All News Posts Tagged 'jumatatu11' (1,432)

NGASSA AKATAA MAMILIONI YA SIMBA

Na Mwandishi Wetu

JUHUDI za Simba kutaka kuona kiungo Mrisho Khalfan Ngassa anaifunga Yanga juzi zilikwama pamoja na kumuahidi mamilioni ya fedha kama angefunga bao katika mechi hiyo ya watani.…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:30am — 8 Comments

Kaseja akwepa mkono wa Cannavaro Taifa

Kipa wa Simba, Juma Kaseja.

Na Hans Mloli

NAHODHA na kipa wa Simba, Juma Kaseja, juzi alitoa kali baada ya kumpa kwa muda unahodha, beki wake, Said Nassor ‘Chollo’,  ili akwepe kupeana mkono na…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:00am — 3 Comments

Yondani: Simba warudisheni Boban, Nyosso

Kelvin Yondani.

Na Wilbert Molandi

BEKI wa kati wa Yanga, Kelvin Yondani,  ameiambia klabu yake ya zamani ya Simba kuwa kama inataka kufanya vizuri kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, basi…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:00am — 5 Comments

Yanga wamwekea ulinzi Haruna Niyonzima

Haruna Niyonzima.

Na Wilbert Molandi

KUNDI la mabaunsa juzi lilimzunguka na kumwekea ulinzi kiungo mchezeshaji wa Yanga, Haruna Niyonzima, ambaye mkataba wake wa kuichezea timu hiyo umemalizika…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:00am — 4 Comments

Kavumbagu: Uchawi ulinirudisha nyuma

Didier Kavumbagu.

Na Hans Mloli

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mrundi, Didier Kavumbagu, juzi alidhihirisha wazi kuwa kilichomfanya kuyumba katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara ni kuamini uchawi na…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:00am — 2 Comments

Sure Boy ajifunga miaka mitatu Azam FC

Na Khatimu Naheka

HATIMAYE kiungo hatari wa Azam FC, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, amemaliza uvumi juu ya kuiacha timu hiyo, baada ya kusaini mkataba mpya na klabu hiyo.

Hatua hiyo ya Sure Boy ni pigo kubwa kwa klabu za Simba na Yanga ambazo kwa muda mrefu zilikuwa zikipigana vikumbo katika kuwania saini yake, jambo ambalo sasa litakuwa gumu kumuondoa hapo.

Taarifa ambazo Championi Jumatatu limezipata kutoka kwa mmoja wa mabosi wa timu hiyo, zilisema kuwa kiungo…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:00am — 1 Comment

Malkia feki aibukia Taifa

Malkia wa Nyuki feki akishangilia na mashabiki wa Yanga.

Na Mwandishi Wetu

MTU aliyeigiza kuwa ndiye mlezi wa Simba, Rahma Al Kharusi, maarufu kama Malkia wa Nyuki, juzi alijitokeza katika jukwaa la mashabiki wa Yanga wakati wa mechi ya watani.

Katika mechi hiyo ya kufunga pazia la Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Malkia wa Nyuki feki…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 9:00am — 1 Comment

Mtibwa yamkaribisha Bahanuzi

Said Bahanuzi.

Na Daudi Julian, Morogoro

TIMU ya Mtibwa Sugar imesema itampokea Said Bahanuzi aliye Yanga iwapo mshambuliaji huyo ataamua kurejea katika timu yake hiyo ya zamani.

Bahanuzi…

Added by GLOBAL on May 20, 2013 at 8:30am — 2 Comments

Amir Maftah agoma kurudi Simba SC

Beki wa pembeni wa Simba, Amir Maftah.

Na Wilbert Molandi

BEKI wa pembeni wa Simba, Amir Maftah, anaendelea kusotea deni lake la shilingi milioni nne za usajili, lakini kikubwa zaidi amefikia uamuzi wa…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 10:39am — 2 Comments

Azam yatoa mfungaji bora msimu wa tatu mfululizo

Na Hans Mloli

KWA hali yoyote ile Azam FC msimu huu itatoa Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya tatu mfululizo.

Mshambuliaji Kipre Tchetche, raia wa Ivory Coast, anaelekea kutangazwa mfungaji bora kwa kuwa ni vigumu kwa mchezaji yeyote kufikia mabao yake 17 katika mchezo mmoja uliobakia kwa kila timu kabla ya ligi kumalizika.

Wanaomfuatia Tchetche kwenye chati ya ufungaji ni Didier Kavumbagu wa Yanga na Paul Nonga wa JKT Oljoro wenye mabao tisa kila mmoja.…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 10:26am — 1 Comment

Yanga watembea kwa dakika 90 ufukweni

Na Khatimu Naheka

KUELEKEA mpambano wa kukata na shoka dhidi ya Simba, Kocha Mkuu wa Yanga, Ernie Brandts, ametoa mpya baada ya kukitembeza kikosi chake kwa muda wa dakika 90 ufukweni.

Yanga leo inafikisha siku ya tatu kisiwani Pemba, Zanzibar, ikijiandaa na mchezo huo wa watani utakaopigwa Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Juzi Yanga ilifanya mazoezi magumu kwenye Uwanja wa Gombani lakini katika mazoezi ya jana asubuhi, Brandts aliamua…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 9:30am — 1 Comment

Cheka avamia mazoezi Simba SC

Na Richard Bukos

WAKATI homa ya pambano la watani wa jadi, Simba na Yanga ikizidi kupamba moto, bondia maarufu nchini, Francis Cheka, hivi karibuni alivamia mazoezi ya timu hiyo yenye makao yake Mtaa wa Msimbazi.

Jumamosi ijayo, Simba na Yanga zitaingia dimbani kupambana katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Bara unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka nchini, ukitarajiwa kuwa na upinzani mkali licha ya Yanga kutangaza ubingwa mapema.

Cheka ambaye ni shabiki wa…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 9:30am — 2 Comments

Haruna Niyonzima aigomea Yanga, arudi Rwanda

Na Wilbert Molandi

KIUNGO mchezeshaji wa Yanga, Haruna Niyonzima, amechoshwa na kelele za usajili wake na kuamua kusema: “Nahitaji kupumzika.”

Niyonzima, raia wa Rwanda, amekuwa akihusishwa kutua Simba na mkataba wake wa kuendelea kuitumikia Yanga unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu.

Awali, Niyonzima aliliambia Championi Jumatatu kuwa yupo tayari kuongeza mkataba Jangwani, lakini baada ya kusikia Simba nao wanamhitaji ameamua kutosaini timu yoyote,…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 9:30am — 3 Comments

Man United yaua, yakabidhiwa kombe, Spurs noma

Manchester, England

MANCHESTER United jana ilikabidhiwa ubingwa wa Ligi Kuu ya England kwa mbwembwe nyingi baada ya kuifunga Swansea mabao 2-1, huku Spurs na Liver nazo zikiua.

Huo ulikuwa mchezo wa mwisho kwenye Uwanja wa Old Trafford kwa Kocha wa Manchester United, Alex Ferguson, ambaye ametangaza kustaafu.

Lakini ndiyo mchezo ambao United walikabidhiwa kombe lao la ubingwa.

Wachezaji wa timu zote mbili waliingia uwanjani na kusubiri kumpokea kocha huyo…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 9:30am — 1 Comment

Rage azuia mkutano Friends of Simba SC

Na Richard Bukos

MKUTANO kati ya uongozi wa Simba na kundi maarufu la Friends of Simba, umeshindwa kufanyika jana kama ulivyokuwa umepangwa.

Kikao hicho kilipangwa kufanyika kwa siri kwenye makao makuu ya klabu hiyo, lakini kutotokea kwa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, kulisababisha kutofanyika.

Championi Jumatatu lilifika katika makao makuu ya Simba barabara ya Msimbazi jana mchana na kuambiwa kikao hicho kimeahirishwa.

“Kweli kulikuwa na kikao muhimu…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 9:00am — No Comments

Matawi Simba kukutana leo kuijadili Yanga SC

Na Khatimu Naheka

VIONGOZI wa matawi ya Simba leo wanatarajia kukutana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupanga mikakati ya kuifunga Yanga Jumamosi ijayo kwenye pambano la mwisho la Ligi Kuu Bara litakalochezwa katika Uwanja wa Taifa, Dar.

Taarifa ambazo Championi Jumatatu limezipata kutoka kwa Katibu Mkuu wa Simba, Evodius Mtawala, zinasema mkutano huo utawakutanisha viongozi wote wa juu wa matawi ya klabu hiyo ya Pwani na Dar es Salaam.

Mtawala amesema kikao…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 9:00am — No Comments

Kiiza akumbwa na kigugumizi Yanga SC

Na Joan Lema

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza, raia wa Uganda, amepatwa na wasiwasi klabuni hapo kwa kuwa mkataba wake unaelekea ukingoni na hakuna kiongozi yeyote aliyejitokeza kuzungumza naye.

Kiiza ambaye alikuwa kipenzi cha mashabiki wengi klabuni hapo wakati anatua akitokea kwao Uganda, anatarajiwa kumaliza mkataba wake kwenye kikosi cha Yanga mara baada ya mechi dhidi ya Simba, Mei 18, mwaka huu.

Mchezaji huyo ameliambia gazeti hili kuwa hakuna…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 9:00am — No Comments

Simba watenga zaidi ya milioni 70 usajili

Na Khatimu Naheka

SIMBA ipo tayari kuanza kazi ya kusajili nyota wapya kwa ajili ya msimu ujao. Tayari imeshatenga zaidi ya shilingi milioni 70 kwa ajili ya kazi hiyo.

Timu hiyo haitaki kurudia makosa iliyoyafanya msimu huu. Imepanga kukisuka upya kikosi chake, kwa ajili ya kazi moja ya kuhakikisha ubingwa unarejea Msimbazi msimu ujao.

Zakaria Hans Pope, ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, ameliambia Championi Jumatatu kuwa tayari mpaka sasa…

Added by GLOBAL on May 13, 2013 at 9:00am — No Comments

Yondani, Samatta kuchuana Tuzo ya Mwanasoka Bora

Mshambuliaji wa Taifa Stars na TP Mazembe ya DR Congo,…

Added by GLOBAL on May 6, 2013 at 9:30am — 1 Comment

Mr. Championi kumwaga zawadi mitaani leo

Na Mwandishi Wetu

LEO mkazi wa Jiji la Dar es Salaam atakayekutwa mtaani na Mr. Championi akiwa ameshika au kusoma Gazeti la Championi, atapewa zawadi.

Mr. Championi atapita katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam leo kuanzia saa 2:00 asubuhi mpaka saa 8:00 mchana huku akiwa na…

Added by GLOBAL on May 6, 2013 at 9:30am — 1 Comment

ADVERTISEMENT


Advertisement

 

Forum

KIPIGO CHA BAO 2-1 KWA MAN UTD, KOSA LA MWAMUZI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Mohammed Mar 26. 6 Replies

JE, NI KWELI KWAMBA KIPIGO CHA BAO 2-1 ILICHOKIPATA MAN UTD KUTOKA KWA REAL MADRID USIKU WA KUAMKIA LEO LAWAMA ZOTE ZIMWENDEE MWAMUZI WA MCHEZO AU MAN UTD WAJILAUMU WENYEWE? TUPE MAONI YAKO!!!

HALI INAYOENDELEA BUNGENI, SPIKA NA NAIBU WAKE WAMESHINDWA KUONGOZA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Ali Abdalla Ali Apr 22. 20 Replies

Tumeshuhudia kwa siku za hivi karibuni hali halisi iliyokuwa inatokea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Je, kwa hali hii ni ishara kuwa Spika na Naibu wake washindwa kuliongoza bunge hilo?

VURUGU ZA CCM NA CHADEMA KUGOMBEA MLINGOTI WA BENDERA DODOMA, NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by Phinehas Rishiansia Kileo May 3. 6 Replies

Wafuasi wa CCM wakimshambulia mfuasi wa Chadema mkoani Dodoma…

Tags: BENDERA, WA, DODOMA, NANI, KULAUMIWA?

VURUGU ZINAZOENDELEA HAPA NCHINI NANI WA KULAUMIWA?

Started by GLOBAL in Siasa. Last reply by NELSON UVAMBE on Monday. 27 Replies

HIVI KARIBUNI KUMEKUWEPO UPOTEVU WA AMANI HAPA NCHINI PAMOJA NA WANANCHI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI. MKOANI KAGERA WANANCHI WENYE HASIRA WALIWAUA POLISI, IJUMAA ILIYOPITA WAKULIMA NA WAFUGAJI HUKO WILAYANI KILOSA WALIZUA VURUGU NA KUFUNGA BARABARA,…

MRISHO NGASSA KUPELEKWA SIMBA SC BILA RIDHAA YAKE, JE NI HALALI?

Started by GLOBAL in Burudani. Last reply by Domino Bagambisa Jan 21. 17 Replies

Kiungo hatari wa Azam FC, Mrisho Ngassa leo amepelekwa Simba SC kwa mkopo na timu yake…

Tags: SOKA

hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Started by Gysper in Siasa. Last reply by Jamal amor May 9. 24 Replies

 hivi ni nani yuko sahihi kuhusu uchaguzi wa UMEYA arusha CCM au CHADEMA?

Kauli Ya JK kuwa Mauaji ya Arusha ni "Bahati Mbaya"

Started by Kulikoni Ughaibuni in Siasa. Last reply by richardngeze Feb 12. 12 Replies

Tanzania tuna tatizo kubwa.Hakuna haja ya kunyoosheana vidole as to nani amechangia tatizo hilo bali cha muhimu na haraka ni namna tutakavyoweza kutatua tatizo hili.Nisimung'unye maneno: tatizo kubwa linaloikabili ni kuwa na Rais ambaye takriban…

Latest Activity

Maula left a comment for tina babi
"hii, call me on my phone no.+255768251516"
5 minutes ago
Eddy Getz posted a status
7 minutes ago
GLOBAL's 4 blog posts were featured
8 minutes ago
GLOBAL posted blog posts
8 minutes ago
Eddy Getz posted a status
10 minutes ago
Roberto Arndt posted a status
11 minutes ago
Roberto Arndt posted a status
"Tupe mpya yako ya leo....."
11 minutes ago
Lesli Madison posted a status
21 minutes ago
Lesli Madison posted a status
21 minutes ago
Lesli Madison posted a status
21 minutes ago
Lesli Madison posted a status
22 minutes ago
Lesli Madison posted a status
22 minutes ago

© 2013   Created by Global Publishers.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service