All News Posts Tagged 'makala11' (336)

JOYCE KIRIA: NG’OMBE HAELEMEWI NA NUNDU YAKE

MAMBO vipi msomaji wa safu hii ya Staa na Mwana? Kwangu mambo yanazidi kunoga. Kama ilivyo kawaida ya safu hii ni kuwasaka mastaa ambao tayari wana watoto kisha kupiga nao stori za maisha yao halisi ya kila siku.

Leo tunakutana na mtangazaji maarufu wa Kipindi cha Wanawake Live kinachorushwa kupitia  Runinga…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 9:00am — 4 Comments

RIPOTI YA WIKI PAMPASI ZINAUA

RIPOTI ya Wiki leo imebaini kwamba pampasi (nguo za ndani za watoto) zina madhara kwa watoto na husababisha magonjwa ya kuambukiza kama yasipopatiwa tiba stahiki huweza kusabisha kifo.

Uchunguzi wa maripota wetu umebaini madhara hayo hutokea kwa kuwa pampasi zina uwezo…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 9:00am — 5 Comments

OYAAA BILA KUCHEZA RAFU HUPIGWI TAFU

HIVI masela ina maana tumedisaidi kuridhika na situwesheni ya kusota bila kujua mwisho wetu? Maana kuna sam pipo wanafaiti deile bati hawachomoki wala nini kudadeki!

Kuna taimu huwa nikimwona kachaa anahaso theni anakutana na mizinguo huwa namaindi ile mbaya bati nitafanyeje? Sina mangawira ningewapiga tafu aisee. Wanangu wa kitaa cha Mashine Tatu hapo Iringa vipi tena? Mnaonaje mkakaa raundi tebo na malidazi wenu mkayamaliza?

Oyooo…niaje hapo kitaani? Msinimaindi…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 8:30am — No Comments

UGONJWA WA KISUKARI

Kisukari ni ugonjwa unaosababishwa na kuzidi kwa kiwango cha sukari mwilini, kunakoweza kusababishwa na ulaji mwingi wa sukari au kushindwa kwa kongosho (pancrease) kuzalisha kichocheo cha insulin ambacho ndiyo hufanya kazi ya kurekebisha kiwango cha sukari kwenye damu.

Ugonjwa huu ni miongoni mwa magonjwa yanayowatesa watu wengi duniani, huku ukielezwa kusababisha…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 8:30am — 1 Comment

...MAMA ZAO WAPO NYUMA YAO



MAMA ana nafasi kubwa sana katika malezi ya mtoto, historia inaonesha kwamba watoto wengi wanaolelewa na mama zao, huwasikiliza sana wazazi wao hao na kuwafanya kuwa na sauti juu kwa kila kitu katika maisha yao.

Katika ulimwengu wa mastaa wa Kibongo, wapo mastaa ambao anguko lao katika…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 8:00am — 6 Comments

MAJI NA JUISI YA LIMAU ASUBUHI KINGA KUBWA MWILINI

TUMEZOEA kuanza siku kwa kunywa vinywaji moto kama vile kahawa au chai na hii imekuwa ndiyo desturi ya maisha ya watu wengi duniani. Lakini siyo lazima kuanza siku yako kwa kunywa vinywaji hivyo, ambavyo tafiti nyingi zimeonesha chai na kahawa vikitumiwa kupita kiasi vinaweza kuwa na athari kwa…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — 3 Comments

KUUMWA TUMBO WAKATI WA HEDHI

KARIBU sana katika makala yetu inayohusu afya.Kutokana na simu nyingi ninazozipata nikiulizwa maswali juu ya maumivu yanayowapata akina mama wengi wakati wa hedhi nimeona ni bora niandike makala hii ili iweze kuwasaidia na wengine kujua nini chanzo na mhusika afanye nini pale anapopatwa…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — No Comments

JE, MAJINI WANAZAA?

WIKI iliyopita niliulizwa swali kama majini wanazaa? Jibu ni kwamba  wanaoana na kuongezeka kama tulivyo binadamu na huzaana kwa wingi sana.

Binadamu mwanamume ana uwezo wa kumuoa jini mwanamke na jini wa kiume ana uwezo wa kumuoa binadamu mwanamke pamoja na kwamba ndoa inayotambulika na Mwenyezi Mungu ni ya kiumbe kwa kiumbe…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — 3 Comments

Mtanzania aliyemuaga Alex Ferguson Old Trafford asimulia…

Mtanzania Mohammed Jawad Kassam akiwa na bango lake siku ya kumuaga Alex Ferguson.…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:00am — 2 Comments

DK. MASSAU; SHUJAA, MKOMBOZI, KIFO CHAKE NI CHACHU YA MABADILIKO

Dk. Ferdinand Massau enzi za uhai wake.

TUNAWEZA tusifike mahali pazuri kama hatutawathamini wataalamu wetu. Wazalendo wanaojitoa kulisaidia taifa lao, tunawakatisha tamaa, tunawazuia wasifanikishe malengo yao…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am — 3 Comments

JINSI YA KUWA NYOTA KATIKA UJASIRIAMALI - 4

RAFIKI leo tunaendelea kuangalia jinsi unavyoweza kuwa nyota katika ujasiriamali. Hakuna kitu muhimu kama kugundua kitu unachokipenda na kukifanyia kazi kwa bidii. Kumbuka kwamba kuvutiwa na kitu ni hatua ya kwanza lakini kushikamana nacho na kuweka bidii isiyochoka ndiyo kanuni ya kuelekea mafanikio makubwa.

Mfano mzuri ni ule wa Seneta Anorld Schwazenegger. Huenda umewahi kulisikia jina hili japo kama wewe ni mgeni linaweza kuonekana refu na gumu. Huyu ndugu akiwa kwao…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am — No Comments

SINEMA YA BURE DIVA NA PREZZO!

Na Sifael Paul

NGOJA nikutambulishe kwa mara ya kwanza kwa wasomaji wangu. Nazungumza na wewe Loveness Malinzi ‘Diva’. Ulianza ‘kuhaso’ kutoka kimuziki miaka ile ulipoibuka Nyumba ya Kukuza Vipaji (THT). Kabla ya kuchomoka kimuziki, ukala shavu la utangazaji wa Kipindi cha Ala za Roho…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am — 4 Comments

RIPOTI YA WIKI: MAYAI FEKI YASAMBAA DAR ES SALAAM

-Yanatoka nchi jirani, yatengenezwa kwa umeme

Makala na Denis Mtima na Chande Abdallah

Ripoti ya Wiki hii imegundua kuwa asilimia kubwa ya mayai yanayotumiwa na wananchi wengi kwa sasa ni feki  na yanauzwa kinyemela ndani ya Jiji la…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 11:30am — 2 Comments

MASTAA HAWA WAMEIKIMBIA GEMU

Na Erick Evarist

WASOMI wanasema, ukisimamia vizuri kazi uipendayo, itakupa faida kubwa na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa. Lakini unapohama fani hii mara umeacha hii na kufanya nyingine, utakuwa mtu wa kuyumba (kigeugeu).…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 9:30am — 3 Comments

AUNT EZEKIEL APOZWA MACHUNGU YA MAREHEMU MAMA’KE NA MTOTO WA KAKA’KE

Na Imelda Mtema

ALHAMISI nyingine imewadia msomaji wangu, tunakutana tena na mastaa ambao Mungu amewajilia kupata mtoto na kujua staili wanayoishi nyumbani kwao.…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 8:30am — 4 Comments

BARUA NZITO : USTAA ULIONAO LEO UKUTENGENEZEE UZEE MZURI!

KWENU,

Wasanii mnaong’aa katika sanaa mbalimbali nchini. Ninafurahi kuwasiliana nanyi tena kwa wakati mmoja baada ya kuachana muda mrefu uliopita. Naamini mpo sawa na michakato ya kusaka mkate wa kila siku inaendelea vyema kabisa.

Kama ndivyo, ndiyo furaha kwangu. Nazungumza…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 8:41am — 2 Comments

UGONJWA WA KWENYE MFUMO WA UZAZI WA MWANAMKE (PELVIC INFLAMATORY DISEASES)

MAAMBUKIZI ugonjwa wa kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke (Pelvic Inflamatory Diseases)  ambao pia hujulikana kama shingo ya uzazi (kitaalamu huitwa cervix) ambayo hujulikana kwa jina la cervicitis hutesa sana wanawake wengi wenye umri mbalimbali.

Maambukizi hayo husambaa hadi kwenye mfuko wa uzazi (endometrium) ambayo kitaalamu huitwa endometritis na mirija ya uzazi (fallopian…

Added by GLOBAL on May 14, 2013 at 9:00am — No Comments

MSIMU WA PARACHICHI; UMEKULA MANGAPI HADI SASA?

HUU ni msimu wa parachichi kwa Ukanda wa Pwani, kama yalivyo matunda yote kwa ujumla kuwa yana faida sana katika mwili wa binadamu, vivyo hivyo na parachichi. Tunda hili lina uwezo mkubwa wa kupambana na maradhi hatari ya moyo na sataratani ya matiti kutokana na virutubisho ilivyonavyo.…

Added by GLOBAL on May 14, 2013 at 9:00am — 2 Comments

FAHAMU SIRI ZA MAJINI JE MAJINI WANAWEZA KUTUMIKA?

Majini wanaweza kutumika kwa kazi mbalimbali ambazo binadamu anaweza kumtuma.

Mwenyezi Mungu aliwaamuru majini wamtumikie Mfalme Suleimani na wakawa wanamfanyia kazi kadri anavyotaka yeye.

Katika Biblia 1 Wafalme 5: (13-17).

Biblia inaeleza…

Added by GLOBAL on May 14, 2013 at 9:00am — 4 Comments

JOHARI: SIJATOA MIMBA

WIKI iliyopita tulimleta kwenu mkongwe wa maigizo na filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ ambaye mlimuuliza maswali ambayo leo anayajibu na kuyafafanua. SHUKA NAYO……

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 8:30am — 5 Comments

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service