All News Posts Tagged 'mahaba11' (1,058)

UTAMU AU MATESO YA MAPENZI HUTOKANA NA MTINDO WAKO WA MAISHA - 6

Nilishaeleza katika makala yangu huko nyuma kwamba maisha ya kimapenzi ni kama kioo. Yaani ukiyachekea nayo yatakuchekea, ila ukiyanunia, nayo yatakukunjia sura.

Hakuna…

Added by GLOBAL on May 21, 2013 at 8:30am — No Comments

MAMBO 10 YANAYOSABABISHA MWANAMKE KUSALITI - 5

TUPO kwenye kipengele cha nne ambacho kinazungumzia hatari ya mwanamke kuhisi yupo kwenye uhusiano ambao haumfurahishi. Hiki tulianza nacho wiki iliyopita na sasa tunaweza kuendelea pale tulipoishia. Yote hii ni kuhakikisha unazijua alama za nyakati kisha ujue namna ya kukomesha usaliti.…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am — 1 Comment

MARAFIKI, ULIMI WAKO, KABURI LA MAPENZI YAKO-6

Nikifunga mfano wa Raja na Jane kama mfano ambao niliutoa wiki iliyopita ni kwamba wote wawili wana kasoro. Sasa ni vizuri wakati unasoma, ukaelewa hilo ili nawe utakapokuwa unapitia vipindi kama hivyo walivyopita wenzetu, ukajua namna ya kuchanganua mambo.…

Added by GLOBAL on May 18, 2013 at 10:14am — No Comments

UKO KWENYE HUBA AU UTUMWA WA MAPENZI?-2

IMEZOELEKA sana kusikia watu wakizungumza kuhusu suala la utumwa wa mapenzi. Hata hivyo hakuna ufafanuzi wa moja kwa moja watu wanaoutoa wakati mjadala huu ukiendelea huko mitaani.…

Added by GLOBAL on May 17, 2013 at 8:30am — No Comments

ACHA ULIMBUKENI, SI LAZIMA ‘KUDUU’!

ASSALAM alaikum! Ni furaha yangu kwa mara nyingine nakutana nanyi wapendwa wasomaji wa safu hii ya Mashamsham. Tumshukuru Mungu kwa kutujalia uhai na afya njema, lakini zaidi ya hapo tumshukuru pia kwa kutuumbia kitu mapenzi au siyo?…

Added by GLOBAL on May 16, 2013 at 9:30am — 1 Comment

HATA KAMA NI MKOROFI NI WAKO, MTIBU!-2

INAWEZEKANA likaonekana ni jambo la kawaida tu, pengine si kubwa na linalopaswa kujadiliwa kwa ukubwa huu lakini likitafakariwa kwa kina, itagundulika kuwa ni jambo muhimu sana kujadiliwa. Wanaume wengi wanateseka na namna ya kuishi na wanawake ambao kiasili ni wakorofi.…

Added by GLOBAL on May 15, 2013 at 8:39am — No Comments

UTAMU AU MATESO YA MAPENZI HUTOKANA NA MTINDO WAKO WA MAISHA - 5

Tukiendelea pale tulipoishia wiki iliyopita, lazima ukubali ukweli kwamba kama unachagua maisha yako ya kimapenzi yawe matamu na mateso uyasikie kwa jirani, epuka kuukimbia ukweli. Kama jambo lipo ndani yako na unalikwepa, litakusumbua kila siku na utateseka, kwani ni sawa na kukimbia kivuli chako,…

Added by GLOBAL on May 14, 2013 at 8:30am — No Comments

MAMBO 10 YANAYOSABABISHA MWANAMKE KUSALITI -4

MAKALA haya, yasome kwa makini ili yakusaidie kudumisha uhusiano wako. Mwanamke yanamuwezesha kujua kipindi ambacho anaweza kusaliti, hivyo kujisahihisha na kutulia kwenye mstari. Mwanaume yanamsaidia kujikosoa na kuzidi kumuweka mwenzi wake kwenye mikono sahihi.…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 8:30am — No Comments

MARAFIKI, ULIMI WAKO, KABURI LA MAPENZI YAKO-6

WIKI iliyopita, nilitoa somo kwa mfano, namna ambavyo uhusiano wa Raja na Jane, ulivyokuwa na jinsi walivyoachana kwa ghafla sana. Hii ilikuwa ni kuonesha ukweli kuhusu ulimi.

Kama tulikuwa pamoja wiki iliyopita, utakuwa umejionea jinsi Jane alivyokosa ‘breki’ akawa anazungumza mambo ambayo yalimkera Raja ambaye…

Added by GLOBAL on May 11, 2013 at 7:49am — 2 Comments

Uzuri au umaarufu utumie kukujenga si kukubomoa

NAAM wapenzi wa kona hii, mimi mzima wa afya njema sijui ninyi wenzangu, nina imani mu wazima wa afya, ikiwa kuna mgonjwa, nampa pole kisha namuombea kwa Mwenyezi Mungu ampe afya njema ili tuwe naye pamoja kwenye kona yetu ambayo kila kukicha inazidi kuongeza wanachama.

Nina imani kila uliyemchagua kuwa mpenzio ni chaguo la moyo wako hasa…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 9:00am — 1 Comment

UKO KWENYE HUBA AU UTUMWA WA MAPENZI?

UNAFAHAMU nini kuhusu mapenzi? Najua majibu ni mengi, kuna wengine watasema mapenzi ni kupendana...mapenzi ni hisia kutoka kwa mtu mmoja  kwenda kwa mwingine n.k. Hakuna cha zaidi ya hivyo?…

Added by GLOBAL on May 10, 2013 at 8:00am — 1 Comment

MAPENZI YA SASA UJANJA MWINGI, USIKUBALI KUGEUZWA BWEGE!

MUNGU kwa kunijaalia fursa hii ya kuzungumza nanyi wapenzi wasomaji wa safu hii ya Mashamsham. Natumaini muwazima na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya kila siku kama kawaida.

Ndugu zangu, kwa wale walio katika mapenzi matamu na ya kweli watakubaliana na mimi kuwa mapenzi yenye amani na masikilizano ni kama…

Added by GLOBAL on May 9, 2013 at 9:30am — 3 Comments

HATA KAMA NI MKOROFI NI WAKO, MTIBU!

Na Joseph Shaluwa

HIVI, hujawahi kusikia mtu akisema: “Ah! Bwana simuwezi yule mwanamke ni kiburi sana...ni mkorofi sana. Sitawezana naye. Hata kama nampenda lakini tabia zake mimi siziwezi!”…

Added by GLOBAL on May 8, 2013 at 8:30am — No Comments

UTAMU AU MATESO YA MAPENZI HUTOKANA NA MTINDO WAKO WA MAISHA - 5

MAPENZI siku zote yanakutaka upate furaha badala ya mateso, ndiyo maana kuhakikisha hilo linatimia, wiki iliyopita nilikutaka ujiangalie wewe mwenyewe. Unapojisikia huna furaha, mara nyingi inakuwa rahisi kuwaza kuna tatizo kwenye uhusiano wako kitu ambacho siyo sahihi.…

Added by GLOBAL on May 7, 2013 at 8:30am — 1 Comment

MAMBO 10 YANAYOSABABISHA MWANAMKE KUSALITI -3

KIPENGELE cha “Hisia za Wakati wa Mpito” nilikifafanua wiki iliyopita. Katika kukikamilisha na kuendelea na vipengele vingine ni kwamba lazima kuwa makini na hisia za kipindi cha mpito. Yote niliyoyaeleza wiki iliyopita ni angalizo.…

Added by GLOBAL on May 6, 2013 at 10:04am — No Comments

KUTOA ASANTE YA MWILI NI KUJIDHALILISHA

NINA imani wote m’wazima wa afya njema kwa uwezo wake Manani.  Leo nataka nizungumzie tofauti ya upendo na msaada.  Sote tunajua katika penzi la kweli kuna kujaliana katika shida na raha na kuonyesha upendo wa mtu kwa mwenzake.…

Added by GLOBAL on May 3, 2013 at 9:00am — 2 Comments

WAKATI MWINGINE WANAWAKE HUKOSEA BILA KUJUA!-2

KUKOSEA ni kujifunza. Ukifanya kosa na kutambua, bila shaka huwezi kurudia tena na kama ikitokea hivyo utakuwa umekusudia. Hapa nazungumzia makosa ambayo hufanywa na wanawake bila kujua.…

Added by GLOBAL on May 3, 2013 at 8:30am — 1 Comment

SIYO SAWA KUFANYA YAFUATAYO UKISHAACHANA NA MPENZI WAKO!

NDUGU zangu, mapenzi yapo lakini pia kuachana kwa wapenzi si jambo la ajabu. Leo hii na muda huu unaosoma makala haya, wapo ambao ndiyo kwanza wanaanzisha uhusiano lakini pia wapo ambao wanaachana.…

Added by GLOBAL on May 2, 2013 at 8:00am — 6 Comments

MBINU ZA KITAALAM ZA KUDHIBITI USALITI! -4

KUWA memba wa ukurasa huu pekee kunakupa nafasi kubwa ya kufurahia mapenzi na kukuweka mbali kabisa na mateso. Ni kweli mapenzi hayana kanuni lakini wakati fulani ukipata nafasi ya kujifunza vitu vipya unajiweka kwenye uhakika wa kujitenga na mateso.…

Added by GLOBAL on May 1, 2013 at 9:00am — No Comments

UTAMU AU MATESO YA MAPENZI HUTOKANA NA MTINDO WAKO WA MAISHA - 4

Nilipokuwa namaliza makala haya wiki iliyopita, niliuliza: Wewe unamsoma halafu unaficha kucha, naye anakusoma lakini naye hataki ajulikane. Unadhani mafanikio gani yatapatikana? Tatizo hili ndilo ambalo husababisha watu wengi kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi wakiwa hawajuani, hivyo kuleta migogoro…

Added by GLOBAL on April 30, 2013 at 9:30am — 1 Comment

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE yesterday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

tina babi left a comment for osaka marion george
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
13 seconds ago
tina babi left a comment for Mejja Kibwana
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
20 seconds ago
tina babi left a comment for deodathus aurelious
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
26 seconds ago
tina babi left a comment for Haji Khamis K.Haji
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
54 seconds ago
tina babi left a comment for Mahaba Mahaba
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
1 minute ago
tina babi left a comment for ibrahim juma
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for GOTTAMAN KOMBA
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
2 minutes ago
tina babi left a comment for Walter Harold Riwa
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
3 minutes ago
tina babi left a comment for Michael Timoth
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
3 minutes ago
tina babi left a comment for Hassan
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
5 minutes ago
tina babi left a comment for Obeid Joseph
"tinalutunku@yahoo.com Hello, My name is Miss tina lutunku. i saw your profile today and become…"
5 minutes ago
tina babi left a comment for Gullar Mbwiga
"tinalutunku@yahoo.comHello,My name is Miss tina lutunku.i saw your profile today and become…"
5 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service