All News Posts Tagged 'mchanganyiko11' (891)

OMMY DIMPOZ AOMBA MSAMAHA

Na Mwandishi Wetu

KUFUATIA kumtusi marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’ kuwa amekufa maskini, mmiliki wa akaunti inayodaiwa ni ya msanii Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ katika mtandao wa Facebook, amewaomba msamaha Watanzania kwa kitendo chake hicho baada ya kumwagiwa mitusi.…

Added by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:43am — 9 Comments

MAAJABU MAZISHI YA LANGA

Na Waandishi Wetu

MWANAHIP HOP Langa Kileo amezikwa Jumatatu iliyopita na mazishi yake yameacha maajabu kadhaa kwa baadhi ya waombolezaji kuanzia nyumbani kwao, Regency Estates, Mikocheni hadi alipokuwa akipelekwa Makaburi ya  Kinondoni jijini Dar.…

Added by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:00am — 10 Comments

LUNDENGA AMTIMUA MREMBO JUKWAANI

Na Dustan Shekidele, Morogoro

MWENYEKITI wa Kamati ya Mashindano ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga Jumamosi iliyopita alimtimua mshiriki wa shindano la Redd’s Miss Morogoro 2013, Saphina Chumba (20) jukwaani wakati shindano hilo lilipokuwa…

Added by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:30am — 11 Comments

GERALD HANDO NUSURA AUAWE

Na Sifae Paul

MTANGAZAJI  mwenye jina kubwa wa Radio Clouds FM, Gerald Hando ‘Mzee Mnoko’  ameponea chupuchupu kuuawa baada ya kutishiwa kwa bastola.

Kwa mujibu wa chanzo makini, tukio hilo lilijiri maeneo ya Mwananyamala Kwa Kopa, Dar alfajiri ya Jumatatu wiki…

Added by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:30am — 9 Comments

KHAAA! ACHEZEA KICHAPO KWA KUFANYA UKAHABA JIRANI NA MSIKITI

Richard Bukos na Issa Mnally

KHAAA! Operesheni Fichua Maovu ‘OFM’ iliyo chini ya Global Publishes, ipo mzigoni na hivi karibuni imenasa tukio la aina yake ambapo mke wa mtu amechezea kichapo ‘hevi’ akidaiwa kufanya ukahaba jirani na msikiti, Risasi Mchanganyiko lina kisa kamili.…

Added by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:30am — 12 Comments

WAENDA KUFUNGA NDOA KWA BODABODA, WARUDI KWA MIGUU

Padri Phidelisi Mwesongo akiwafungisha ndoa Charles Kanyema na Onoratha Pascal.…

Added by GLOBAL on June 12, 2013 at 9:00am — 16 Comments

KIFO CHA KASHI... YAMETIMIA

Gladdness Mallya na Richard Bukos.

KIFO cha msanii wa siku nyingi  katika tasnia ya filamu za Kibongo, Jaji Hamisi ‘Kashi’ kilichotokea Jumatatu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kimehitimisha maono ya mchungaji aliyetabiri kuwa mastaa wawili mmoja wa Bongo…

Added by GLOBAL on June 12, 2013 at 8:00am — 13 Comments

MAJANGA; SNURA AACHANA NA MPENZI WAKE

Na Gladness Mallya

MSANII wa filamu na muziki wa Kibongo, Snura Mushi amefikia uamuzi wa kuachana na mpenzi wake anayejulikana kwa jina moja la Ommy Crazy ambaye ni DJ wa Maisha Club ya jijini Dar.…

Added by GLOBAL on June 12, 2013 at 8:00am — 15 Comments

FAMILIA YAMKATAA MTOTO WA NGWEA

Na Dustan Shekidele, Morogoro

SIKU chache baada ya aliyekuwa mkali wa Hip Hop Bongo, Albert Kenneth Mangweha ‘Ngwea’ kupumzishwa kaburini kufuatia kifo cha usingizini nchini Afrika Kusini kilichotokea Mei 28, mwaka huu, mambo kibao yanazidi kuibuka.…

Added by GLOBAL on June 12, 2013 at 8:00am — 9 Comments

WASTARA ATOKEWA NA SAJUKI KITANDANI

Na Imelda Mtema

SIKU chache baada ya staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma kumaliza eda na kurejea Bongo akitokea Uarubuni ameanza kuona maruweruwe ndani ya chumba alichokuwa akilala na mumewe marehemu, Sadick Juma Kiwoloko  ‘Sajuki’, Risasi Mchanganyiko lina habari za…

Added by GLOBAL on June 12, 2013 at 8:00am — 15 Comments

SHABIKI WA YANGA AVAMIWA NA VIMWANA JUKWAANI

Na Dustan Shekidele, Morogoro

MWANACHAMA wa Klabu ya Yanga mjini hapa, Athuman Muhando ‘Chamangwana’ hivi karibuni alivamiwa na warembo ukumbini alipokuwa akicheza muziki kusherehekea ubingwa wa timu yake sambamba na kumfunga mtani wao, Simba.

Tukio hilo lilitokea ndani ya Ukumbi wa King Tom mjini hapa katika pati ya kujipongeza kufuatia mechi ya watani iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar Mei 18, mwaka huu.

Chamangwana licha ya ulemevu wake alionesha umahiri…

Added by GLOBAL on June 5, 2013 at 8:30am — 1 Comment

MAMA KANUMBA, MAMA LULU...

Na Gladness Mallya

MAMA wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa na mama wa Elizabeth Michael ‘Lulu’ wamenaswa wakiserebuka kwenye bonge la sherehe.…

Added by GLOBAL on June 5, 2013 at 8:30am — 7 Comments

WASTARA AMLIZA FLORA MVUNGI

Na Gladness Mallya

MSANII wa filamu Bongo, Flora Mvungi ameangua kilio ukumbini katika sherehe yake ya kufundwa maarufu kama ‘Kicheni Pati’ baada ya kupewa maneno mazito na msanii mwenzake Wastara Juma, Risasi Mchanganyiko lilikuwepo.…

Added by GLOBAL on June 5, 2013 at 8:30am — 16 Comments

DAR YAZIZIMA

Na Waandishi Wetu

HATIMAYE mwili wa aliyekuwa Mfalme wa Freestyle wa Hip Hop Bongo, marehemu Albert Kenneth Mangweha ‘Ngwea’ umewasili nchini jana na kupokelewa na maelfu wa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, waliofika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Risasi Mchanganyiko…

Added by GLOBAL on June 5, 2013 at 8:00am — 2 Comments

BIG BROTHER 2013: FEZA KESSY AONYWA KUHUSU NGONO

Feza Kessy.

Sifael Paul na Mitandao

LILE Shindano la Big Brother Africa 2013 ‘The Chase’ limeanza Jumapili iliyopita ambapo Tanzania inawakilishwa na mrembo ambaye ni mwanamuziki wa Bongo Fleva,…

Added by GLOBAL on May 29, 2013 at 8:00am — 6 Comments

HEE NESII!

Na Waandishi Wetu

MUUGUZI wa kike, Violet Shoo, mkazi wa jijini Dar ametiwa mbaroni na Jeshi la Polisi Kituo cha Buguruni, Ilala baada ya kunaswa katika jaribio la kutaka kumchoropoa ujauzito msichana mmoja aliyepandikizwa kama mwanafunzi kwa mtego makini ulioratibiwa na Oparesheni Fichua Maovu…

Added by GLOBAL on May 29, 2013 at 8:00am — 17 Comments

MAAJABU!

Na Imelda Mtema

VIDEO Queen wa Bongo Fleva, Agness Jerald ‘Masogange’ anasumbuliwa na tatizo la kuota ndoto mbaya usiku na kuamka kisha kutoka nje na kutimua mbio, jambo ambalo kwa wengi linaweza kuonekana kuwa ni maajabu.…

Added by GLOBAL on May 29, 2013 at 8:00am — 11 Comments

DK. CHENI ALISHWA SUMU

Na Mwaija Salum

MWIGIZAJI mwenye ushawishi mkubwa Bongo, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ ameponea chupuchupu kwenye hatari ya kupoteza maisha baada ya kula chakula kilichosadikika kuwa kina sumu, Risasi Mchanganyiko linaripoti.…

Added by GLOBAL on May 29, 2013 at 8:00am — 12 Comments

ODAMA AANGUA KILIO UPYA

Na Mwandishi Wetu

IKIWA ni miezi tisa imekatika tangu msanii Rose Thomas Maguzo afariki dunia, mwigizaji mwenzake Jennifer Kyaka ‘Odama’ ameshindwa kujizuia na kuangua kilio upya makaburini wakati wakijengea kaburi la msanii huyo.…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:10am — 7 Comments

AACHA MAZOEZI KISA NATURE

Juma Nature.

Na Lucy Mgina

BEKI wa Yanga Oscar Joshua aligeuka kituko baada ya kuacha kufanya mazoezi na wenzake kutokana na kuzidiwa na muziki mkali uliokuwa ukipigwa na Kundi la TMK Wanaume Halisi.

Kituko hicho cha aina yake kilitokea…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 8:30am — 3 Comments

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

UKIMYA WA VYOMBO VYA DOLA KUTOA TAARIFA ZA MATUKIO YA MAUAJI NA UTEKAJI NI ISHARA KUWA WANAHUSIKA?

Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Samson Mussa Jun 10. 2 Replies

Absalom Kibanda akiwa ICU.USIKU wa Jumanne ya Machi 5 kuamkia Machi…

Tags: UTEKAJI, NA, MAUAJI, NI, ISHARA

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE May 20. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Latest Activity

Tristan Gerard posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
1 minute ago
Tristan Gerard posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
1 minute ago
Tristan Gerard posted a status
1 minute ago
Tristan Gerard posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
1 minute ago
Tristan Gerard posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
1 minute ago
Tristan Gerard posted a status
2 minutes ago
Tristan Gerard posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
2 minutes ago
Tristan Gerard posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
2 minutes ago
Anke Mora posted a status
2 minutes ago
Anke Mora posted a status
""
2 minutes ago
Anke Mora posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
2 minutes ago
meggie impostra commented on GLOBAL's blog post DIDA AELEZA ALIVYOCHUNGULIA KABURI
"poleee sanaaa"
13 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service