All News Posts Tagged 'pasua11' (144)

ALIACHA MSHAHARA SHILINGI MILIONI 600 MAREKANI, AKAJA KUWAKOMBOA WATANZANIA, TUKAMSULUBU

Dk. Ferdinand Massau enzi za uhai wake.

MTANDAO wa Health Care wa Marekani, unaeleza kuwa kwa wastani, kila daktari hulipwa dola 80 kwa saa akiwa kazini. Fedha hizo kwa…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — 3 Comments

WANAOENEZA UDINI MITANDAONI, WAENDE SHULE IVORY COAST, SIERRA LEONE

Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Olasiti, Arusha ambapo bomu lililipuliwa.

MUDA  mfupi tu baada ya bomu lilipotupwa na kulipuka kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Olasiti, Arusha, mambo mengi yakatawala.…

Added by GLOBAL on May 14, 2013 at 9:00am — 2 Comments

UTAFITI UMEGUNDUA KUWA TANZANIA NI TAJIRI WA MADINI, GESI LAKINI WATU MASKINI

Spika Anne Makinda akiongoza Bunge mjini Dododma.

NICHUKUE NAFASI HII kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kufika leo tukiwa na afya tele, hakika ametupa upendeleo wa hali ya juu. Tujiulize wangapi wametangulia mbele za haki? Hakika…

Added by GLOBAL on May 7, 2013 at 8:30am — 1 Comment

TUJIEPUSHE NA SHINIKIZO LA USHOGA DUNIANI; TUMUOGOPE MUNGU

Rais wa Ufaransa, Francois Hollande.

NIANZE  kwa kumshukuru Mungu kwa kuweza kutufanya leo kuwa na nguvu na kutumikia taifa, hakika yeye ni wa kuabudiwa milele.…

Added by GLOBAL on April 30, 2013 at 8:30am — 1 Comment

KUPANDISHA NAULI YA MABASI NI PIGO LINGINE KWA WALALAHOI



TUMSHUKURU Mungu kwa kutupa uhai na kuniwezesha kuandika haya nitakayoandika kuhusiana na hali ngumu ya uchumi katika nchi yetu.

WIKI iliyopita kwa mshangao mkubwa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imetangaza kupandisha nauli za daladala, mabasi ya kwenda mikoani, usafiri wa reli na tozo za majini kuanzia Aprili 12.

Nasema ni kwa mshangao mkubwa kwa sababu licha ya wananchi wa kawaida ambao ndiyo walengwa kulalamikia uamuzi huo, …

Added by GLOBAL on April 9, 2013 at 9:00am — No Comments

MAGHOROFA YATAANGUKA, KUUA HADI LINI?

Kifusi cha jengo lililoporomoka na kuua watu 34 jijini Dar.

MUNGU ni mwema, tumshukuru kwa…

Added by GLOBAL on April 2, 2013 at 8:00am — 1 Comment

TANZANIA KUNA WIZI WA AJABU UNAOVUMILIWA USIOWEZA KUTOKEA MAHALI PENGINE DUNIANI

NIANZE kwa kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kukutana tena leo katika safu hii tukiwa na afya tele. Hakika Mungu ahimidiwe milele.…

Added by GLOBAL on March 26, 2013 at 9:00am — 7 Comments

TUNAKOELEKEA WATANZANIA SIKO; TUNAPOTEA GIZANI

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda.…

Added by GLOBAL on March 19, 2013 at 8:30am — 12 Comments

UCHAGUZI WA KENYA TUMEJIFUNZA MENGI YA KUIGA!

MUNGU ni mwema na sina budi kuwashukuru wote walio kama mimi, yaani wanaoogopa vurugu au uvunjifu wa amani katika nchi. Amani ni jambo lililohubiriwa karibu na mitume wote au hata wale wasio na dini. Tumshukuru Mungu kwa kutufanya Watanzania kuwa ndugu.…

Added by GLOBAL on March 12, 2013 at 9:00am — 1 Comment

KUNA UCHOYO WA ELIMU UNAOUA UTAIFA

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.

KWANZA nimshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya…

Added by GLOBAL on March 5, 2013 at 9:26am — 2 Comments

BARUA YANGU KWA NDUGU ZANGU WA BUSERESERE NA WATANZANIA WOTE

Majeruhi Sadick Yahaya akiwa amelazwa katika hospitali ya wilaya ya Geita baada ya kujeruhiwa wakati wa vurugu za waislam na wakristu wachache zilizotokea katika kijiji cha Buseresere wilayani Chato mkoani Geita…

Added by GLOBAL on February 19, 2013 at 9:59am — 7 Comments

SERIKALI IDHIBITI BEI YA UNGA WA MAHINDI, BILA KUFANYA HIVYO WATU WATAZIDI KUUMIA

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mheshimiwa Christopher Chiza.

TUMSHUKURU Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku ya leo, hakika yeye ni mwema.

Baada ya kusema hayo leo nizungumzie…

Added by GLOBAL on January 29, 2013 at 10:04am — 3 Comments

HIKI KIKIFANYIKA KILWA, NDICHO WAKUSINI WANACHOLILIA

Mchoro unoonesha hospitali itakayojengwa wilayani Kilwa kutokana na upatikanaji wa gesi.

BILA shaka kwa baraka za Mungu wasomaji wa safu hii hamjambo, kama hivyo ndivyo, basi hatuna…

Added by GLOBAL on January 22, 2013 at 9:27am — 5 Comments

MAONI MENGI YA MAKUNDI KWENYE KATIBA MPYA NI YA MSINGI

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba (kushoto) akiwa na mjumbe wa tume hiyo, Dk. Salim Ahmed Salim.

KWANZA tumshukuru muumba wetu kwa kutupa upendeleo wa kipekee wa…

Added by GLOBAL on January 15, 2013 at 8:30am — No Comments

MIPANGO THABITI IFANYWE KUPATA VING’AMUZI, VINGINEVYO WANANCHI WANARUDI KULEKULE TULIKOTOKA

KWANZA kabisa kabla ya kuanza kujadili ninachotaka kusema tumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuendelea kuvuta pumzi katika mwaka huu wa 2013, hakika yeye ni mwema.

Leo nitajadili tukio kubwa sana la mawasiliano tuliloanza nalo mwaka huu nalo ni lile la kuzimwa kwa mitambo ya kurushia matangazo ya runinga, kutoka…

Added by GLOBAL on January 8, 2013 at 9:47am — 1 Comment

IPO HAJA YA MFUMO WA UONGOZI KUTUNGIWA SHERIA KATIKA KATIBA MPYA

Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe.

HAKIKA Mungu ni mwema kwani ametufanya tukutane tena leo katika safu hii lakini pia tumshukuru kwa kuweza kutuwezesha kuuona mwaka 2013.

Baada ya kusema hayo…

Added by GLOBAL on January 1, 2013 at 10:35am — 1 Comment

KAMA TUNATAKA MAENDELEO BASI VIWANDA VILIVYOKUFA VIFUFULIWE

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda.

MUNGU ni mwema ni usemi unaosemwa na wacha Mungu wengi na huo ndiyo ukweli. Kama hivyo ndivyo basi tumshukuru kwa kutuwezesha kuwa na afya…

Added by GLOBAL on December 18, 2012 at 9:10am — 1 Comment

TANZANIA INA MADINI, GESI, MALIASILI NA ARDHI KUBWA, KWA NINI NI MASKINI?

Makaa ya mawe ya Kiwira, Mbeya.

KWANZA kabisa tuanze makala haya kwa kumshukuru Mungu kwa kuweza kutupa uhai na afya, hivyo wote tunalazimika kumtukuza na kumuabudu milele.

Niwakumbushe tu Watanzania wenzangu…

Added by GLOBAL on December 11, 2012 at 9:30am — 1 Comment

EWURA; WATANZANIA WANASEMA HAPANA, UMEME UTAPANDA HADI WAPI?

KWANZA tumshukuru Mungu kwa kutupa nafasi ya kuwa hai leo na tumuabudu kwa kutupa upendeleo huo.

Baada ya kusema hayo niingie moja kwa moja katika mada ya leo. Kwa  mara nyingine tumesikia kuwa, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), iko mbioni kuhalalisha tena upandaji  wa bei ya umeme kwa…

Added by GLOBAL on December 4, 2012 at 8:53am — 1 Comment

MBEKI, ZITTO LAO MOJA KUHUSU VIONGOZI WANAOTOROSHA FEDHA NJE YA NCHI

KWANZA tumshukuru Mungu kwa kutufikisha leo na pia tumuombe atuzidishie moyo wa upendo na amani kwa nchi yetu ambayo hakika ina changamoto nyingi.

Baada ya kusema hayo nianze kusema kwamba Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki amesema wiki iliyopita jijini Dar es Salaam kuwa Bara la Afrika linapaswa…

Added by GLOBAL on November 27, 2012 at 10:30am — 1 Comment

Monthly Archives

2013

2012

2011

2010

1999

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

tina babi left a comment for Florence Gasto Sinkala(culture)
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
42 seconds ago
tina babi left a comment for abdulla ali
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
53 seconds ago
tina babi left a comment for enock kisasa
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
1 minute ago
tina babi left a comment for LUCAS MARWA
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
1 minute ago
tina babi left a comment for Elias Shayo
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
1 minute ago
tina babi left a comment for issa ramadhani
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for Godfrey Kente
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for elly kajura
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for Muddy Moh'd
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
JERRY commented on GLOBAL's blog post TASWIRA ZA AJALI ILIYOTOKEA CHANG'OMBE JIJINI DAR
"POLENI"
2 minutes ago
tina babi left a comment for abubakar rubeya
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
3 minutes ago
Roberto Arndt posted a status
3 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service