OMMY DIMPOZ AOMBA MSAMAHA
Na Mwandishi Wetu
KUFUATIA kumtusi marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’ kuwa amekufa maskini, mmiliki wa akaunti inayodaiwa ni ya msanii Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ katika mtandao wa Facebook, amewaomba msamaha Watanzania kwa kitendo chake hicho baada ya kumwagiwa mitusi.…

Added by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:43am — 9 Comments
MAAJABU MAZISHI YA LANGA
Na Waandishi Wetu
MWANAHIP HOP Langa Kileo amezikwa Jumatatu iliyopita na mazishi yake yameacha maajabu kadhaa kwa baadhi ya waombolezaji kuanzia nyumbani kwao, Regency Estates, Mikocheni hadi alipokuwa akipelekwa Makaburi ya Kinondoni jijini Dar.…

Added by GLOBAL on June 19, 2013 at 9:00am — 10 Comments
LUNDENGA AMTIMUA MREMBO JUKWAANI
Na Dustan Shekidele, Morogoro
MWENYEKITI wa Kamati ya Mashindano ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga Jumamosi iliyopita alimtimua mshiriki wa shindano la Redd’s Miss Morogoro 2013, Saphina Chumba (20) jukwaani wakati shindano hilo lilipokuwa…

Added by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:30am — 11 Comments
GERALD HANDO NUSURA AUAWE
Na Sifae Paul
MTANGAZAJI mwenye jina kubwa wa Radio Clouds FM, Gerald Hando ‘Mzee Mnoko’ ameponea chupuchupu kuuawa baada ya kutishiwa kwa bastola.
Kwa mujibu wa chanzo makini, tukio hilo lilijiri maeneo ya Mwananyamala Kwa Kopa, Dar alfajiri ya Jumatatu wiki…

Added by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:30am — 9 Comments
KHAAA! ACHEZEA KICHAPO KWA KUFANYA UKAHABA JIRANI NA MSIKITI
Richard Bukos na Issa Mnally
KHAAA! Operesheni Fichua Maovu ‘OFM’ iliyo chini ya Global Publishes, ipo mzigoni na hivi karibuni imenasa tukio la aina yake ambapo mke wa mtu amechezea kichapo ‘hevi’ akidaiwa kufanya ukahaba jirani na msikiti, Risasi Mchanganyiko lina kisa kamili.…

Added by GLOBAL on June 19, 2013 at 8:30am — 12 Comments
WAENDA KUFUNGA NDOA KWA BODABODA, WARUDI KWA MIGUU
Added by GLOBAL on June 12, 2013 at 9:00am — 16 Comments
KIFO CHA KASHI... YAMETIMIA
Gladdness Mallya na Richard Bukos.
KIFO cha msanii wa siku nyingi katika tasnia ya filamu za Kibongo, Jaji Hamisi ‘Kashi’ kilichotokea Jumatatu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kimehitimisha maono ya mchungaji aliyetabiri kuwa mastaa wawili mmoja wa Bongo…

Added by GLOBAL on June 12, 2013 at 8:00am — 13 Comments
MAJANGA; SNURA AACHANA NA MPENZI WAKE
Na Gladness Mallya
MSANII wa filamu na muziki wa Kibongo, Snura Mushi amefikia uamuzi wa kuachana na mpenzi wake anayejulikana kwa jina moja la Ommy Crazy ambaye ni DJ wa Maisha Club ya jijini Dar.…

Added by GLOBAL on June 12, 2013 at 8:00am — 15 Comments
FAMILIA YAMKATAA MTOTO WA NGWEA
Na Dustan Shekidele, Morogoro
SIKU chache baada ya aliyekuwa mkali wa Hip Hop Bongo, Albert Kenneth Mangweha ‘Ngwea’ kupumzishwa kaburini kufuatia kifo cha usingizini nchini Afrika Kusini kilichotokea Mei 28, mwaka huu, mambo kibao yanazidi kuibuka.…

Added by GLOBAL on June 12, 2013 at 8:00am — 9 Comments
WASTARA ATOKEWA NA SAJUKI KITANDANI
Na Imelda Mtema
SIKU chache baada ya staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma kumaliza eda na kurejea Bongo akitokea Uarubuni ameanza kuona maruweruwe ndani ya chumba alichokuwa akilala na mumewe marehemu, Sadick Juma Kiwoloko ‘Sajuki’, Risasi Mchanganyiko lina habari za…

Added by GLOBAL on June 12, 2013 at 8:00am — 15 Comments
SHABIKI WA YANGA AVAMIWA NA VIMWANA JUKWAANI
Na Dustan Shekidele, Morogoro
MWANACHAMA wa Klabu ya Yanga mjini hapa, Athuman Muhando ‘Chamangwana’ hivi karibuni alivamiwa na warembo ukumbini alipokuwa akicheza muziki kusherehekea ubingwa wa timu yake sambamba na kumfunga mtani wao, Simba.
Tukio hilo lilitokea ndani ya Ukumbi wa King Tom mjini hapa katika pati ya kujipongeza kufuatia mechi ya watani iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar Mei 18, mwaka huu.
Chamangwana licha ya ulemevu wake alionesha umahiri…

MAMA KANUMBA, MAMA LULU...
Na Gladness Mallya
MAMA wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa na mama wa Elizabeth Michael ‘Lulu’ wamenaswa wakiserebuka kwenye bonge la sherehe.…

Added by GLOBAL on June 5, 2013 at 8:30am — 7 Comments
WASTARA AMLIZA FLORA MVUNGI
Na Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Flora Mvungi ameangua kilio ukumbini katika sherehe yake ya kufundwa maarufu kama ‘Kicheni Pati’ baada ya kupewa maneno mazito na msanii mwenzake Wastara Juma, Risasi Mchanganyiko lilikuwepo.…

Added by GLOBAL on June 5, 2013 at 8:30am — 16 Comments
DAR YAZIZIMA
Na Waandishi Wetu
HATIMAYE mwili wa aliyekuwa Mfalme wa Freestyle wa Hip Hop Bongo, marehemu Albert Kenneth Mangweha ‘Ngwea’ umewasili nchini jana na kupokelewa na maelfu wa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, waliofika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Risasi Mchanganyiko…

Added by GLOBAL on June 5, 2013 at 8:00am — 2 Comments
BIG BROTHER 2013: FEZA KESSY AONYWA KUHUSU NGONO
Sifael Paul na Mitandao
LILE Shindano la Big Brother Africa 2013 ‘The Chase’ limeanza Jumapili iliyopita ambapo Tanzania inawakilishwa na mrembo ambaye ni mwanamuziki wa Bongo Fleva,…

Added by GLOBAL on May 29, 2013 at 8:00am — 6 Comments
HEE NESII!
Na Waandishi Wetu
MUUGUZI wa kike, Violet Shoo, mkazi wa jijini Dar ametiwa mbaroni na Jeshi la Polisi Kituo cha Buguruni, Ilala baada ya kunaswa katika jaribio la kutaka kumchoropoa ujauzito msichana mmoja aliyepandikizwa kama mwanafunzi kwa mtego makini ulioratibiwa na Oparesheni Fichua Maovu…

Added by GLOBAL on May 29, 2013 at 8:00am — 17 Comments
MAAJABU!
Na Imelda Mtema
VIDEO Queen wa Bongo Fleva, Agness Jerald ‘Masogange’ anasumbuliwa na tatizo la kuota ndoto mbaya usiku na kuamka kisha kutoka nje na kutimua mbio, jambo ambalo kwa wengi linaweza kuonekana kuwa ni maajabu.…

Added by GLOBAL on May 29, 2013 at 8:00am — 11 Comments
DK. CHENI ALISHWA SUMU
Na Mwaija Salum
MWIGIZAJI mwenye ushawishi mkubwa Bongo, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ ameponea chupuchupu kwenye hatari ya kupoteza maisha baada ya kula chakula kilichosadikika kuwa kina sumu, Risasi Mchanganyiko linaripoti.…

Added by GLOBAL on May 29, 2013 at 8:00am — 12 Comments
ODAMA AANGUA KILIO UPYA
Na Mwandishi Wetu
IKIWA ni miezi tisa imekatika tangu msanii Rose Thomas Maguzo afariki dunia, mwigizaji mwenzake Jennifer Kyaka ‘Odama’ ameshindwa kujizuia na kuangua kilio upya makaburini wakati wakijengea kaburi la msanii huyo.…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 9:10am — 7 Comments
AACHA MAZOEZI KISA NATURE
Juma Nature.
Na Lucy Mgina
BEKI wa Yanga Oscar Joshua aligeuka kituko baada ya kuacha kufanya mazoezi na wenzake kutokana na kuzidiwa na muziki mkali uliokuwa ukipigwa na Kundi la TMK Wanaume Halisi.
Kituko hicho cha aina yake kilitokea…

Added by GLOBAL on May 22, 2013 at 8:30am — 3 Comments
2013
2012
2011
2010
1999
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
Matilanga Lukingita |
| 3 |
hope |
| 4 |
julius manning |
| 5 |
Tatu Majaliwa |
| 6 |
LJH_3 |
| 7 |
NDAUKA the GREAT |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
cownapher28 |
| 10 |
lumi mwandelile |
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Samson Mussa Jun 10. 2 Replies 0 Likes
Absalom Kibanda akiwa ICU.USIKU wa Jumanne ya Machi 5 kuamkia Machi…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 1 Like
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 10 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE May 20. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 5 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
meggie impostra commented on GLOBAL's blog post DIDA AELEZA ALIVYOCHUNGULIA KABURI© 2013 Created by Global Publishers.




