JOYCE KIRIA: NG’OMBE HAELEMEWI NA NUNDU YAKE
MAMBO vipi msomaji wa safu hii ya Staa na Mwana? Kwangu mambo yanazidi kunoga. Kama ilivyo kawaida ya safu hii ni kuwasaka mastaa ambao tayari wana watoto kisha kupiga nao stori za maisha yao halisi ya kila siku.
Leo tunakutana na mtangazaji maarufu wa Kipindi cha Wanawake Live kinachorushwa kupitia Runinga…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 9:00am — 4 Comments
RIPOTI YA WIKI PAMPASI ZINAUA
RIPOTI ya Wiki leo imebaini kwamba pampasi (nguo za ndani za watoto) zina madhara kwa watoto na husababisha magonjwa ya kuambukiza kama yasipopatiwa tiba stahiki huweza kusabisha kifo.
Uchunguzi wa maripota wetu umebaini madhara hayo hutokea kwa kuwa pampasi zina uwezo…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 9:00am — 5 Comments
OYAAA BILA KUCHEZA RAFU HUPIGWI TAFU
HIVI masela ina maana tumedisaidi kuridhika na situwesheni ya kusota bila kujua mwisho wetu? Maana kuna sam pipo wanafaiti deile bati hawachomoki wala nini kudadeki!
Kuna taimu huwa nikimwona kachaa anahaso theni anakutana na mizinguo huwa namaindi ile mbaya bati nitafanyeje? Sina mangawira ningewapiga tafu aisee. Wanangu wa kitaa cha Mashine Tatu hapo Iringa vipi tena? Mnaonaje mkakaa raundi tebo na malidazi wenu mkayamaliza?
Oyooo…niaje hapo kitaani? Msinimaindi…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 8:30am — No Comments
UGONJWA WA KISUKARI
Kisukari ni ugonjwa unaosababishwa na kuzidi kwa kiwango cha sukari mwilini, kunakoweza kusababishwa na ulaji mwingi wa sukari au kushindwa kwa kongosho (pancrease) kuzalisha kichocheo cha insulin ambacho ndiyo hufanya kazi ya kurekebisha kiwango cha sukari kwenye damu.
Ugonjwa huu ni miongoni mwa magonjwa yanayowatesa watu wengi duniani, huku ukielezwa kusababisha…

...MAMA ZAO WAPO NYUMA YAO
MAMA ana nafasi kubwa sana katika malezi ya mtoto, historia inaonesha kwamba watoto wengi wanaolelewa na mama zao, huwasikiliza sana wazazi wao hao na kuwafanya kuwa na sauti juu kwa kila kitu katika maisha yao.
Katika ulimwengu wa mastaa wa Kibongo, wapo mastaa ambao anguko lao katika…

Added by GLOBAL on May 23, 2013 at 8:00am — 6 Comments
MAJI NA JUISI YA LIMAU ASUBUHI KINGA KUBWA MWILINI
TUMEZOEA kuanza siku kwa kunywa vinywaji moto kama vile kahawa au chai na hii imekuwa ndiyo desturi ya maisha ya watu wengi duniani. Lakini siyo lazima kuanza siku yako kwa kunywa vinywaji hivyo, ambavyo tafiti nyingi zimeonesha chai na kahawa vikitumiwa kupita kiasi vinaweza kuwa na athari kwa…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — 3 Comments
KUUMWA TUMBO WAKATI WA HEDHI
KARIBU sana katika makala yetu inayohusu afya.Kutokana na simu nyingi ninazozipata nikiulizwa maswali juu ya maumivu yanayowapata akina mama wengi wakati wa hedhi nimeona ni bora niandike makala hii ili iweze kuwasaidia na wengine kujua nini chanzo na mhusika afanye nini pale anapopatwa…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — No Comments
JE, MAJINI WANAZAA?
WIKI iliyopita niliulizwa swali kama majini wanazaa? Jibu ni kwamba wanaoana na kuongezeka kama tulivyo binadamu na huzaana kwa wingi sana.
Binadamu mwanamume ana uwezo wa kumuoa jini mwanamke na jini wa kiume ana uwezo wa kumuoa binadamu mwanamke pamoja na kwamba ndoa inayotambulika na Mwenyezi Mungu ni ya kiumbe kwa kiumbe…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — 3 Comments
Mtanzania aliyemuaga Alex Ferguson Old Trafford asimulia…
Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:00am — 2 Comments
DK. MASSAU; SHUJAA, MKOMBOZI, KIFO CHAKE NI CHACHU YA MABADILIKO
Dk. Ferdinand Massau enzi za uhai wake.
TUNAWEZA tusifike mahali pazuri kama hatutawathamini wataalamu wetu. Wazalendo wanaojitoa kulisaidia taifa lao, tunawakatisha tamaa, tunawazuia wasifanikishe malengo yao…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am — 3 Comments
JINSI YA KUWA NYOTA KATIKA UJASIRIAMALI - 4
RAFIKI leo tunaendelea kuangalia jinsi unavyoweza kuwa nyota katika ujasiriamali. Hakuna kitu muhimu kama kugundua kitu unachokipenda na kukifanyia kazi kwa bidii. Kumbuka kwamba kuvutiwa na kitu ni hatua ya kwanza lakini kushikamana nacho na kuweka bidii isiyochoka ndiyo kanuni ya kuelekea mafanikio makubwa.
Mfano mzuri ni ule wa Seneta Anorld Schwazenegger. Huenda umewahi kulisikia jina hili japo kama wewe ni mgeni linaweza kuonekana refu na gumu. Huyu ndugu akiwa kwao…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am — No Comments
SINEMA YA BURE DIVA NA PREZZO!
Na Sifael Paul
NGOJA nikutambulishe kwa mara ya kwanza kwa wasomaji wangu. Nazungumza na wewe Loveness Malinzi ‘Diva’. Ulianza ‘kuhaso’ kutoka kimuziki miaka ile ulipoibuka Nyumba ya Kukuza Vipaji (THT). Kabla ya kuchomoka kimuziki, ukala shavu la utangazaji wa Kipindi cha Ala za Roho…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am — 4 Comments
RIPOTI YA WIKI: MAYAI FEKI YASAMBAA DAR ES SALAAM
-Yanatoka nchi jirani, yatengenezwa kwa umeme
Makala na Denis Mtima na Chande Abdallah
Ripoti ya Wiki hii imegundua kuwa asilimia kubwa ya mayai yanayotumiwa na wananchi wengi kwa sasa ni feki na yanauzwa kinyemela ndani ya Jiji la…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 11:30am — 2 Comments
MASTAA HAWA WAMEIKIMBIA GEMU
Na Erick Evarist
WASOMI wanasema, ukisimamia vizuri kazi uipendayo, itakupa faida kubwa na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa. Lakini unapohama fani hii mara umeacha hii na kufanya nyingine, utakuwa mtu wa kuyumba (kigeugeu).…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 9:30am — 3 Comments
AUNT EZEKIEL APOZWA MACHUNGU YA MAREHEMU MAMA’KE NA MTOTO WA KAKA’KE
Na Imelda Mtema
ALHAMISI nyingine imewadia msomaji wangu, tunakutana tena na mastaa ambao Mungu amewajilia kupata mtoto na kujua staili wanayoishi nyumbani kwao.…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 8:30am — 4 Comments
BARUA NZITO : USTAA ULIONAO LEO UKUTENGENEZEE UZEE MZURI!
KWENU,
Wasanii mnaong’aa katika sanaa mbalimbali nchini. Ninafurahi kuwasiliana nanyi tena kwa wakati mmoja baada ya kuachana muda mrefu uliopita. Naamini mpo sawa na michakato ya kusaka mkate wa kila siku inaendelea vyema kabisa.
Kama ndivyo, ndiyo furaha kwangu. Nazungumza…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 8:41am — 2 Comments
UGONJWA WA KWENYE MFUMO WA UZAZI WA MWANAMKE (PELVIC INFLAMATORY DISEASES)
MAAMBUKIZI ugonjwa wa kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke (Pelvic Inflamatory Diseases) ambao pia hujulikana kama shingo ya uzazi (kitaalamu huitwa cervix) ambayo hujulikana kwa jina la cervicitis hutesa sana wanawake wengi wenye umri mbalimbali.
Maambukizi hayo husambaa hadi kwenye mfuko wa uzazi (endometrium) ambayo kitaalamu huitwa endometritis na mirija ya uzazi (fallopian…

Added by GLOBAL on May 14, 2013 at 9:00am — No Comments
MSIMU WA PARACHICHI; UMEKULA MANGAPI HADI SASA?
HUU ni msimu wa parachichi kwa Ukanda wa Pwani, kama yalivyo matunda yote kwa ujumla kuwa yana faida sana katika mwili wa binadamu, vivyo hivyo na parachichi. Tunda hili lina uwezo mkubwa wa kupambana na maradhi hatari ya moyo na sataratani ya matiti kutokana na virutubisho ilivyonavyo.…

Added by GLOBAL on May 14, 2013 at 9:00am — 2 Comments
FAHAMU SIRI ZA MAJINI JE MAJINI WANAWEZA KUTUMIKA?
Majini wanaweza kutumika kwa kazi mbalimbali ambazo binadamu anaweza kumtuma.
Mwenyezi Mungu aliwaamuru majini wamtumikie Mfalme Suleimani na wakawa wanamfanyia kazi kadri anavyotaka yeye.
Katika Biblia 1 Wafalme 5: (13-17).
Biblia inaeleza…

Added by GLOBAL on May 14, 2013 at 9:00am — 4 Comments
JOHARI: SIJATOA MIMBA
WIKI iliyopita tulimleta kwenu mkongwe wa maigizo na filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ ambaye mlimuuliza maswali ambayo leo anayajibu na kuyafafanua. SHUKA NAYO……

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 8:30am — 5 Comments
2013
2012
2011
2010
1999
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
Tatu Majaliwa |
| 6 |
hope |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
tina babi |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
© 2013 Created by Global Publishers.




