UTAMU AU MATESO YA MAPENZI HUTOKANA NA MTINDO WAKO WA MAISHA - 6
Nilishaeleza katika makala yangu huko nyuma kwamba maisha ya kimapenzi ni kama kioo. Yaani ukiyachekea nayo yatakuchekea, ila ukiyanunia, nayo yatakukunjia sura.

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — No Comments
MAMBO 10 YANAYOSABABISHA MWANAMKE KUSALITI - 5
MARAFIKI, ULIMI WAKO, KABURI LA MAPENZI YAKO-6
Nikifunga mfano wa Raja na Jane kama mfano ambao niliutoa wiki iliyopita ni kwamba wote wawili wana kasoro. Sasa ni vizuri wakati unasoma, ukaelewa hilo ili nawe utakapokuwa unapitia vipindi kama hivyo walivyopita wenzetu, ukajua namna ya kuchanganua mambo.…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:14am — No Comments
UKO KWENYE HUBA AU UTUMWA WA MAPENZI?-2
IMEZOELEKA sana kusikia watu wakizungumza kuhusu suala la utumwa wa mapenzi. Hata hivyo hakuna ufafanuzi wa moja kwa moja watu wanaoutoa wakati mjadala huu ukiendelea huko mitaani.…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 8:30am — No Comments
ACHA ULIMBUKENI, SI LAZIMA ‘KUDUU’!
HATA KAMA NI MKOROFI NI WAKO, MTIBU!-2
INAWEZEKANA likaonekana ni jambo la kawaida tu, pengine si kubwa na linalopaswa kujadiliwa kwa ukubwa huu lakini likitafakariwa kwa kina, itagundulika kuwa ni jambo muhimu sana kujadiliwa. Wanaume wengi wanateseka na namna ya kuishi na wanawake ambao kiasili ni wakorofi.…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 8:39am — No Comments
UTAMU AU MATESO YA MAPENZI HUTOKANA NA MTINDO WAKO WA MAISHA - 5
Tukiendelea pale tulipoishia wiki iliyopita, lazima ukubali ukweli kwamba kama unachagua maisha yako ya kimapenzi yawe matamu na mateso uyasikie kwa jirani, epuka kuukimbia ukweli. Kama jambo lipo ndani yako na unalikwepa, litakusumbua kila siku na utateseka, kwani ni sawa na kukimbia kivuli chako,…

Added by GLOBAL on May 14, 2013 at 8:30am — No Comments
MAMBO 10 YANAYOSABABISHA MWANAMKE KUSALITI -4
MAKALA haya, yasome kwa makini ili yakusaidie kudumisha uhusiano wako. Mwanamke yanamuwezesha kujua kipindi ambacho anaweza kusaliti, hivyo kujisahihisha na kutulia kwenye mstari. Mwanaume yanamsaidia kujikosoa na kuzidi kumuweka mwenzi wake kwenye mikono sahihi.…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 8:30am — No Comments
MARAFIKI, ULIMI WAKO, KABURI LA MAPENZI YAKO-6
WIKI iliyopita, nilitoa somo kwa mfano, namna ambavyo uhusiano wa Raja na Jane, ulivyokuwa na jinsi walivyoachana kwa ghafla sana. Hii ilikuwa ni kuonesha ukweli kuhusu ulimi.
Kama tulikuwa pamoja wiki iliyopita, utakuwa umejionea jinsi Jane alivyokosa ‘breki’ akawa anazungumza mambo ambayo yalimkera Raja ambaye…

Added by GLOBAL on May 11, 2013 at 7:49am — 2 Comments
Uzuri au umaarufu utumie kukujenga si kukubomoa
NAAM wapenzi wa kona hii, mimi mzima wa afya njema sijui ninyi wenzangu, nina imani mu wazima wa afya, ikiwa kuna mgonjwa, nampa pole kisha namuombea kwa Mwenyezi Mungu ampe afya njema ili tuwe naye pamoja kwenye kona yetu ambayo kila kukicha inazidi kuongeza wanachama.
Nina imani kila uliyemchagua kuwa mpenzio ni chaguo la moyo wako hasa…

UKO KWENYE HUBA AU UTUMWA WA MAPENZI?
MAPENZI YA SASA UJANJA MWINGI, USIKUBALI KUGEUZWA BWEGE!
MUNGU kwa kunijaalia fursa hii ya kuzungumza nanyi wapenzi wasomaji wa safu hii ya Mashamsham. Natumaini muwazima na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya kila siku kama kawaida.
Ndugu zangu, kwa wale walio katika mapenzi matamu na ya kweli watakubaliana na mimi kuwa mapenzi yenye amani na masikilizano ni kama…

Added by GLOBAL on May 9, 2013 at 9:30am — 3 Comments
HATA KAMA NI MKOROFI NI WAKO, MTIBU!
Na Joseph Shaluwa
HIVI, hujawahi kusikia mtu akisema: “Ah! Bwana simuwezi yule mwanamke ni kiburi sana...ni mkorofi sana. Sitawezana naye. Hata kama nampenda lakini tabia zake mimi siziwezi!”…

Added by GLOBAL on May 8, 2013 at 8:30am — No Comments
UTAMU AU MATESO YA MAPENZI HUTOKANA NA MTINDO WAKO WA MAISHA - 5
MAMBO 10 YANAYOSABABISHA MWANAMKE KUSALITI -3
KIPENGELE cha “Hisia za Wakati wa Mpito” nilikifafanua wiki iliyopita. Katika kukikamilisha na kuendelea na vipengele vingine ni kwamba lazima kuwa makini na hisia za kipindi cha mpito. Yote niliyoyaeleza wiki iliyopita ni angalizo.…

Added by GLOBAL on May 6, 2013 at 10:04am — No Comments
KUTOA ASANTE YA MWILI NI KUJIDHALILISHA
NINA imani wote m’wazima wa afya njema kwa uwezo wake Manani. Leo nataka nizungumzie tofauti ya upendo na msaada. Sote tunajua katika penzi la kweli kuna kujaliana katika shida na raha na kuonyesha upendo wa mtu kwa mwenzake.…

Added by GLOBAL on May 3, 2013 at 9:00am — 2 Comments
WAKATI MWINGINE WANAWAKE HUKOSEA BILA KUJUA!-2
SIYO SAWA KUFANYA YAFUATAYO UKISHAACHANA NA MPENZI WAKO!
NDUGU zangu, mapenzi yapo lakini pia kuachana kwa wapenzi si jambo la ajabu. Leo hii na muda huu unaosoma makala haya, wapo ambao ndiyo kwanza wanaanzisha uhusiano lakini pia wapo ambao wanaachana.…

Added by GLOBAL on May 2, 2013 at 8:00am — 6 Comments
MBINU ZA KITAALAM ZA KUDHIBITI USALITI! -4
KUWA memba wa ukurasa huu pekee kunakupa nafasi kubwa ya kufurahia mapenzi na kukuweka mbali kabisa na mateso. Ni kweli mapenzi hayana kanuni lakini wakati fulani ukipata nafasi ya kujifunza vitu vipya unajiweka kwenye uhakika wa kujitenga na mateso.…

Added by GLOBAL on May 1, 2013 at 9:00am — No Comments
UTAMU AU MATESO YA MAPENZI HUTOKANA NA MTINDO WAKO WA MAISHA - 4
Nilipokuwa namaliza makala haya wiki iliyopita, niliuliza: Wewe unamsoma halafu unaficha kucha, naye anakusoma lakini naye hataki ajulikane. Unadhani mafanikio gani yatapatikana? Tatizo hili ndilo ambalo husababisha watu wengi kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi wakiwa hawajuani, hivyo kuleta migogoro…

2013
2012
2011
2010
1999
| 1 |
GLOBAL |
| 2 |
NDAUKA the GREAT |
| 3 |
julius manning |
| 4 |
LJH_3 |
| 5 |
hope |
| 6 |
Tatu Majaliwa |
| 7 |
mayalilwa |
| 8 |
steven emmanuel |
| 9 |
Matilanga Lukingita |
| 10 |
Mishy chunga |
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies 0 Likes
JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies 8 Likes
Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies 3 Likes
Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…
Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?
Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE yesterday. 27 Replies 5 Likes
HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…
Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies 4 Likes
Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…
Tags: SOKA
Started by GLOBAL in Habari. Last reply by Billy Frank Irungu Apr 26. 118 Replies 21 Likes
Tags: NCHINI, HAPA, UNAFURAHIA, HUDUMA, ZAKE?
Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies 4 Likes
hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?
Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies 9 Likes
Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…
tina babi left a comment for osaka marion george
tina babi left a comment for Mejja Kibwana
tina babi left a comment for deodathus aurelious
tina babi left a comment for Haji Khamis K.Haji
tina babi left a comment for Mahaba Mahaba
tina babi left a comment for ibrahim juma
tina babi left a comment for GOTTAMAN KOMBA
tina babi left a comment for Walter Harold Riwa
tina babi left a comment for Michael Timoth
tina babi left a comment for Hassan
tina babi left a comment for Obeid Joseph
tina babi left a comment for Gullar Mbwiga© 2013 Created by Global Publishers.



