINGINEVYO WANANCHI WANARUDI KULEKULE TULIKOTOKA
KWANZA kabisa kabla ya kuanza kujadili ninachotaka kusema tumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuendelea kuvuta pumzi katika mwaka huu wa 2013, hakika yeye ni mwema.
Leo nitajadili tukio kubwa sana la mawasiliano tuliloanza nalo mwaka huu nalo ni lile la kuzimwa kwa mitambo ya kurushia matangazo ya runinga, kutoka…

IPO HAJA YA MFUMO WA UONGOZI KUTUNGIWA SHERIA KATIKA KATIBA MPYA
KAMA TUNATAKA MAENDELEO BASI VIWANDA VILIVYOKUFA VIFUFULIWE
TANZANIA INA MADINI, GESI, MALIASILI NA ARDHI KUBWA, KWA NINI NI MASKINI?
EWURA; WATANZANIA WANASEMA HAPANA, UMEME UTAPANDA HADI WAPI?
KWANZA tumshukuru Mungu kwa kutupa nafasi ya kuwa hai leo na tumuabudu kwa kutupa upendeleo huo.
Baada ya kusema hayo niingie moja kwa moja katika mada ya leo. Kwa mara nyingine tumesikia kuwa, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), iko mbioni kuhalalisha tena upandaji wa bei ya umeme kwa…

MBEKI, ZITTO LAO MOJA KUHUSU VIONGOZI WANAOTOROSHA FEDHA NJE YA NCHI
KWANZA tumshukuru Mungu kwa kutufikisha leo na pia tumuombe atuzidishie moyo wa upendo na amani kwa nchi yetu ambayo hakika ina changamoto nyingi.
Baada ya kusema hayo nianze kusema kwamba Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki amesema wiki iliyopita jijini Dar es Salaam kuwa Bara la Afrika linapaswa…

2013
2012
2011
2010
1999
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
tina babi left a comment for Florence Gasto Sinkala(culture)
tina babi left a comment for abdulla ali
tina babi left a comment for enock kisasa
tina babi left a comment for LUCAS MARWA
tina babi left a comment for Elias Shayo
tina babi left a comment for issa ramadhani
tina babi left a comment for Godfrey Kente
tina babi left a comment for elly kajura
tina babi left a comment for Muddy Moh'd
JERRY commented on GLOBAL's blog post TASWIRA ZA AJALI ILIYOTOKEA CHANG'OMBE JIJINI DAR
tina babi left a comment for abubakar rubeya© 2013 Created by Global Publishers.



